Nimeshindwaa kulala natafakari mengi...

Nimeshindwaa kulala natafakari mengi...

Pole Sanaa boss...but Kama Bado yupo jaribu kumsikiliza na pia mruhusu nae akuskilize,,,Kama Kuna ugumu wa kumsaidia bs mueleze na umpe na sababu ili aende zake
 
Mpigie simu mlinzi muulize yupo wapi?
Mpigie simu jirani yako muulize kama anasikia hizo kelele,
Lakini kubwa zaidi USIMFUNGULIE mlango huyo mtu, wala USIMSEMESHE kaa zako kimya ikiwezekana weka earphones masikioni ukibembelezwa na mziki murua kabisa.
 
Usithubutu kufanya huo ujinga wakumfungulia utajutaaaaa.....
Halafu huyo mzee anayekupa lift sio mtu mzur

Jiandae kwa misukosuko
Omba Sana
Sali sana
Yanayokuja sio mazur
Jiandae
 
Yaani umfungulie mtu usiyemjua usiku!!!!! Sio watu wote waendeshao magari/watembeao kwa miguu barabarani wana kazi halali, kumbuka pia wanawake/watoto wanatumiwa sana kwenye uhalifu. Hiyo nyumba mtaanza kuchorewa ramani muda si mrefu.
 
Kuwa makini sana usiconclude kuwa mlinzi hayupo kwa maneno ya kuambiwa na mtu ambae hujui ana nia gani what if is a set up? Kuwa makini alafu usiku mnene hivyo sio mda wa kuruhusu maongezi utajazungumza na majini na wachawi utoke watokomee na wewe kusikojulikana.
 
Habiri za usiku huu wakuu..

Tafadhali usika na kichwa cha habari na unisaidie maoni yako ,

ni usiku huu wa saa 8:18 kuna mdada kaja kugonga kwa geti letu anaomba msahada lakn hyo dada alivo nikama hafanani na kuomba msahada

Kagonga sana hodi imenibidi ninyanyuke nifungue pazia nimchungulie,lkn niliona ni mdada wa lika langu..

hvo nime fungua dirisha kumsikiliza nikamwabia dada tukusaidie nini usiku huu, anacho dai anaomba msahada nimfungulie geti aingie akae hapo ndan

Nikamuuliza kwan waenda wapi wewe? akajibu kuna boda kaja naye kutoka usagara kamshusha hapo yeye kaondoka ambayo ni mwanza hyo...

Nikamuuliza na unako enda wap? akajibu naenda uko uko usagara? kidogo nikashitka

Nyumba nayo ishi mimi ni kubwa ina geti kumbwa na get ndogo 3 ambapo ukiachna na geti kubwa kuna flow 3 kila flow ina milango miwili namaanisha wapangaji wawili wawili na kule ndan geti kubwa kuna apartment 4 na wakaa wafanya kazi wa serikalin tu,

Hvo nikamulekeza dada azunguke get kubwa ili akutane na mlinzi aongee nae kama ata mruhusu kukaa akae uko

cha ajabu kaenda kagonga lakini mlinzi hayupo getini, ikabidi arudi kwangu ambapo amegonga geti bila ustarabu na kulalamika nimsaidie asubuhi ataondoka

Mimi nimeshindwa ata kufungua dirisha nimebaki namsikiliza tu kwa maan nilijiuliza maswali mengi sana kwa nini geti ili?! wakati kuna flow zingine anaweza gonga

Hyo imenifanya nifikilie mengi sana ikiwemo na roho ya huruma ila nimeona huruma mara nyingine uponza maan ukizingati jiran yangu yupo lkn hakuamka kumsikiliza

Moja kati ya niliyo yawaza ni hvi..
Kuna mbaba sio mtu mzima kivile ilikuwa juzi kati asubuhi naenda kazini alinikuta njiani natembea, hvyo akaomba anipe lift nilimwambia kuna boda anakuja kunipeleka lkn alinambia nimwambie boda aache tu yeye atanipeleka mpk kazin

Sikumkatalia hyo baba alikuwa na prado ya rangi ya blue hvo nilimpgia boda kumwambia aache tu kuja, na kupanda ndan ya gari akanipeleka mpk kazin,

Tukiwa ndan ya gari aliniuliza nina mahusiano nikamwambia ndio ninayo, aliomba namba ili awe ananisalimia,niliona kumnyima mtu kanipa lift sio vizuri

Alipo nifikisha job aliondoka kwan aliniambia anakwenda shinyanga yeye ni mfanya kazi wa serikalin na kazi anafanyia uko

Sasa leo bhna natoka job nipo namsubiri boda barabarn nikamuona na gari lake, kaja kaniambia anaomba anipeleke nyumbn, sikukataa niliingia kwa gari na mpk home, ilikuwa ni barbarn na ndo njia ya kwenda kwake

Nilipo fika nikamwambia nimefika tyar! akaniuliza kumbe ndo waish hapa? nikamwambia ndio!

Akauliza naweza kufika kwako?!!!!!
nikamwambia hapa akauliza sababu nikamjibu mimi na wew hatujuani isitoshe kwangu mimi anaruhusiwa kuja mtu mmoja tu ambaye ni mchumba angu

Dah yule baba amesikitika sanaaa na kuniambia mimi hyu siruhusiwi kufika kwako?! nikwambia ndio na ata kama tungekuwa tumezoeana bado usinge fika

Aliniambia asante nashukuru sana nikamwambia asante pia kwa lift

Nikashuka na kuelekea zangu getin alisubiri mpk nimeingia getin ndo akawasha gari akaondoka

Sasa ndo nawaza hapa asije kuwa ni mtego hyu dada hapa maan mpka muda huu yupo anagonga geti

Najiwazia kwa sauti huyu dada katumwa lbda aje anifanyie kitu kibaya,[emoji848][emoji848]

Maan ata kumsaidia nimeshindwa kwa kweli

Pia najiuliza mlinzi kaenda wap ina maan kumbe mlizi wetu halali lindoni na kila mwezi tunamlipa hela lkn leo kelele zote hzi za kukoseswa usingizi yeye kaenda kwake kumbe

Ndo hvo jmn mpk dakika hii ni saa tisa hyo dada yupo hapo, sijui nimsaidiaje....

Mkuu amka kumekucha ujiandae kwenda kazini alafu utuambie nini kiliendelea.
 
WaTz tumekua na roho mbaya wakati tupo uchumi wa kati.

So mwizi anajizungusha na Prado ili iweje? Plus alikuona ukiingia getini ila hakuona room uliyoingia.

Mleta uzi nataka ujue kua ni kawaida wanaume tukisindikiza mtu hatuondoki mpaka tuhakikishe kaingia ndani.

Anyway, kwakua moyo wako una hofu basi achana na kumfungulia geti. But what if ukiamka leo ukakuta kuna maiti ya mwanamke hapo barabarani? Utaishi unajiuliza 'Vipi kama ningefungua? Ningeokoa maisha yake?' ili nisijiulize haya maswali ndiyo maana hua nakua msaada katika scenarios ambazo ni ngumu muda mwingine.

Uchaguzi ni wako tho.
 
Wale watu wa kula tunda kimasihara lazma tutakuandama mkuu ...unaachaje pisi Kali hiyo
 
Ulichokifanya ni sahii; Dunia ya leo imebadilika sana, kwa nini iwe saa nane usiku, kwa nini asiende polisi, kwa nini an'ga'nganie mlangoni kwako?
 
Yaani umfungulie mtu usiyemjua usiku!!!!! Sio watu wote waendeshao magari/watembeao kwa miguu barabarani wana kazi halali, kumbuka pia wanawake/watoto wanatumiwa sana kwenye uhalifu. Hiyo nyumba mtaanza kuchorewa ramani muda si mrefu.
Ata me nimwlifikilia ilo yawezekana kaja kuchora raman aone kama kuna ulinzi maan aligonga geti kwa fujo saana akitegemea lbda angetokea mlinzi mmmmh adi naogopa kukaa nyumba zaatajiri kutwa roho juu alafu hapa kuna supermarket pia pengine kweli ni michoro
 
Back
Top Bottom