Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,768
Happy birthday chief.Kama uko Arusha, Mbeya au Iringa nitakubaliana na wewe, lakini kama uko Dar. Boss wako anatakiwa kukutimua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Happy birthday chief.Kama uko Arusha, Mbeya au Iringa nitakubaliana na wewe, lakini kama uko Dar. Boss wako anatakiwa kukutimua.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kupika natumia kuni sasa huko kusemsha maji huku mkoani hatujui[emoji23]
unazingua wewe au mimi? hebu rudia kusoma critically ulichoandika halafu toka nje ya topiki ukitafakari utaona kilicho ndani ya akili yako, yaani jichukulie kama wewe ndio unasoma kitu alichoandika mwingine halafu komentiUnazingua sasa
Hawa jamaa wa dar saiv wanatia aibu sana yaani wamekuwa nyoro nyoro sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha ni tatizo kwakweli
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Pumbavu sana, Kilaza mkubwa Mwanaume unashindwa kuoga kisa baridi.
Jinga sana
Walisha leta uzi hapa asubuhi kwamba wameshindwa kutoka nje kwasababu ya baridi na mvua.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Kuna wezekano mkubwa wanaume wengi wa dar leo wameenda kazini bila kuoga wakisingizia baridi
[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana aiseeWalisha leta uzi hapa asubuhi kwamba wameshindwa kutoka nje kwasababu ya baridi na mvua.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mmoja akaja na comment kwamba ameshindwa kufungua geti kwasababu ya mvua, ili atowe Mercedes Benz aende mlimani city kununua pizza kwaajili ya breakfast....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Usicheke mkuu, humu jf minajua wanaume wote wa Dar wanamiliki magari, kasoro mimi na wewe tu wallah....[emoji14] [emoji14] [emoji14][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana aisee
[emoji1] [emoji1] aiseeUsicheke mkuu, humu jf minajua wanaume wote wa Dar wanamiliki magari wallah....[emoji14] [emoji14] [emoji14]
Mkuu, huyo jamaa nimemfananisha na mleta mada wallah......[emoji12] [emoji12] [emoji12]
anahitaji msaaadaLeo nimesikitika sana nimeamka nimekuta mvua kubwa sana na baridi na kwa bahati mbaya au makusudi Tanesco wamekata umeme na kiukweli nimesononeka sana sababu Tanesco wana hatarisha kazi yangu.
Nimeshindwa kuoga sababu hali ya hewa ni baridi sana na maji ya baridi na kiukweli nimeshindwa kuoga na kuelekea kazini ,nilitegemea kuchemsha maji kwenye heater ila Tanesco wakafanya yao
Kwa baridi hii aah watanisamehe bure tu yote wameyataka Tanesco ,nimesikitika sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]duh kama ni mwanaume pole sana kwa wazazi wako maana mtoto wamezaa ila hawajapata chochote
Wa Dar....... bila maji ya moto hawogi, na bila chips mayai skuhiyo hawakuli...[emoji12] [emoji12]Mkiitwa wanaume wa dar mnalia lia kuna baridi gani la kutaka uoge maji ya moto
Wanaume wa dar wanatuaibisha wanawake wa darWa Dar....... bila maji ya moto hawogi, na bila chips mayai skuhiyo hawakuli...[emoji12] [emoji12]
Aisee poleniWanaume wa dar wanatuaibisha wanawake wa dar
Nadhani huyu ni mfanyakazi wa serikali na huenda mzee magu hajaangalia wafanyakazi wake baadhi walio wavivu km huyu.Leo nimesikitika sana nimeamka nimekuta mvua kubwa sana na baridi na kwa bahati mbaya au makusudi Tanesco wamekata umeme na kiukweli nimesononeka sana sababu Tanesco wana hatarisha kazi yangu.
Nimeshindwa kuoga sababu hali ya hewa ni baridi sana na maji ya baridi na kiukweli nimeshindwa kuoga na kuelekea kazini ,nilitegemea kuchemsha maji kwenye heater ila Tanesco wakafanya yao
Kwa baridi hii aah watanisamehe bure tu yote wameyataka Tanesco ,nimesikitika sana