Sina imani waandishi wa habari, na kwa sasa nina mashaka na watumiaji wa vyombo ( wasikilizaji na wasomaji) Waandishi hawachambui, kazi yao wameinyima stail yake, wameifanya nyepesi. Walaji kina sisi hatuhoji zaidi hatusomi katikati ya mistari, kisha inakuwa mada.
Hamna , Hakuna mwanachuo utamla uroda kibiashara kwa 500, hata 3000/. hebu niambie huyo umemkuta wapi?, hiyo lunch umenunui wapi kiasi@, kisha mmenda kujivinjari wapi? kwa muda gani (siku/short T). Je hiyo ni price tag au ni pay after service. Watumiaji wa vyombo vya habari, hasa hapa kwa ma-GT chunguzeni.
Hint: Mabinti wa chuo wanawajua wakuwachuna, tena wanawapa pesa ya kutosha, ila wachache humu mkipwendwa/kupewa kisha mkanyimwa next day mnaleta story kama hizo.
Wadada wa VYUO pigeni nondo, kisha kanusheni kupitia media, Uongozi wa wanafunzi vyuoni toeni tamko. Vinginevyo mnaharibu sifa ya elimu yenu si wadada tu hata nyie wa kaka, maana nyie ndo wateja mwanzo.