Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
- #21
Nishauri hapo mtu kama mimi ambaye sina line ya voda nafanyaje?Unaweza kupanga hoja vizuri, sema umechagua UHUNI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishauri hapo mtu kama mimi ambaye sina line ya voda nafanyaje?Unaweza kupanga hoja vizuri, sema umechagua UHUNI
Tatizo nawezaje kuchangia kwa muktadha huo?Kutoa ni moyo wako.
Hili ndio tatizo lenu, sio wote wanaokosoa jambo la upinzani ni washabiki wa lumumbaWewe Lumumba buku 7 tuondolee uchafu wako hapa.
Sio kweliHuyo mleta uzi anatokea ukoo wa MATAGA asikuumize kichwa.
Hapo ndio hata mm nashangaa, na hii imepelekea kushindwa kupata pesa kwa baadhi ya watuKwani ni lini Chadema waliwaambia wafuasi wao kwamba waendelee kutumia line za Vodacom? Maana mimi najua lile katazo bado linaendelea pia wameongeza katazo lingine la kutonunu bidhaa za Mo kisa kampigia kampeni Magufuli Smba Day. Au viongozi wanatuwekea makatazo ilhali wao wanaendelea kutumia hizo bidhaa au ndo kukurupuka kwa viongozi wa Chadema bila logic za msingi?
Ni kweli juzi hali yangu ilikuwa mbaya, ila jana na leo kuna mishe nimefanya nimepata pesa ila nashindaa kuchangiaWewe ni mpumbav tu huna lolote ndio maana uzi wako hauna wachangiaji wengi!Wengi wanakuona poyoyo!
Juzi ulikuja na uzi kuwa huwezi kuchangia kwasababu hali yako ni ngumu kifedha,leo unasema sababu huna line ya voda!!
Mataga mmefeli propaganda,mko kama mazombie ty!
Kwa sisi ambao hatuna mpesa au tigo pesa au airtel money tunachangiaje?Debe tupu haliachi kupiga kelele, Kama mtu anataka kuchangia jambo atahakikisha anachangia tu sababu atoaye hutoa katika hazina yake.
Afadhali wewe una tigo pesa, sisi wengine wenye halo pesa tumetengwa.Hata Tigo-pesa inashindikana. Nimejaribu mara kadhaa pesa inarudishwa. Ninyi viongozi wetu mtuambie la kufanya. Tunapenda sana kuchangia kampeni za CHADEMA.
Kupingana na ulichokiongea ndio tabia ya wanasiasa, Rais Magufuli alisema kwenye serikali yake ukiharibu ndio byebye lakini Anne Kilango Malecela aliharibu kwenye ukuu wa mkoa tena akamdanganya rais na bado akapewa ubungeKwani ni lini Chadema waliwaambia wafuasi wao kwamba waendelee kutumia line za Vodacom? Maana mimi najua lile katazo bado linaendelea pia wameongeza katazo lingine la kutonunu bidhaa za Mo kisa kampigia kampeni Magufuli Smba Day. Au viongozi wanatuwekea makatazo ilhali wao wanaendelea kutumia hizo bidhaa au ndo kukurupuka kwa viongozi wa Chadema bila logic za msingi?
Una nini ili nikuelekeze jinsi ya kuchangiaKwa sisi ambao hatuna mpesa au tigo pesa au airtel money tunachangiaje?
Nina halopesaUna nini ili nikuelekeze jinsi ya kuchangia
Kwa sisi ambao hatuna mpesa au tigo pesa au airtel money tunachangiaje?
Nataka nichangie mwenyewe, wakala washawahi kuniibia. Siwaamini tena kumtumia mtu pesaNenda kwa Wakala CRDB
changia Chadema.
Inaumiza sanaWewe kila siku na michango tu, huna habari nyingine?
Shwain,huna jipya!Ni kweli juzi hali yangu ilikuwa mbaya, ila jana na leo kuna mishe nimefanya nimepata pesa ila nashindaa kuchangia
We jamaa unazingua, kwani kosa langu lipi hapo?Shwain,huna jipya!