Nimeshindwa kumsahau

.....Duu umechukua chako?...
Hapa sikuungi mkono mkuu...
Then nilitakiwa nifanyeje? Nimwachie kwa lipi? Maana hata kugonga sijawahi kugonga hapo sijaandika hela nilizokuwa nampa kwa ajili ya kujikimu
 

Ulikosea kuchukua simu, sio uungwana! kumwacha sawa, kuchukua simu haikuwa sawa!
 

Ungekuwa na nia nzuri na uvumilivu, ungeweza mpata tu vizuri bila hata shida, sema haraka zako na tamaa zako zimekuponza
 
Alitaka niwe rude akaweka hadi pedi mkuu. Maana mwenyewe niliwaza ulichokiwaza alivoona simwelewi alisimama akapandisha sketi kasogeza pichu pedi hiyo hapo ikabidi niwe mpole tu
Kama amekuvulia hadi nguo na kukuonyesha nyeti zake zilizowekewa pedi, huyo ni wako ungemla tu!! Hukupaswa kupaniki, mabinti wengine ni wastaarabu hawawezi kutoa papuchi kirahisi rahisi.

Enzi hizo nliwahi kuingia na binti geto akasema yupo period, kuvua chupi nakuta pedi, kuzitoa pedi ni kavuuuu kumbe wala hayupo period aliweka tu ili nisimle siku ya kwanza kuja kwangu.

Baada ya kugundua hayupo period, nilimtafuna na yeye akaenjoy kweli kweli!! Dem mwenyewe ndo my wife wangu hivi sasa!!!
 
wewe ulikuwa unataka tuu mbunye.....hukuwa na malengo na binti wa watu.....wacha aende zake........mamako ulishawahi kumnunulia simu??
 
Umeshindwa mwenyewe...alivyokuja peke yake hata kama yuko MP.....ulimuomba akakataa?pengine ana njia nyingine angekupa utumie....vijana mnaniangusha sana!!!yankuja kulialia humu wakati hukusoma alama za nyakati kwa uzembe wako....ndiyo maana kakukimbia manake anajua hujui kama kuna njia zaidi ya moja ..we unafikiri alikuja kufanya nini?
 
Dini hairusuhu
 
Mkuu umeshindwa kutia grisi kitu ingelainika hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…