huo mji hakuna mswahili anaejuana na huyu rafiki yako huku akakusaidia kuelezea hii ishu vizuri, najua frnd wako kwa sasa ana hacra sana na wewe lakini angepata mtu tofauti na wewe kumwelezea haya mambo na kumpa ukweli wenyewe nadhani akili yake ingefikiri mara mbili.
If I were u i would cut them loose. Elekeza nguvu zako kwenye mambo ya maana yaliyokuleta huko. Wabongo mi nawajua, so much drama na wanaeza kukuharibia huko nchi za watu ukakosa mwana na maji ya moto ukakandwa.Hili nalifanyia kazi, nataka ni-establish evidence beyond doubt! Thanks!
Wandugu wote mliochangia, nawashukuru sana kwa ujumla wenu, naendelea kukaribisha ushauri huku nikifanyia kazi ambao nimeshapewa, offcourse as usual .........za kuambiwa....mix with yours! Nami nitachang'anya na zangu kupata ufumbuzi wa hili. Wana JF, nitawajuza kitakachoendelea.
...hivi sasa napoongea shemeji keshahama hostel anaishi kwa jamaa, wanapika na kupakua.
Hicho kitu kimeniumiza sana hasa ukifikiria ni mke wa rafiki yangu. Kwasababu alijua anachokifanya, shemeji sasa ananionea aibu sana kiasi kwamba hata nikimpigia simu hapokei. Wakati naendelea kutafakari nini cha kufanya, nikapokea simu kutoka kwa huyo rafiki yangu (mwenye mke) akinituhumu kuwa mkewe kampigia simu kuwa mimi nimemtongoza na nataka niwe na mahusiano naye kimapenzi, kwakuwa jamaa anamuamini sana mkewe na anampenda mno, amefedheheshwa sana na taarifa hizo hasa ukizingatia sisi ni marafiki wa siku nyingi, jamaa ameapa kunichinja siku tukionana. Nimejaribu kumuelewesha jamaa haelewi.
Wandugu nifanyeje?
(Samahani sana kwa kuweka stori ndeeeefu lakini ilibidi nifanye hivi ili issue iwe clear kidogo)
Ni kitu rahisi sana kwani ukigusana na mwenzio sehemu yoyote ya mwili basi wewe huacha DNA zako sehemu hiyo na hazipotei asilani,
Uses of DNA in Criminal Investigations:
1. Identifying remains
2. Provides a Record of a particular person
being in a particular place
3. Ownership of personal items such as clothing
4. Determining Kinship
Ni kitu rahisi sana kwani ukigusana na mwenzio sehemu yoyote ya mwili basi wewe huacha DNA zako sehemu hiyo na hazipotei asilani,
Uses of DNA in Criminal Investigations:
1. Identifying remains
2. Provides a Record of a particular person
being in a particular place
3. Ownership of personal items such as clothing
4. Determining Kinship
kesi yako complicated kweli.. pole sana.. chakufanya mwambie ukweli tu huyo rafiki yako akikataa tafuta camera piga picha ya huyo shem wako wakiwa na huyo jamaa.. mtumie rafiki yako kazi iwe kwake.. alale ama aoshe vyombo alale
Kwani mkuu huwezi fanya upaparazi ukawapiga hata picha kadhaa wakiwa maeneo yao tofauti ya kujidai halafu ukamtumia huyo jamaa yake ajithibitishie mwenyewe!!
AtaKUWA Ka - toroise tu.Huyu aliyeandika hapa ni askofu wa kanisa gani?
Uko sahihi kwa hilo, manake asivyotaka kuelewa ukweli, yaani mpaka ananishangaza kama ile degree aliyopata pale mlimani ilikuwa ni chetu au la.[/QUOTE]
Taratibu ndugu yangu. Kwenye mambo ya unyumba hakuna degreee, diploma au form 7. Wote sawa, ni uchizi kwa kwenda mbele.
Hata hivyo busara inatakiwa kuwepo kila mahali bila kujali elimu ya darasani. Ndio maana naamini huyu mshikaji wako ni kiazi fulani katika haya mambo ya unyumba. Kwani angemwambia Mama yake anamtongoza (assume ni lesbian) angekubali? We nyamaza tu, kuna siku atakuja kwako analia machozi kama toto lilivimbia!
Deodat;
Unless story ni ya kutunga, it is very touching!
Ningekushauri pia kisirisiri umpe rafiki yako contacts za simu za watanzania wawili au watatu ; najua sababu shemeji yako, mume wake hayupo kule, watakuwa wameshaji-expose ki-aina to the extent ambayo nina shaka kama kuna mtanzania yeyote asiyejua nini kinaendelea kati ya wawili hao. Awapigie simu na watamweleza aelewe. Hasa ungejaribu kutumia wale wa kike, hasa wale walioko kwenye maisha ya ndoa na wanaishi na waume zao huko