Nimeshikwa pabaya - wakuu naomba msaada tutani!


Asante sana, naona hii ina-click!
 
Hili nalifanyia kazi, nataka ni-establish evidence beyond doubt! Thanks!
If I were u i would cut them loose. Elekeza nguvu zako kwenye mambo ya maana yaliyokuleta huko. Wabongo mi nawajua, so much drama na wanaeza kukuharibia huko nchi za watu ukakosa mwana na maji ya moto ukakandwa.
 
Wandugu wote mliochangia, nawashukuru sana kwa ujumla wenu, naendelea kukaribisha ushauri huku nikifanyia kazi ambao nimeshapewa, offcourse as usual .........za kuambiwa....mix with yours! Nami nitachang'anya na zangu kupata ufumbuzi wa hili. Wana JF, nitawajuza kitakachoendelea.
 


haya Deodat
 

...wote wawili hawana maana. Achana nao na huo mtindo wa maisha yao.
Mind your own business!
 
kesi yako complicated kweli.. pole sana.. chakufanya mwambie ukweli tu huyo rafiki yako akikataa tafuta camera piga picha ya huyo shem wako wakiwa na huyo jamaa.. mtumie rafiki yako kazi iwe kwake.. alale ama aoshe vyombo alale
 

...asilani? si kweli.
 


Ni kweli DNA inatumika kwenye uchunguzi wa mambo ya uhalifu (criminal and forensics) ila tatizo langu ni nyweie za mtu kubaki kwa mwenzake kama vile zimepandwa. Hii haina ukweli wowote, labda kama kitendo kimefanyika muda si mrefu. Hata hivyo kiwango cha DNA kwenye nywele siyo kingi zaidi kama kama kile kinachoweza kupatika katika maji maji yanayokutwa sehemu za siri. Hilo suala la nywele kugandamana kwenye mwili halipo kabisa. Kama una ushahidi wa kisayansi, basi tupatie.
 
kesi yako complicated kweli.. pole sana.. chakufanya mwambie ukweli tu huyo rafiki yako akikataa tafuta camera piga picha ya huyo shem wako wakiwa na huyo jamaa.. mtumie rafiki yako kazi iwe kwake.. alale ama aoshe vyombo alale

Huyo mshikaji wake inaonekana ni mpuuzi. Hata akitumiwa picha nadhani hataamini. Dawa ni kumwacha ili aje ayajue mwenyewe. Kitendo cha kuamibiwa na mke kwamba rafiki yake anamtogoza kilitakiwa tu kimpe hints. He is a loser!
 
ebanaeeee!!!! pole sana kwa yanayokusibu ndugu, ushauri wangu kwako ni kwamba usicomplicate maisha we kama ushamwambia akaona unamzingua, mpotezee we kula buyu tu haina haja ya kumbembeleza akuamini, wacha mazoea na huyo shemejiyo aso na haya wala soni.
ilimradi ushamfikishia ujumbe, u move on with your life.
 
Kwani mkuu huwezi fanya upaparazi ukawapiga hata picha kadhaa wakiwa maeneo yao tofauti ya kujidai halafu ukamtumia huyo jamaa yake ajithibitishie mwenyewe!!
 
Kwani mkuu huwezi fanya upaparazi ukawapiga hata picha kadhaa wakiwa maeneo yao tofauti ya kujidai halafu ukamtumia huyo jamaa yake ajithibitishie mwenyewe!!

...hapana bana, hiyo ni tabia mbaya sana.
Nadhani ndio inaitwa umbea hiyo.
 
Huyo mshikaji wake inaonekana ni mpuuzi

Uko sahihi kwa hilo, manake asivyotaka kuelewa ukweli, yaani mpaka ananishangaza kama ile degree aliyopata pale mlimani ilikuwa ni chetu au la.
 
Huyo jamaa yako kama hataki kuelewa, na wewe mchimbe mkwara aache kukutishia maisha
 
pole kaka,just hire a private investigator.then mtumie rafiki yako hizo picha na ripoti ya upelelzi
 
 

Ni kweli ukisoma alichoandika kwenye utangulizi na mkasa wenyewe haviendani. Rafiki yako kabisaaaaaaaaaaa, mmesoma tangu primary hadi UDSM, umemsaidia mkewe kapata masters huko majuu tena kwa gharama zako. Halafu leo hii mkewe tu aseme umemtongoza tu na yeye aahidi kukuchinja? No! Hii ni stori ya kutunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…