Nimeshtushwa Lissu kutaka Wamasai waishi mazingira magumu!

Nimeshtushwa Lissu kutaka Wamasai waishi mazingira magumu!

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
Tundu Lissu kupitia akaunti yake ya mtandao wa X amewachochea Wamasai wa Ngorongoro wasihame kwa hiari kwenda Msomera, Handeni. Nimeshtushwa mno!

1723987112874.png

Nimejiuliza, Lissu ni katili hivi kumbe? Kumbe Lissu ni adui wa ndugu zetu Watanzania wa jamii ya Wamasai? Kwa sababu wahenga wanasema adui yako mwombee njaa! Lissu anawaombea njaa na dhiki Wamasai.

Tupime hoja; ndugu zetu Wamasai wanaohama kwa hiari kwenda Msomera wanapewa na serikali utajiri ufuatao:

(i) Eneo la ekari 2.5 za ardhi lenye nyumba moja, choo na bafu za nje.

(ii) Ekari tano za ardhi kwa ajili ya kilimo.

(iii) Wanapewa hatimiliki za ardhi hiyo.

(iv) Kuunganishwa miundombinu ya umeme na eneo la malisho.

Pia soma: Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Huu ni utajiri mkubwa. Mmasai huyu baada ya miaka 10 thamani ya utajri wake kutokana na mali ardhi na nyumba alizopewa na serikali utakuwa mkubwa.

Waliowahi kupewa maeneo ya Kigamboni enzi za Mwalimu Nyerere wanajua thamani ya kinachofanywa na serikali kwa Watanzania wa jamii ya Kimasai , waliokataa wanajuta. Leo hii huwezi kupata ardhi kwa bei rahisi Kibugumo, Gezaulole maarufu kama Geza wala Mwanagilato Kigamboni.

Pili, Lissu anajua azma ya serikali kwa kushirikiana na jamii ya Kimasai ni kulinda Hifadhi ya Ngorongoro, kwani ni urithi wetu wa dunia unaotambuliwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO).

Tatu, Lissu anajua utalii ni chanzo kikubwa cha kuingizia serikali fedha za kigeni. Lissu hataki Tanzania ipate fedha za kigeni ili tutegemee wajomba zake wa Ulaya!

Nne, nimeamini Lissu ni mamluki mzuri anayeweza kujilipua kwa maslahi ya maadui wa Taifa letu. Lissu hajawahi kusimama upande wa serikali Serikali dhidi ya vita ya uchumi. Amekuwa silaha ya kukodi.

Kumbe Lissu anatumika na Amnesty International, Human Rights Watch na baadhi ya majirani kuhujumu utalii na kutaka kuivuruga nchi yetu nzuri.

#Lissu must go kwenye siasa za Tanzania, ni mamluki hatari anayejidai mzalendo.
 

Attachments

  • IMG-20240817-WA0133.jpg
    IMG-20240817-WA0133.jpg
    56.4 KB · Views: 3
Ndiyo umejua leo? Lisu mpe hela tu atakufanyia kazi yoyote unayotaka hata ya kumtukana mama yake mzazi. Wenzake wakipewa hela wamehongwa na kununuliwa ila yeye akipewa hela na ccm ni sawa. Shame on msaliti wa MIGA
 
NIMESHTUSHWA LISSU KUTAKA WAMASAI WAISHI MAZINGIRA MAGUMU!

Tundu Lissu kupitia akaunti yake ya mtandao wa X amewachochea Wamasai wa Ngorongoro wasihame kwa hiari kwenda Msomera, Handeni. Nimeshtushwa mno!

Nimejiuliza, Lissu ni katili hivi kumbe? Kumbe Lissu ni adui wa ndugu zetu Watanzania wa jamii ya Wamasai? Kwa sababu wahenga wanasema adui yako mwombee njaa! Lissu anawaombea njaa na dhiki Wamasai.


Tupime hoja; ndugu zetu Wamasai wanaohama kwa hiari kwenda Msomera wanapewa na serikali utajiri ufuatao:

(i) Eneo la ekari 2.5 za ardhi lenye nyumba moja, choo na bafu za nje.

(ii) Ekari tano za ardhi kwa ajili ya kilimo.

(iii) Wanapewa hatimiliki za ardhi hiyo.

(iv) Kuunganishwa miundombinu ya umeme na eneo la malisho.

Huu ni utajiri mkubwa. Mmasai huyu baada ya miaka 10 thamani ya utajri wake kutokana na mali ardhi na nyumba alizopewa na serikali utakuwa mkubwa.

Waliowahi kupewa maeneo ya Kigamboni enzi za Mwalimu Nyerere wanajua thamani ya kinachofanywa na serikali kwa Watanzania wa jamii ya Kimasai , waliokataa wanajuta. Leo hii huwezi kupata ardhi kwa bei rahisi Kibugumo, Gezaulole maarufu kama Geza wala Mwanagilato Kigamboni.


Pili, Lissu anajua azma ya serikali kwa kushirikiana na jamii ya Kimasai ni kulinda Hifadhi ya Ngorongoro, kwani ni urithi wetu wa dunia unaotambuliwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO).

Tatu, Lissu anajua utalii ni chanzo kikubwa cha kuingizia serikali fedha za kigeni. Lissu hataki Tanzania ipate fedha za kigeni ili tutegemee wajomba zake wa Ulaya!

Nne, nimeamini Lissu ni mamluki mzuri anayeweza kujilipua kwa maslahi ya maadui wa Taifa letu. Lissu hajawahi kusimama upande wa serikali Serikali dhidi ya vita ya uchumi. Amekuwa silaha ya kukodi.

Kumbe Lissu anatumika na Amnesty International, Human Rights Watch na baadhi ya majirani kuhujumu utalii na kutaka kuivuruga nchi yetu nzuri.

#Lissu must go kwenye siasa za Tanzania, ni mamluki hatari anayejidai mzalendo.
Wewe mbona hujahamishwa kwenye Kijiji chenu. Jamani nyumbani ni nyumbani TU. Mazingira yao yanawapa Kila kitu wanachohitaji tangu Babu zao, Leo mnawahamisha?

Wengi mnanifanya hamuoni usumbufu kwao lakini mnaona ila mnajitoa ufahamu.
 
Tupime hoja; ndugu zetu Wamasai wanaohama kwa hiari kwenda Msomera wanapewa na serikali utajiri ufuatao:

(i) Eneo la ekari 2.5 za ardhi lenye nyumba moja, choo na bafu za nje.

(ii) Ekari tano za ardhi kwa ajili ya kilimo.

(iii) Wanapewa hatimiliki za ardhi hiyo.

(iv) Kuunganishwa miundombinu ya umeme na eneo la malisho.

Huu ni utajiri mkubwa. Mmasai huyu baada ya miaka 10 thamani ya utajri wake kutokana na mali ardhi na nyumba alizopewa na serikali utakuwa mkubwa.
Ukila ujue umeliwa
Msoga
 
NIMESHTUSHWA LISSU KUTAKA WAMASAI WAISHI MAZINGIRA MAGUMU!

Tundu Lissu kupitia akaunti yake ya mtandao wa X amewachochea Wamasai wa Ngorongoro wasihame kwa hiari kwenda Msomera, Handeni. Nimeshtushwa mno!

Nimejiuliza, Lissu ni katili hivi kumbe? Kumbe Lissu ni adui wa ndugu zetu Watanzania wa jamii ya Wamasai? Kwa sababu wahenga wanasema adui yako mwombee njaa! Lissu anawaombea njaa na dhiki Wamasai.


Tupime hoja; ndugu zetu Wamasai wanaohama kwa hiari kwenda Msomera wanapewa na serikali utajiri ufuatao:

(i) Eneo la ekari 2.5 za ardhi lenye nyumba moja, choo na bafu za nje.

(ii) Ekari tano za ardhi kwa ajili ya kilimo.

(iii) Wanapewa hatimiliki za ardhi hiyo.

(iv) Kuunganishwa miundombinu ya umeme na eneo la malisho.

Huu ni utajiri mkubwa. Mmasai huyu baada ya miaka 10 thamani ya utajri wake kutokana na mali ardhi na nyumba alizopewa na serikali utakuwa mkubwa.

Waliowahi kupewa maeneo ya Kigamboni enzi za Mwalimu Nyerere wanajua thamani ya kinachofanywa na serikali kwa Watanzania wa jamii ya Kimasai , waliokataa wanajuta. Leo hii huwezi kupata ardhi kwa bei rahisi Kibugumo, Gezaulole maarufu kama Geza wala Mwanagilato Kigamboni.


Pili, Lissu anajua azma ya serikali kwa kushirikiana na jamii ya Kimasai ni kulinda Hifadhi ya Ngorongoro, kwani ni urithi wetu wa dunia unaotambuliwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO).

Tatu, Lissu anajua utalii ni chanzo kikubwa cha kuingizia serikali fedha za kigeni. Lissu hataki Tanzania ipate fedha za kigeni ili tutegemee wajomba zake wa Ulaya!

Nne, nimeamini Lissu ni mamluki mzuri anayeweza kujilipua kwa maslahi ya maadui wa Taifa letu. Lissu hajawahi kusimama upande wa serikali Serikali dhidi ya vita ya uchumi. Amekuwa silaha ya kukodi.

Kumbe Lissu anatumika na Amnesty International, Human Rights Watch na baadhi ya majirani kuhujumu utalii na kutaka kuivuruga nchi yetu nzuri.

#Lissu must go kwenye siasa za Tanzania, ni mamluki hatari anayejidai mzalendo.
Lisu anatumika na Amnesty, wewe unatumikia wapi? Waarabu na huyu kibaraka wao? Si afadhali ya Lisu anajitambua! Kuna siku inakuja, mliona pale mfrejini Ghadafi alivyoomba msamaha na kutoka mipesa ili yule kijana asimle jambia? That day is coming for you!!!!!!!!!!
 
First and foremost STOP THE GENOCIDE OF THE MAASAI PEOPLE.

Pili, msijifanye nyie ndio mnaojua Wamasai wana mahitaji yepi ya kuishi maisha yao.

Tatu, kama ni kweli Mnalinda mazingira, waarabu wa nini?

Kwani unahitaji Mwarabu kuja kukufanyia lindo?

Itoshe kama ni ulinzi tu, wamaasai ni watu makini sana, ni jamii yenye weledi mkubwa sana likija suala la Ulinzi-sio kwa jamii inayowazunguka tu, bali kwa wanyama na mazingira waishio- Proven fact.

Hao waarabu wanakuja na nini cha kulinda mazingira? Bunduki? Petrol Dollar? Makobazi?

Hatahivyo, tuwaulize wana CHADEMA na wale wote wanaowatumia Wamaasai kuendeleza ajenda zao za Kisiasa.

Je, Mtawarudisha Wamasai kwao mkichaguliwa?
 
Tundu Lissu kupitia akaunti yake ya mtandao wa X amewachochea Wamasai wa Ngorongoro wasihame kwa hiari kwenda Msomera, Handeni. Nimeshtushwa mno!


Nimejiuliza, Lissu ni katili hivi kumbe? Kumbe Lissu ni adui wa ndugu zetu Watanzania wa jamii ya Wamasai? Kwa sababu wahenga wanasema adui yako mwombee njaa! Lissu anawaombea njaa na dhiki Wamasai.

Tupime hoja; ndugu zetu Wamasai wanaohama kwa hiari kwenda Msomera wanapewa na serikali utajiri ufuatao:

(i) Eneo la ekari 2.5 za ardhi lenye nyumba moja, choo na bafu za nje.

(ii) Ekari tano za ardhi kwa ajili ya kilimo.

(iii) Wanapewa hatimiliki za ardhi hiyo.

(iv) Kuunganishwa miundombinu ya umeme na eneo la malisho.

Pia soma: Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Huu ni utajiri mkubwa. Mmasai huyu baada ya miaka 10 thamani ya utajri wake kutokana na mali ardhi na nyumba alizopewa na serikali utakuwa mkubwa.

Waliowahi kupewa maeneo ya Kigamboni enzi za Mwalimu Nyerere wanajua thamani ya kinachofanywa na serikali kwa Watanzania wa jamii ya Kimasai , waliokataa wanajuta. Leo hii huwezi kupata ardhi kwa bei rahisi Kibugumo, Gezaulole maarufu kama Geza wala Mwanagilato Kigamboni.

Pili, Lissu anajua azma ya serikali kwa kushirikiana na jamii ya Kimasai ni kulinda Hifadhi ya Ngorongoro, kwani ni urithi wetu wa dunia unaotambuliwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO).

Tatu, Lissu anajua utalii ni chanzo kikubwa cha kuingizia serikali fedha za kigeni. Lissu hataki Tanzania ipate fedha za kigeni ili tutegemee wajomba zake wa Ulaya!

Nne, nimeamini Lissu ni mamluki mzuri anayeweza kujilipua kwa maslahi ya maadui wa Taifa letu. Lissu hajawahi kusimama upande wa serikali Serikali dhidi ya vita ya uchumi. Amekuwa silaha ya kukodi.

Kumbe Lissu anatumika na Amnesty International, Human Rights Watch na baadhi ya majirani kuhujumu utalii na kutaka kuivuruga nchi yetu nzuri.

#Lissu must go kwenye siasa za Tanzania, ni mamluki hatari anayejidai mzalendo.
Wewe ni balozi wa Mwarabu wa Ngorongoro?
 
Kuna tatizo mahali, mtu mweusi bado Hana uzalendo wa kutosha kumlinda jamaa yake na jirani yake.

Kiwango Cha Sasa Cha uzalendo wa mtu mweusi ni kujilinda mwenyewe tena Kwa woga na hofu kuu...

Unafanya makubaliano yasiyolinda watu wako unaowaongoza Kwa ajili ya kumlinda mtu mwingine mgeni.

Hapana hii sio sahihi...
 
Tundu Lissu kupitia akaunti yake ya mtandao wa X amewachochea Wamasai wa Ngorongoro wasihame kwa hiari kwenda Msomera, Handeni. Nimeshtushwa mno!


Nimejiuliza, Lissu ni katili hivi kumbe? Kumbe Lissu ni adui wa ndugu zetu Watanzania wa jamii ya Wamasai? Kwa sababu wahenga wanasema adui yako mwombee njaa! Lissu anawaombea njaa na dhiki Wamasai.

Tupime hoja; ndugu zetu Wamasai wanaohama kwa hiari kwenda Msomera wanapewa na serikali utajiri ufuatao:

(i) Eneo la ekari 2.5 za ardhi lenye nyumba moja, choo na bafu za nje.

(ii) Ekari tano za ardhi kwa ajili ya kilimo.

(iii) Wanapewa hatimiliki za ardhi hiyo.

(iv) Kuunganishwa miundombinu ya umeme na eneo la malisho.

Pia soma: Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Huu ni utajiri mkubwa. Mmasai huyu baada ya miaka 10 thamani ya utajri wake kutokana na mali ardhi na nyumba alizopewa na serikali utakuwa mkubwa.

Waliowahi kupewa maeneo ya Kigamboni enzi za Mwalimu Nyerere wanajua thamani ya kinachofanywa na serikali kwa Watanzania wa jamii ya Kimasai , waliokataa wanajuta. Leo hii huwezi kupata ardhi kwa bei rahisi Kibugumo, Gezaulole maarufu kama Geza wala Mwanagilato Kigamboni.

Pili, Lissu anajua azma ya serikali kwa kushirikiana na jamii ya Kimasai ni kulinda Hifadhi ya Ngorongoro, kwani ni urithi wetu wa dunia unaotambuliwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO).

Tatu, Lissu anajua utalii ni chanzo kikubwa cha kuingizia serikali fedha za kigeni. Lissu hataki Tanzania ipate fedha za kigeni ili tutegemee wajomba zake wa Ulaya!

Nne, nimeamini Lissu ni mamluki mzuri anayeweza kujilipua kwa maslahi ya maadui wa Taifa letu. Lissu hajawahi kusimama upande wa serikali Serikali dhidi ya vita ya uchumi. Amekuwa silaha ya kukodi.

Kumbe Lissu anatumika na Amnesty International, Human Rights Watch na baadhi ya majirani kuhujumu utalii na kutaka kuivuruga nchi yetu nzuri.

#Lissu must go kwenye siasa za Tanzania, ni mamluki hatari anayejidai mzalendo.
Weka hapa sababu za kuwahamisha na kuwakabidhi wageni badala ya kumlaumu.
 
Ndiyo umejua leo? Lisu mpe hela tu atakufanyia kazi yoyote unayotaka hata ya kumtukana mama yake mzazi. Wenzake wakipewa hela wamehongwa na kununuliwa ila yeye akipewa hela na ccm ni sawa. Shame on msaliti wa MIGA
Mbona hatujawwhi kusikia Lisu akimtukana mama au ndugu yake yeyote yule au hajatokea wa kumhinga huko?! Shetani la legacy unahanaikaga hapa jukwaani bila mafanikio.
 
Tundu Lissu kupitia akaunti yake ya mtandao wa X amewachochea Wamasai wa Ngorongoro wasihame kwa hiari kwenda Msomera, Handeni. Nimeshtushwa mno!


Nimejiuliza, Lissu ni katili hivi kumbe? Kumbe Lissu ni adui wa ndugu zetu Watanzania wa jamii ya Wamasai? Kwa sababu wahenga wanasema adui yako mwombee njaa! Lissu anawaombea njaa na dhiki Wamasai.

Tupime hoja; ndugu zetu Wamasai wanaohama kwa hiari kwenda Msomera wanapewa na serikali utajiri ufuatao:

(i) Eneo la ekari 2.5 za ardhi lenye nyumba moja, choo na bafu za nje.

(ii) Ekari tano za ardhi kwa ajili ya kilimo.

(iii) Wanapewa hatimiliki za ardhi hiyo.

(iv) Kuunganishwa miundombinu ya umeme na eneo la malisho.

Pia soma: Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Huu ni utajiri mkubwa. Mmasai huyu baada ya miaka 10 thamani ya utajri wake kutokana na mali ardhi na nyumba alizopewa na serikali utakuwa mkubwa.

Waliowahi kupewa maeneo ya Kigamboni enzi za Mwalimu Nyerere wanajua thamani ya kinachofanywa na serikali kwa Watanzania wa jamii ya Kimasai , waliokataa wanajuta. Leo hii huwezi kupata ardhi kwa bei rahisi Kibugumo, Gezaulole maarufu kama Geza wala Mwanagilato Kigamboni.

Pili, Lissu anajua azma ya serikali kwa kushirikiana na jamii ya Kimasai ni kulinda Hifadhi ya Ngorongoro, kwani ni urithi wetu wa dunia unaotambuliwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO).

Tatu, Lissu anajua utalii ni chanzo kikubwa cha kuingizia serikali fedha za kigeni. Lissu hataki Tanzania ipate fedha za kigeni ili tutegemee wajomba zake wa Ulaya!

Nne, nimeamini Lissu ni mamluki mzuri anayeweza kujilipua kwa maslahi ya maadui wa Taifa letu. Lissu hajawahi kusimama upande wa serikali Serikali dhidi ya vita ya uchumi. Amekuwa silaha ya kukodi.

Kumbe Lissu anatumika na Amnesty International, Human Rights Watch na baadhi ya majirani kuhujumu utalii na kutaka kuivuruga nchi yetu nzuri.

#Lissu must go kwenye siasa za Tanzania, ni mamluki hatari anayejidai mzalendo.
Hapo Dar mbona watu wanaishi mazingira magumu kuliko Wamasai? Acha ujinga
 
Endelea kukaa kwa shemeji yako, ungekuwa na kwako, tungekutolea mfano ili uelewe, lakini you can't relate...
 
Tundu Lissu kupitia akaunti yake ya mtandao wa X amewachochea Wamasai wa Ngorongoro wasihame kwa hiari kwenda Msomera, Handeni. Nimeshtushwa mno!


Nimejiuliza, Lissu ni katili hivi kumbe? Kumbe Lissu ni adui wa ndugu zetu Watanzania wa jamii ya Wamasai? Kwa sababu wahenga wanasema adui yako mwombee njaa! Lissu anawaombea njaa na dhiki Wamasai.

Tupime hoja; ndugu zetu Wamasai wanaohama kwa hiari kwenda Msomera wanapewa na serikali utajiri ufuatao:

(i) Eneo la ekari 2.5 za ardhi lenye nyumba moja, choo na bafu za nje.

(ii) Ekari tano za ardhi kwa ajili ya kilimo.

(iii) Wanapewa hatimiliki za ardhi hiyo.

(iv) Kuunganishwa miundombinu ya umeme na eneo la malisho.

Pia soma: Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Huu ni utajiri mkubwa. Mmasai huyu baada ya miaka 10 thamani ya utajri wake kutokana na mali ardhi na nyumba alizopewa na serikali utakuwa mkubwa.

Waliowahi kupewa maeneo ya Kigamboni enzi za Mwalimu Nyerere wanajua thamani ya kinachofanywa na serikali kwa Watanzania wa jamii ya Kimasai , waliokataa wanajuta. Leo hii huwezi kupata ardhi kwa bei rahisi Kibugumo, Gezaulole maarufu kama Geza wala Mwanagilato Kigamboni.

Pili, Lissu anajua azma ya serikali kwa kushirikiana na jamii ya Kimasai ni kulinda Hifadhi ya Ngorongoro, kwani ni urithi wetu wa dunia unaotambuliwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO).

Tatu, Lissu anajua utalii ni chanzo kikubwa cha kuingizia serikali fedha za kigeni. Lissu hataki Tanzania ipate fedha za kigeni ili tutegemee wajomba zake wa Ulaya!

Nne, nimeamini Lissu ni mamluki mzuri anayeweza kujilipua kwa maslahi ya maadui wa Taifa letu. Lissu hajawahi kusimama upande wa serikali Serikali dhidi ya vita ya uchumi. Amekuwa silaha ya kukodi.

Kumbe Lissu anatumika na Amnesty International, Human Rights Watch na baadhi ya majirani kuhujumu utalii na kutaka kuivuruga nchi yetu nzuri.

#Lissu must go kwenye siasa za Tanzania, ni mamluki hatari anayejidai mzalendo.
Hivi hamuwezi kukaa na upumbavu wenu kichwani? Aliyekwambia Wamasai wanaomba kuhamishwa Nani? Miaka yote hawajawahi kuomba kutoka Ngorongoro Leo Bibi yako kapata madaraka kimazabe ndo awajali Wamasai?
 
Back
Top Bottom