Nimeshuhudia ajali asubuhi hii, Julai 11, 2024 barabara ya Airport Mwanza jirani na Rock City mall

Nimeshuhudia ajali asubuhi hii, Julai 11, 2024 barabara ya Airport Mwanza jirani na Rock City mall

J C

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2013
Posts
3,061
Reaction score
2,541
Asubuhi hii barabara ya kuelekea Airport Mwanza jirani kabisa na Rock city mall, Isuzu Journey imeacha barabara na kuingia kwenye moja ya nyumbani zilizo jirani na Mall.

Chanzo ni boda asiye na side mirror aliyetaka kuhama lane na dreva kumkwepa kitu kilichopelekea dereva kushindwa kulimudu gari kuhama na kufungua break ndani ya mojawapo ya nyumba.

Vifo na majeruhi sikupata muda nilikuwa nawahisha mtu somewhere urgent. Bodaboda mjinga sana maana baada ya kuona amesababisha ajali alisepa fasta.
 
Back
Top Bottom