Nimeshuhudia kifo cha mende leo nyumbani kwangu

Nimeshuhudia kifo cha mende leo nyumbani kwangu

SNAP J

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
7,106
Reaction score
8,043
Nilikuwa nimesafiri yapata wiki nne zilizopata. Utaratibu niliojiwekea ni kuhakikisha nafanya usafi wa nguvu katika nyumba yangu kabla sijafiri, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha hakuna uchafu wa aina yoyote ile unaobaki ndani, mfano takataka katika dust bin, kuosha vyombo vichafu, usafi wa maliwatoni n.k.

Sasa leo asubuhi baada ya kurudi kutoka safarini nimekutana na mende mkubwa alikonda mpaka kufikia hatua ya kuwa mweusi katika korido, kitu ambacho sijawahi kukutana nacho maishani mwangu.

Mende huko ambaye baada ya dakika kadhaa alianza kurusha miguu kwa taabu sana huku akiwa chali na baada ya dakika mbili hivi alitulia tuli.

Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia kifo cha mende live. Sikuwa na cha kufanya zaidi ya kumhurumia mende huyo.

IMG_20170926_083856.jpg
 
Nilikuwa nimesafiri yapata wiki nne zilizopata. Utaratibu niliojiwekea ni kuhakikisha nafanya usafi wa nguvu katika nyumba yangu kabla sijafiri, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha hakuna uchafu wa aina yoyote ile unaobaki ndani, mfano takataka katika dust bin, kuosha vyombo vichafu, usafi wa maliwatoni n.k.

Sasa leo asubuhi baada ya kurudi kutoka safarini nimekutana na mende mkubwa alikonda mpaka kufikia hatua ya kuwa mweusi katika korido, kitu ambacho sijawahi kukutana nacho maishani mwangu.

Mende huko ambaye baada ya dakika kadhaa alianza kurusha miguu kwa taabu sana huku akiwa chali na baada ya dakika mbili hivi alitulia tuli.

Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia kifo cha mende live. Sikuwa na cha kufanya zaidi ya kumhurumia mende huyo.

View attachment 595942
Cha msingi hapo chukua ujuzi au style tu ukaitumie wakati ukiwa na Shemeji, hayo mengine yaache kama yalivyo Mkuu wangu
 
Cha msingi hapo chukua ujuzi au style tu ukaitumie wakati ukiwa na Shemeji, hayo mengine yaache kama yalivyo Mkuu wangu
Mkuu nikushukuru kwa ushauri wako[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Tazama, mimi niliyoyaona kuwa ndiyo mema na ya kufaa, ni mtu kula na kunywa, na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote anayoifanya chini ya jua, siku zote za maisha yake alizopewa na Mungu; maana hilo ndilo fungu lake.
Behold, that which I have seen to be good and proper is for one to eat and to drink, and to enjoy good in all his labor, in which he labors under the sun, all the days of his life which God has given him; for this is his portion.
 
Sasa kama umemuonea Huruma sana ili hiyo hali isijirudie next time Uwe unawaachia at least makombo ya chakula kwenye dustbin ya kuwatosha kusurvive kwa muda ambao utakuwa nje ya nyumbani
 
Tazama, mimi niliyoyaona kuwa ndiyo mema na ya kufaa, ni mtu kula na kunywa, na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote anayoifanya chini ya jua, siku zote za maisha yake alizopewa na Mungu; maana hilo ndilo fungu lake.
Behold, that which I have seen to be good and proper is for one to eat and to drink, and to enjoy good in all his labor, in which he labors under the sun, all the days of his life which God has given him; for this is his portion.
Mkuu@ndege JOHN sijakusoma: hii inahusianaje na kifo.cha mende!!?
 
Nilikuwa nimesafiri yapata wiki nne zilizopata. Utaratibu niliojiwekea ni kuhakikisha nafanya usafi wa nguvu katika nyumba yangu kabla sijafiri, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha hakuna uchafu wa aina yoyote ile unaobaki ndani, mfano takataka katika dust bin, kuosha vyombo vichafu, usafi wa maliwatoni n.k.

Sasa leo asubuhi baada ya kurudi kutoka safarini nimekutana na mende mkubwa alikonda mpaka kufikia hatua ya kuwa mweusi katika korido, kitu ambacho sijawahi kukutana nacho maishani mwangu.

Mende huko ambaye baada ya dakika kadhaa alianza kurusha miguu kwa taabu sana huku akiwa chali na baada ya dakika mbili hivi alitulia tuli.

Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia kifo cha mende live. Sikuwa na cha kufanya zaidi ya kumhurumia mende huyo.

View attachment 595942
hizi tiles ni za wapi?
 
Mpeleke kwa gwajima akaombewe anaweza fufuka na usiumie tena kwa kifo cha mende.
 
Sasa kama umemuonea Huruma sana ili hiyo hali isijirudie next time Uwe unawaachia at least makombo ya chakula kwenye dustbin ya kuwatosha kusurvive kwa muda ambao utakuwa nje ya nyumbani
Hahahahah.. si nitakuta mpaka kizazi cha tano nikirudi!?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Duh! Mwanzoni nilijua ni lugha ya picha a. k. a figurative lg kumbe hamna kitu
 
Back
Top Bottom