Nimeshindwaa kulala natafakari mengi...

Nimeshindwaa kulala natafakari mengi...

Funga dirisha... Na ulale.. Acha roho ya huruma itakuponza kwa usiku wote huo...

Ukiona huruma inakuzid mwambie alale hapo hapo mlangon mwambie kuna usalama
Yaan nikweli kilicho nishinda kumsaidia kingine ni kwa nn nyumba zima kuna get 3 lkn ya kwetu tu ndo aligonga
 
Pole Sanaa boss...but Kama Bado yupo jaribu kumsikiliza na pia mruhusu nae akuskilize,,,Kama Kuna ugumu wa kumsaidia bs mueleze na umpe na sababu ili aende zake
Sijui aliondoka saa ngap maan nilijua lbda ni usafir lakin pikpik zilipiga nyingi sana wala hakuweza kusimamisha ila kutaka msahada wetu tu
 
Mpigie simu mlinzi muulize yupo wapi?
Mpigie simu jirani yako muulize kama anasikia hizo kelele,
Lakini kubwa zaidi USIMFUNGULIE mlango huyo mtu, wala USIMSEMESHE kaa zako kimya ikiwezekana weka earphones masikioni ukibembelezwa na mziki murua kabisa.
Nilipga haikupatina pia wenzangu waliniambia nisinyanyuke kumsikiliza
 
Kuwa makini sana usiconclude kuwa mlinzi hayupo kwa maneno ya kuambiwa na mtu ambae hujui ana nia gani what if is a set up? Kuwa makini alafu usiku mnene hivyo sio mda wa kuruhusu maongezi utajazungumza na majini na wachawi utoke watokomee na wewe kusikojulikana.
Skufanya hvo mkuu lengo la mimi kufungua dirisha nilizani mpangaji mwenzangu lbda katoka kula bata kapoteza funguo kwa maana kipindi nafungua niliita jina la hye dada nikitegemea ni yeye
 
Mkuu amka kumekucha ujiandae kwenda kazini alafu utuambie nini kiliendelea.
Nisha fika kazin mkuu asante kwa kuniamsha...

Sikumsikiliza baadae niliona kmya nikalala sijui aliondoka saa ngap
 
WaTz tumekua na roho mbaya wakati tupo uchumi wa kati.

So mwizi anajizungusha na Prado ili iweje? Plus alikuona ukiingia getini ila hakuona room uliyoingia.

Mleta uzi nataka ujue kua ni kawaida wanaume tukisindikiza mtu hatuondoki mpaka tuhakikishe kaingia ndani.

Anyway, kwakua moyo wako una hofu basi achana na kumfungulia geti. But what if ukiamka leo ukakuta kuna maiti ya mwanamke hapo barabarani? Utaishi unajiuliza 'Vipi kama ningefungua? Ningeokoa maisha yake?' ili nisijiulize haya maswali ndiyo maana hua nakua msaada katika scenarios ambazo ni ngumu muda mwingine.

Uchaguzi ni wako tho.
Nikweli unacho kiongea mkuu lakin hyo maneno na mimi niliyafikilia kwa upande wangu je nikimsaidia alafu asiwe mtu mzuri atakuwaje...kiufupi mimi nina roho ya huruma sana lakn ule muda usiku wa manena mkuu ndo mambo mengi ufanyika

Nilijaribu kuwaza lbda hyo dada aliitwa na bwana ake alafu wameshindwana kaondoka, au jamaa kamtelekeza

Nilikuwa na moyo wa kumsaidia lakn nishindwa mkuu
 
Bado na mimi najiuliza" nyumba kubwa yenye geti moja kubwa na mageti madogo matatu uliwezaje kufungua pazia ukazungumza na huyo mgeni wa usiku mnene"
Sijui nikupe mfano gan ambao unaweza kuelewa ile nyuma ilivo jengwa ule ukuta ulio zunguka geti kubwa ni vyumba kwa hyo kila vyumba viwili vimejengewa na vyenewe ukuta wa fans na kuwekewa geti kafanya hvo kwa vumba vya nje labda nisema hvo kila malango wa chumba ni cumba na sebre nitakuletea ramani uweze uelewa vzur so ndo maan nikasema get ndogo kwa kuwa nikiwa ndan lile geti kuanzia katikat kurudi juu liko na uwazi ila chin ndo limezibwa kote na chumba chngu mimi nichakwanza hvo nina uwezo wa kuona nje
 
Yaani huyo mwanaume humtaki kwa kuwa una mchumba wako tayari ila lift unataka?? Hizi habari ukimsimulia mtu wako sidhani kama atakuelewa.
Bro kama usha wahi kumiliki gari basi utagundua kuwa kumpa mtu lift ni kitu cha kawaida tu ata ukimtongoza kuna kukataliwa na kukubaliwa yote ni matokeo na lift zake mimi sio kwamba naziba anajilete mwenyewe
 
Ulichokifanya ni sahii; Dunia ya leo imebadilika sana, kwa nini iwe saa nane usiku, kwa nini asiende polisi, kwa nini an'ga'nganie mlangoni kwako?
Asante kwa kuliona ilo mkuu
 
Back
Top Bottom