makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
hahaha wakuu bana hapa kuna ki story kidgo by the way haiko ivyo the way nilivyotoa maelezo, nataka kujifunza tu.Ilikuwaje x wake akakamata simu ya manzi wako?
Huyu tayari kashajaa kwenye mfumo wa form 6 😂Asa ex kaingiaje hapo🤔🤔,..
Anyways nilisahau form six arts wako mtaani tayari Half american
Kwakweli 😂😂,Huyu tayari kashajaa kwenye mfumo wa form 6 😂
Hapo hatakiwi ila yeye bado kashindwa kujiongeza.
Vijana wa hovyo utajiri mtaendelea uwasifu kina Mo na Bhakresa. Ex ana power kiasi hicho na wewe mwenye manzi huna cha kufanya. Huyo manzi anakuona boya kishenzi.ex wake alichukua simu ya manzi wangu
😂 ni wamoto kweli kweli uniform walizichoma baada ya kutoka kwenye mtihani wa mwsho.Kwakweli 😂😂,
Mwambieni kijana watoto ni wa moto mno safari hii
Umeona eeeh...hakuna X hapoacha kuingilia mapenzi ya watu
x anachukuaje simu hadi kufanya yote hayo
Mwache tu ajiendekeze😃😂 ni wamoto kweli kweli uniform walizichoma baada ya kutoka kwenye mtihani wa mwsho.
Kijana bado ajajua akiwashiwa taa nyekundu afanye nini. Huo ni mwanzo tungoje bandiko lingine la maumivu.
Shauri yake tumuombee asijejidhuru tuMwache tu ajiendekeze😃
KwakweliShauri yake tumuombee asijejidhuru tu
Tutakuwa nao mpaka October sijui November yaani tujiandae kisaikolojiaAsa ex kaingiaje hapo🤔🤔,..
Anyways nilisahau form six arts wako mtaani tayari Half american
Na wakiingia semister ya kwanza ndio balaa zaidi.Tutakuwa nao mpaka October sijui November yaani tujiandae kisaikolojia
Yaani kama naziona hivi nyuzi zao😃Tutakuwa nao mpaka October sijui November yaani tujiandae kisaikolojia
Wakapata na boom aweeeNa wakiingia semister ya kwanza ndio balaa zaidi.