Nimeshindwa kupata mawasiliano sababu ya block

Nimeshindwa kupata mawasiliano sababu ya block

demu akipata shida anakufata kukwambia waliku block bahat mbaya na ww unakubali

mkuu x anashikaje simu ya demu wako, maana yake anasoma msg zake pia

ila nqhisi ww ndo x
 
ex wake alichukua simu ya manzi wangu
Vijana wa hovyo utajiri mtaendelea uwasifu kina Mo na Bhakresa. Ex ana power kiasi hicho na wewe mwenye manzi huna cha kufanya. Huyo manzi anakuona boya kishenzi.
 
Kwakweli 😂😂,
Mwambieni kijana watoto ni wa moto mno safari hii
😂 ni wamoto kweli kweli uniform walizichoma baada ya kutoka kwenye mtihani wa mwsho.

Kijana bado ajajua akiwashiwa taa nyekundu afanye nini. Huo ni mwanzo tungoje bandiko lingine la maumivu.
 
Mbona kama hamna akili sawa sawa?

Yaani unasema X wake halafu anashika simu ya demu wako na kukublock yeye akiwa kama nani hapo sasa?

Kwahiyo huyo demu wako bado anakutana na mwanaume wake waliozinguana hii si ina maanisha hawa watu bado wana ukaribu mkubwa hadi anashika sim na kuamua nani asimpigie?

Usikute huwa wanakuwa kitandani pamoja. Huu ni upuuzi kubabake
 
Back
Top Bottom