Naombe ushauri wanaJF nina gf wangu wa mda mrefu kidogo, toka nimeanza kuwa nae sijawahi kusikia hichi kitu.
Nilimpigia simu siku tatu mfululizo hazipokelewi, ikanibidi na mimi nikae kimya, siku mbili baadae akanitext eti nimemsusa, nikaamua kumpigia sim baada ya kumuuliza kwanini hakupokea sim zangu akanijibu alikuwa hajisikii kupokea, eti kwasababu alikuwa period ki ukweli niliishiwa pozi, naombeni mawazo yenu juu ya hili nifanyeje?
1.Ukiona manyoya?
2.Panapofuka moshi?
3.Akumulikaye mchana na kijinga cha moto?
PERIOD,kutakuwa network inasumbua sana huko. si unajua hizi kampuni za simu za tanzania, mtandao ni miji mikubwa tu, huko ndani ndani kama period ni taabu sana.
1.Ukiona manyoya?
2.Panapofuka moshi?
3.Akumulikaye mchana na kijinga cha moto?
PERIOD,kutakuwa network inasumbua sana huko. si unajua hizi kampuni za simu za tanzania, mtandao ni miji mikubwa tu, huko ndani ndani kama period ni taabu sana.
Naombe ushauri wanaJF nina gf wangu wa mda mrefu kidogo, toka nimeanza kuwa nae sijawahi kusikia hichi kitu.
Nilimpigia simu siku tatu mfululizo hazipokelewi, ikanibidi na mimi nikae kimya, siku mbili baadae akanitext eti nimemsusa, nikaamua kumpigia sim baada ya kumuuliza kwanini hakupokea sim zangu akanijibu alikuwa hajisikii kupokea, eti kwasababu alikuwa period ki ukweli niliishiwa pozi, naombeni mawazo yenu juu ya hili nifanyeje?