Pre GE2025 Nimeshtushwa na taarifa kwamba ACT Wazalendo wameungana na CCM kupinga maandamano ya CHADEMA

Pre GE2025 Nimeshtushwa na taarifa kwamba ACT Wazalendo wameungana na CCM kupinga maandamano ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nikitafakari namna ACT Wazalendo wanavyofanya siasa na malengo waliyonayo kisiasa kwa siku za mbeleni naona wanakosa mikakati sahihi.

Sometimes kuna kukaa kimya kwenye baadhi ya mambo na ukafanikiwa kufikisha ujumbe na kuna kuamua kutoka adharani. ACT siyo chama cha kutoka adharani kikiongozwa na vyama ambavyo havina wanachama. Inapotajwa kwenye hoja kama hizi kwamba inaungana na CCM wanachama wake wanajiuliza hiki chama kiliundwa cha kazi gani kama hakionI changamoto za utendaji wa chama tawala

Tafsiri ya hiki kilichofanywa na ACT ni kwamba CHADEMA wapo peke yao kwenye hoja ya katiba, chadema wapo peke yao kulalamikia ugumu wa maisha. Kwa maana nyingi ni chama kimoja tu kinachokuja na hoja kinzani dhidi ya CCM. Vyama vilivyobaki vinaungana 100% na kila jambo la CCM.

Na hii unaiona hadi kwenye uchaguzi wa ACT unaoendelea. Viongozi wote wanaopitishwa mikoani ni wanachama wa CCM na hakuna kumbukumbu kwamba waliwahi kurejesha kadi za ccm
Mikakati sahihi maana yake nini.Ina maana mikakati sahihi ni ile ya ya CHADEMA. Kila chama cha siasa kina uhuru wa kisiasa na siyolazima kikubaliane na CHADEMA. Tatizo la CHADEMA ni kujivisha taji la chama kikuu cha upinzani na kuamini hivyo, na kwa mantiki hiyokudhania vyama vyote vya upinzani lazima vifuate nyayo za CHADEMA. You are wrong. Each and every party has liberty to determine their direction. We do not need copycat parties. Kama CHADEMA hamna mvuto shauri, msitegemee kuungwa mkono kirahisi.
 
Naona mbuzi zinataka kumjaribu Mama, wanamuona mpole sana
Sasa jaribuni muone, wakati wa jiwe mlibakwa kwenye uchaguzi, hakuna hata mbuzi ilisema muandamane
Mama kawapa uhuru kujiachia mnataka mumpande kichwani, tusubire tuone kichapo live
Kwa hii lugha wewe ni bwabwa na unadhani humu unachati na Basha wako
 
Mleta mada pole sana Kwa muda wote kutokujua kwamba tangu kuanzishwa kwake ACT lengo ilikuwa ni kuidhoofisha chadema huku ikipata misaada yote ya hali na Mali utaalam kutoka Kwa ccm! Mimi hata kesho nikimsikia zitto akitangaza kuwa ACT inaungana na ccm hata siwezi kuguna najua yupo kazini, ndo maana hii CHADEMA kuwepo hai Hadi Leo kiukweli ni Mnyazi Mungu.
 
Naona mbuzi zinataka kumjaribu Mama, wanamuona mpole sana
Sasa jaribuni muone, wakati wa jiwe mlibakwa kwenye uchaguzi, hakuna hata mbuzi ilisema muandamane
Mama kawapa uhuru kujiachia mnataka mumpande kichwani, tusubire tuone kichapo live
Kwako wewe kila anayepingana na ccm ni mbuzi, si ndio?
 
Nikitafakari namna ACT Wazalendo wanavyofanya siasa na malengo waliyonayo kisiasa kwa siku za mbeleni naona wanakosa mikakati sahihi.

Sometimes kuna kukaa kimya kwenye baadhi ya mambo na ukafanikiwa kufikisha ujumbe na kuna kuamua kutoka adharani. ACT siyo chama cha kutoka adharani kikiongozwa na vyama ambavyo havina wanachama. Inapotajwa kwenye hoja kama hizi kwamba inaungana na CCM wanachama wake wanajiuliza hiki chama kiliundwa cha kazi gani kama hakionI changamoto za utendaji wa chama tawala

Tafsiri ya hiki kilichofanywa na ACT ni kwamba CHADEMA wapo peke yao kwenye hoja ya katiba, chadema wapo peke yao kulalamikia ugumu wa maisha. Kwa maana nyingi ni chama kimoja tu kinachokuja na hoja kinzani dhidi ya CCM. Vyama vilivyobaki vinaungana 100% na kila jambo la CCM.

Na hii unaiona hadi kwenye uchaguzi wa ACT unaoendelea. Viongozi wote wanaopitishwa mikoani ni wanachama wa CCM na hakuna kumbukumbu kwamba waliwahi kurejesha kadi za ccm
Allegations allegations unproven allegations. Tuhuma nzito nzito zidizo na msingi wala mshiko. Kwa nini wakubaliane na kila kitu cha CCM wasikubaliane na kila kitu cha CHADEMA na kwa nini CHADEMA wasikubaliane na chochote cha ACT.
 
Nikitafakari namna ACT Wazalendo wanavyofanya siasa na malengo waliyonayo kisiasa kwa siku za mbeleni naona wanakosa mikakati sahihi.

Sometimes kuna kukaa kimya kwenye baadhi ya mambo na ukafanikiwa kufikisha ujumbe na kuna kuamua kutoka adharani. ACT siyo chama cha kutoka adharani kikiongozwa na vyama ambavyo havina wanachama. Inapotajwa kwenye hoja kama hizi kwamba inaungana na CCM wanachama wake wanajiuliza hiki chama kiliundwa cha kazi gani kama hakionI changamoto za utendaji wa chama tawala

Tafsiri ya hiki kilichofanywa na ACT ni kwamba CHADEMA wapo peke yao kwenye hoja ya katiba, chadema wapo peke yao kulalamikia ugumu wa maisha. Kwa maana nyingi ni chama kimoja tu kinachokuja na hoja kinzani dhidi ya CCM. Vyama vilivyobaki vinaungana 100% na kila jambo la CCM.

Na hii unaiona hadi kwenye uchaguzi wa ACT unaoendelea. Viongozi wote wanaopitishwa mikoani ni wanachama wa CCM na hakuna kumbukumbu kwamba waliwahi kurejesha kadi za ccm
"adharani" hadharani
 
Naona mbuzi zinataka kumjaribu Mama, wanamuona mpole sana
Sasa jaribuni muone, wakati wa jiwe mlibakwa kwenye uchaguzi, hakuna hata mbuzi ilisema muandamane
Mama kawapa uhuru kujiachia mnataka mumpande kichwani, tusubire tuone kichapo live
Mhutu naye amepata kadi ya CCM!
 
Nikitafakari namna ACT Wazalendo wanavyofanya siasa na malengo waliyonayo kisiasa kwa siku za mbeleni naona wanakosa mikakati sahihi.

Sometimes kuna kukaa kimya kwenye baadhi ya mambo na ukafanikiwa kufikisha ujumbe na kuna kuamua kutoka adharani. ACT siyo chama cha kutoka adharani kikiongozwa na vyama ambavyo havina wanachama. Inapotajwa kwenye hoja kama hizi kwamba inaungana na CCM wanachama wake wanajiuliza hiki chama kiliundwa cha kazi gani kama hakionI changamoto za utendaji wa chama tawala

Tafsiri ya hiki kilichofanywa na ACT ni kwamba CHADEMA wapo peke yao kwenye hoja ya katiba, chadema wapo peke yao kulalamikia ugumu wa maisha. Kwa maana nyingi ni chama kimoja tu kinachokuja na hoja kinzani dhidi ya CCM. Vyama vilivyobaki vinaungana 100% na kila jambo la CCM.

Na hii unaiona hadi kwenye uchaguzi wa ACT unaoendelea. Viongozi wote wanaopitishwa mikoani ni wanachama wa CCM na hakuna kumbukumbu kwamba waliwahi kurejesha kadi za ccm
ACT WAZALENDO ni Tawi la CCM kwanini mnakuwa Wazito kuamini? Haiwezekani ACT WAZALENDO kule Zanzibar wawe na Serikali ya Umoja huku TANGANYIKA wawe WAPINZANI wa CCM

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Nikitafakari namna ACT Wazalendo wanavyofanya siasa na malengo waliyonayo kisiasa kwa siku za mbeleni naona wanakosa mikakati sahihi.

Sometimes kuna kukaa kimya kwenye baadhi ya mambo na ukafanikiwa kufikisha ujumbe na kuna kuamua kutoka adharani. ACT siyo chama cha kutoka adharani kikiongozwa na vyama ambavyo havina wanachama. Inapotajwa kwenye hoja kama hizi kwamba inaungana na CCM wanachama wake wanajiuliza hiki chama kiliundwa cha kazi gani kama hakionI changamoto za utendaji wa chama tawala

Tafsiri ya hiki kilichofanywa na ACT ni kwamba CHADEMA wapo peke yao kwenye hoja ya katiba, chadema wapo peke yao kulalamikia ugumu wa maisha. Kwa maana nyingi ni chama kimoja tu kinachokuja na hoja kinzani dhidi ya CCM. Vyama vilivyobaki vinaungana 100% na kila jambo la CCM.

Na hii unaiona hadi kwenye uchaguzi wa ACT unaoendelea. Viongozi wote wanaopitishwa mikoani ni wanachama wa CCM na hakuna kumbukumbu kwamba waliwahi kurejesha kadi za ccm
Zitto ni CCM tukisema mnatuona wakabila na wabaguzi
 
Naona mbuzi zinataka kumjaribu Mama, wanamuona mpole sana
Sasa jaribuni muone, wakati wa jiwe mlibakwa kwenye uchaguzi, hakuna hata mbuzi ilisema muandamane
Mama kawapa uhuru kujiachia mnataka mumpande kichwani, tusubire tuone kichapo live
Ficha upumbavu wako onyesha hekima yako. Maandamano hayo sheria gani imevunjwa?
Eti wanamuona mama mpole! Atume tuu watu eavunjwe miguu, lakini mtambue hao mnao wavunja miguu ni wajomba na binamu za majenerali, makanali, privates nk walioko huko jeshini.
Na siku uchungu wao ukiwazidi wanaweza kugeuka kina Rawlings

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Nikitafakari namna ACT Wazalendo wanavyofanya siasa na malengo waliyonayo kisiasa kwa siku za mbeleni naona wanakosa mikakati sahihi.

Sometimes kuna kukaa kimya kwenye baadhi ya mambo na ukafanikiwa kufikisha ujumbe na kuna kuamua kutoka adharani. ACT siyo chama cha kutoka adharani kikiongozwa na vyama ambavyo havina wanachama. Inapotajwa kwenye hoja kama hizi kwamba inaungana na CCM wanachama wake wanajiuliza hiki chama kiliundwa cha kazi gani kama hakionI changamoto za utendaji wa chama tawala

Tafsiri ya hiki kilichofanywa na ACT ni kwamba CHADEMA wapo peke yao kwenye hoja ya katiba, chadema wapo peke yao kulalamikia ugumu wa maisha. Kwa maana nyingi ni chama kimoja tu kinachokuja na hoja kinzani dhidi ya CCM. Vyama vilivyobaki vinaungana 100% na kila jambo la CCM.

Na hii unaiona hadi kwenye uchaguzi wa ACT unaoendelea. Viongozi wote wanaopitishwa mikoani ni wanachama wa CCM na hakuna kumbukumbu kwamba waliwahi kurejesha kadi za ccm

Unashtuka nini? Wakati hao wana bei na wananunulika.
 
Chadema waligombea maandamano ya kudai bandari kids hawakushirikishwa badala ya kuwalaumu act au wanatangaza hadarah
Maandamano lazima yafanywe na kusimamiwa na taasisi registered ili kuwepo na uwajibikaji.
Sasa maandamano yakianzishwa na mtu au watu binafsi taasisi itashirikije hapo?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Nikitafakari namna ACT Wazalendo wanavyofanya siasa na malengo waliyonayo kisiasa kwa siku za mbeleni naona wanakosa mikakati sahihi.

Sometimes kuna kukaa kimya kwenye baadhi ya mambo na ukafanikiwa kufikisha ujumbe na kuna kuamua kutoka adharani. ACT siyo chama cha kutoka adharani kikiongozwa na vyama ambavyo havina wanachama. Inapotajwa kwenye hoja kama hizi kwamba inaungana na CCM wanachama wake wanajiuliza hiki chama kiliundwa cha kazi gani kama hakionI changamoto za utendaji wa chama tawala

Tafsiri ya hiki kilichofanywa na ACT ni kwamba CHADEMA wapo peke yao kwenye hoja ya katiba, chadema wapo peke yao kulalamikia ugumu wa maisha. Kwa maana nyingi ni chama kimoja tu kinachokuja na hoja kinzani dhidi ya CCM. Vyama vilivyobaki vinaungana 100% na kila jambo la CCM.

Na hii unaiona hadi kwenye uchaguzi wa ACT unaoendelea. Viongozi wote wanaopitishwa mikoani ni wanachama wa CCM na hakuna kumbukumbu kwamba waliwahi kurejesha kadi za ccm
Vyama ndugu tena
 
Back
Top Bottom