'Nimeshikwa, nashindwa kujinasua, hebu nisaidieni'


umesema vyema,aachane na huyo mmasai,ajaribu kujenga mazingira yatakayorudisha uaminifu wake kwa mkewe
 
Kwanza kapime ujue status yako. Halafu kuanzia hapo uanze mikakati ya maisha mapya, maana hayo ya zamani inabidi uyaache yatakupeleka pabaya.
Hujasema kama mkeo mlikua na issues zozote zilizokufanya utoke nje, inaonekana hamna, so ni katabia tu. Hata ukimwoa huyo "mwisilamu mmasai" bado utatoka nje na mwingine. Badili tabia
 
Pole,
To be a true player you must know how to play
 
Lizzy huwa unanikonga moyo na point zako!
Huwa unawapa bila chenga.
Big up 😛oa

Hawa ndo walewale Lizy kuwa makini asije akakuPM akupangie chumba kama mzee mwenye thread hii.
 
We acha upuuzi unaofanya, hivi huyo mkeo unamchukuliaje, au unaona hana hisia wala uchungu anaoupata? Imagine kama ni yeye anakuambia anataka kuongeza mwanaume mwingine kwa sababu alimuahidi ataolewa naye. Naona unachezea hisia za mkeo, kesho naye akianza kukusaliti utadhubutu kumlalamikia? Hujui mambo ya mkuki kwa nguruwe? Acha upumbavu unaoufanya. Usitumie kigezo cha uislamu kicheza na hisia za mkeo, hata uislamu unamtaka mtu anayetaka kuongeza mke wa pili kuwasiliana na mke mkubwa na kukubaliana kuwa aoe mke wa pili, lakini si hiki unachokifanya ndugu, huo ni uzinzi tena ufirauni, na huo uufanyao ni umalaya, so we can call you malaya wa kiume. Nyambafu zako kabisa we mwanaume usieheshimu ndoa yako. '' ndoa na iheshimiwe na watu wote''
 
kaka pole,nadhani hilo ni fundisho kwa mimi na wanaumewote wakware.kaka achana nee huyo hawara yako,utakuja tesa watoto bure kwa ushenzi na tamaa zako zisizo kuwa na shukrani.utatia adabu.
 
 
wanaume kama nyinyi,mnafaa kuchunwa tu,maana hamna adabu

we kisukari weweeeeeee! yaani kuna wakati ukatoa maoni mazuri tu, ghafla unasema wanaume kama huyu wanafaa kuchunwa tu. Hivi jamani kisu hata kikiwa kikali vipi, kama kinakata nyama itafika wakati kitaisha makali na kuhitaji kunolewa. Inapofikiaga hapo kwenye kuisha makali na kuhitaji kunolewa ndipo unapokujaga utata kwa nyinyi kina dada.

Huwezi kumchuna mwanaume na wewe mwanamke ukabaki salama, kamwe hicho kitu hakipo jamani. If there is no win-win situation, basi lazima pawepo na loose-win situation. 'Ukipenda kuchuna basi uwe tayari kutumika' na katika hili 'wanaume wanajua kutumia'. Zinduka, Amka, Jifahamu na Chukua Hatua", vinginevyo.....................................'.
 
wakuu kama tumelewa ndumu au gongo/chang'aa ni vyema tulale
 
Si unataka kuoa mke wa pili eeh?? Oa baba oa uone watakavyokugawana kichwa!! Si unadhani ni kazi rahisi kuwahandle wote wawili pamoja na watoto?! FYI, hiyo kazi waliiweza wazee wetu tu na zama za p.o box ila kwa wakati huu wa capitalism na dot com baba utapumulia kisogo nakwambia!! Na ivi wa kwako wameonyesha kutopendana tangu awali (esp huyo nyumba ndogo) , majuto yake utaja simulia........wallah nakuapia!!
 

Mdanganyeeeeeeeeeeee!!
 


Weeeeeeeeeeeeeee JASIRI HAACHI ASILI
 

Mm naokupa pole maana kosa si lako bali, kosa ni la sera potofu, zisizotekelezeka zilizoletwa na mtume salaula mohammad, kwamba wamaume wanaweza kuoa mke zaidi ya mmoja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…