Nimeshindwa kwenda kazini sababu ya baridi, TANESCO wanahatarisha kibarua changu

Nimeshindwa kwenda kazini sababu ya baridi, TANESCO wanahatarisha kibarua changu

Unazingua sasa
unazingua wewe au mimi? hebu rudia kusoma critically ulichoandika halafu toka nje ya topiki ukitafakari utaona kilicho ndani ya akili yako, yaani jichukulie kama wewe ndio unasoma kitu alichoandika mwingine halafu komenti
 
Hawa jamaa wa dar saiv wanatia aibu sana yaani wamekuwa nyoro nyoro sana

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hahaha ni tatizo kwakweli
Screenshot_2018-01-08-10-50-36.png

Hapa tu ndipo nilipo jiridhisha kwamba huyu kijana alie wapa hasara wazazi wake niwa Dar
 
Kuna wezekano mkubwa wanaume wengi wa dar leo wameenda kazini bila kuoga wakisingizia baridi
Walisha leta uzi hapa asubuhi kwamba wameshindwa kutoka nje kwasababu ya baridi na mvua.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mmoja akaja na comment kwamba ameshindwa kufungua geti kwasababu ya mvua, ili atowe Mercedes Benz aende mlimani city kununua pizza kwaajili ya breakfast....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Walisha leta uzi hapa asubuhi kwamba wameshindwa kutoka nje kwasababu ya baridi na mvua.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mmoja akaja na comment kwamba ameshindwa kufungua geti kwasababu ya mvua, ili atowe Mercedes Benz aende mlimani city kununua pizza kwaajili ya breakfast....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana aisee
 
Leo nimesikitika sana nimeamka nimekuta mvua kubwa sana na baridi na kwa bahati mbaya au makusudi Tanesco wamekata umeme na kiukweli nimesononeka sana sababu Tanesco wana hatarisha kazi yangu.

Nimeshindwa kuoga sababu hali ya hewa ni baridi sana na maji ya baridi na kiukweli nimeshindwa kuoga na kuelekea kazini ,nilitegemea kuchemsha maji kwenye heater ila Tanesco wakafanya yao

Kwa baridi hii aah watanisamehe bure tu yote wameyataka Tanesco ,nimesikitika sana
anahitaji msaaada
 
Mkiitwa wanaume wa dar mnalia lia kuna baridi gani la kutaka uoge maji ya moto
 
Mkiitwa wanaume wa dar mnalia lia kuna baridi gani la kutaka uoge maji ya moto
Wa Dar....... bila maji ya moto hawogi, na bila chips mayai skuhiyo hawakuli...[emoji12] [emoji12]
 
Leo nimesikitika sana nimeamka nimekuta mvua kubwa sana na baridi na kwa bahati mbaya au makusudi Tanesco wamekata umeme na kiukweli nimesononeka sana sababu Tanesco wana hatarisha kazi yangu.

Nimeshindwa kuoga sababu hali ya hewa ni baridi sana na maji ya baridi na kiukweli nimeshindwa kuoga na kuelekea kazini ,nilitegemea kuchemsha maji kwenye heater ila Tanesco wakafanya yao

Kwa baridi hii aah watanisamehe bure tu yote wameyataka Tanesco ,nimesikitika sana
Nadhani huyu ni mfanyakazi wa serikali na huenda mzee magu hajaangalia wafanyakazi wake baadhi walio wavivu km huyu.
Yaani ni kweli kuwa mtu unaishi mjini huna hata kajiko kadogo ka gas?
Au hata TV huna maana mamlaka ya hali ya hewa ilishatangaza kuhusu kuwepo kwa mvua juu ya wastani.
Ila ungefanya kazi na wazungu leo hii ulikuwa unafukuzwa ili ulale vizuri siku zote na kuendeleza uvivu forever.
Pia kama wewe unaipenda kazi yako, walau unatakiwa upige pasi usiku na kutayarisha kila kitu na si kusubiri hasubuhi.
Pole sana kwa ujinga huo. Sijui elimu yako km inakisaidia lakini
 
Back
Top Bottom