Nimeshinda kituo cha polisi leo baada ya huyu mkaka (Bonge) Kuzimia wakati tunafanya tendo la ndoa

Nimeshinda kituo cha polisi leo baada ya huyu mkaka (Bonge) Kuzimia wakati tunafanya tendo la ndoa

hahah,, una bahati maana pale mapokezi polisi ningekubambika kesi ya kuandamana bila kibali....
 
Wewe nilisahau kukutag nilimuona lemut na the list alafu kala ban angepita hapa ningekomaaa
yaani cku nyingine ukisahau kuni tag ..nakulipisha kodi ya matangazo ..au nawaamuru mods wakufnyie kma walichomfnyia yule mganga wako
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] bonge ndo maana mm sitaki kabisa wanaume wazee wala vibonge yan unaweza kaa rumande hivi hivi.
Hii story imenikumbusha Mzee mmoja hv enzi za usichana.
 
Leo Kwa 100%
Nimegundua huyu Demis ni Mwanaume....
Mambo Ya Tabia sijazungumzia ila Nasema ni Mwanaume!
Kwaiyo ni shoga


HV man anafaidika VIP kutumia I'd yakike ***** zao

Laaana sio laana sijui tuite nn??
 
Story zako zote unasifia kitumbua chako tu, alafu utakuta sio kitamu kiivyo kama unavyokipamba
Hahahaha na amekukaririsha hivyo siku ukikuta tofauti utamuangalia hilo jicho [emoji30][emoji30]baki na mimi tu sawa mim utaniambia mwenyewe kama tamu au la
 
Back
Top Bottom