Nimeshtushwa na TCRA kukosea jina lao kwenye ripoti yao

Nimeshtushwa na TCRA kukosea jina lao kwenye ripoti yao

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Screenshot 2023-06-06 at 15-47-10 Communication Statistics for Q3 2023_1683027180.pdf.png


Nimeshtusha na ripot ya mwezi wa March 2023, ya TCRA ambayo jina lako limekuwa ni Authory badala ya Authority. Yaani hii ni sawa na mtu kujikosea jina lako mwenyewe. Ni aibu
 
Ukisikia uzembe ndio huu, taasisi kubwa na nyeti kama hii kukosea jina lake ni aibu. Ina maana hawakuhakiki usahihi wa walichokiandika mpaka waachie hiyo ripoti? Ni kosa dogo la kiuandishi lakini ni aibu
 
Back
Top Bottom