Nimeshindwa kumsahau

Nimeshindwa kumsahau

Simu ulimnunulia ili akupe ngenya au ulimnunulia kwa sababu ulimpenda???
 
Baaday ya kununua cm yangu iliyofuata ni ya mama
haya mwambie akurudishie na zile pesa za kujikimu basiii???? kubali umechunwa na mbunye hujapata.....cm jifariji nayo....songa mbele.....utachunwa sana dogo...
 
haya mwambie akurudishie na zile pesa za kujikimu basiii???? kubali umechunwa na mbunye hujapata.....cm jifariji nayo....songa mbele.....utachunwa sana dogo...
Unaongea Kama hujawahi kumuhudumia msichana asee
 
miaka 30 ? unaonekana hujielewi kabisa, huo sio umri wa kuhangaikia k... i doubt at your mid and late 20's kuna sehemu ulibugi now inakukost
 
Sasa mkuu ulitaka aje mwenyewe ili UMLE?
Kataka kukuonesha kua yeye sio mrahisi...
Na pia alivyosema yuko MP alikua anakataa huku anataka
 
unamhudumia yeye mgonjwa?? sema kanichuna na K yake kaninyima ndo maana nikamnyag'anya simu........
wanaume tunahudumia familia.....madem tunahonga......mbwiga wewe.....
Mbona nimeweka mambo wasi tu angekuwa amenipa hiyo k yake ningemwachia hiyo cm kama mafao yake tu
 
Then nilitakiwa nifanyeje? Nimwachie kwa lipi? Maana hata kugonga sijawahi kugonga hapo sijaandika hela nilizokuwa nampa kwa ajili ya kujikimu
Be a gentleman...

Hutakuja ng'oa dem.
 
Kausha tu kijana, kwani baada ya kumnyang'anya simu aliendelea kukutafuta?
 
Me hapaa 20 tu dadekiii...nimempa manenoo nataka anirudishieee falaa sanaa...!!
 
Haa ha...Anipe papuchi iwee kama mafaoo yakee.!! Hasiraaa sanaaa dadekiii...mkuu chukua tu hiyoo simu kulikoo aendelee kupata mtelezo wa kuwasiliana na vibwanaa vyakee...Chukua kajuteee shenzii sanaa...
 
Kua na msimamo kijana! Kama umeona hakufai songa mbele, ukianza kurudirudi nyuma utapotea!
 
Mi ni kijana (me) miaka 30 Kuna kabinti hapa mtaani nilitokea kukupenda basi sikujivuta sana nikamtafuta nikachukua number za cm nikamuomba siku moja tupate wote chakula Cha usiku basi haikuwa tabu akakubali ile siku tuliyokutana kwa ajili ya chakula sikumwambia chochote kuhusu lengo langu la kuwa nae week iliyofuata nikamuomba tena tukutane akakubali tukakutana tena sehemu nyingine hapo ndipo nilipofunguka alinielewa ila hakutaka kunijibu pale akanambie nipeleke home nikifika tu nakutumia txt sikulazimisha sana nikafanya Kama alivotaka na kweli alivofika tu home mi hata kabla sijaondoka mtaani kwao majibu yakaja amekubali. Tazizo lipo hapa tokea siku hiyo hataki kukutana na mimi akiwa mwenyewe nyumbani kwangu anakuja lakinj akiwa na mwenzake ashafanya ivo mara mbili mara ya mwisho juzi jumamosi amekuja mwenyewe lakini akiwa MP (hakuwa na smartphone nikamnunulia japo ni cm ya bei rahisi) hicho kitendo Cha kuja mwenyewe alafu MP kilinikasirisha sana ukizingatia Kuna vitu vingi tu vinatokeaga vinavyo ashiria Kama kwangu anazuga tu ikiwemo kutokujibu msg kwa wakati hanitafuti mpaka Mimi nimtafute ukimuuliz sababu kibao ambazo kimsingi hazina mashiko. Sasa juzi nimeamua kugombana nae na nikachukua cm yangu ambayo nilimwambia nachukua cm yangu kwakuwa huna kumbu kumbu yoyote nzuri uliyo niacha zaidi ya furaha ambayo niliipata siku uliyoniambia upo tayari kuwa na mimi. Alitaka nimwachie hiyo cm ili nilikataa kata kata ila tokea nimechukua hiyo cm nafsi nimekuwa ikinisuta sana natamani nimrudishie ila sijui atanichukulia je kumpenda nampenda bado ila sitaki kuingia kwenye mahusiano yenye msongo kwa sasa Kwani umri nilio nao ni wa kufanya mahusiano thabiti kabisa. Ushauri wenu wana jamvi nimpe tu hii cm au nimpotezee maana sina dhamira ya kuendelea nae tena hata Kama yeye ata taka iwe ivo
Una miaka 30 bado hujajielewa bado au ndo kwanza unaanza mapenzi???achana nae huyo tafuta wa size mfanye maisha
 
Back
Top Bottom