Nimeshuhudia mwisho wa Barcelona

Nimeshuhudia mwisho wa Barcelona

Sijakataa timu za spain zipo vzuri ila ni chache ni sawa na ufaransa wana timu nzuri ila chache yaani psg monaco lyon marseille lile basiiii zingine vibonde ila uingereza timu zote zipo hot kabisa

Nachosema ni nini..... Spain haina ligi competitive ndio maana kila msimu mshindi anatabirika either madrid au barca tofauti kabisa na england ambayo hujui kma chelsea au man u n.k watabeba ndoo

So barca inabebwa na ubovu wa ligi ndio maana nkasema kipimo chenu ni champions league..... Tuwe wapole tu ila nshasema hamvuki robo maana sio kwa ukuta wenu huo kma jana bila pique mlikuwa mshalala

Imba kwa sauti kubwa mpaka nisikie, sema baaaaaaaaaaaaaaaarrrrrrrrrrrrrrrrrrcccccccccccaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
haya moja mbili tatuuuuuu
 
Hongereni sana vijana wa catalan kwa kuvuka kihunzi cha kwanza ila nawakumbusha tu bado kuna mechi 5 kabla hamjabeba UCL trophy hivyo tuendelee kuwa na subira kwanza

Natamani tu mpewe bayern zile 7 zijirudie 😀😀😀
You're too emotional mkuu!

Bado unaamini EPL ni bora kuliko Laliga?
 
You're too emotional mkuu!

Bado unaamini EPL ni bora kuliko Laliga?
Yeah bado naamini EPL ni bora sababu mechi moja haiwezi determine ubora wa ligi yenye mechi zaidi ya 300 ambazo bingwa hatabiriki

Ila la liga barca akishamfunga real na atletico basi anahesabu kabeba ndoo ndio ligi gani ssa hyo..... Kwa mfano miaka karibu 7 sasa top 3 haijawahi kubadilika ila premier league usishangae msimu ujao man city kamaliza wa 7..... Hakuna competition spain ligi mbovu kabisa

La liga ilikuwa enzi za celta vigo ya kina mido na deportivo yenye walter pandiani... Hapo pembeni kuna real betis ya joaquin na valencia ya kina angulo na morientes bado atletico ya kina torres na villareal ya forlan la liga ilikuwa motooooooooo kila mechi kama fainali siku hizi hakuna competition yaani washindi ni watatu tu kwa misimu zaidi ya 15 ndio nini hicho!!!
 
You're too emotional mkuu!

Bado unaamini EPL ni bora kuliko Laliga?
Kwa nini asiamini?..serie a ni bora kuliko epl!?..kisa juve kamtoa spurs au roma kufika robo fainali?..vp man city akimtoa barce au liver akichukua uefa,utasemaje?..spurs alipompiga madrid ulikua na maoni gani?..unajua tofauti ya ligi na timu?..
 
Mi nilivyomuona anashabikia arsenal sikuona haja hata ya kujibizana nae, bora hata angekuwa mshabiki wa man uau man city
Ndo tatizo la mlioanza kushabikia mpira kipindi cha messi..tusishabikie arsenal tushabikie city wakati arsenal alipochukua ubingwa bila kupoteza na kumburuza madrid uefa city alikua anajitahid asishuke daraja!
 
the blues wakachezeshwa kwasakwasa jana halafu mtu anasema Barcelona wamefika ukingoni nadhani kutakuwa na tatizo kwenye macho ya mleta uzi. Ile timu ina mpira wa peke yake hapa duniani sijarudi katika historia lakini naamini kati ya mwaka 2007 - 2018 hakuna timu iliyocheza na Barca ika-possess mpira zaidi yao. dissenting opinion zinaruhusiwa.
 
Imba kwa sauti kubwa mpaka nisikie, sema baaaaaaaaaaaaaaaarrrrrrrrrrrrrrrrrrcccccccccccaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
haya moja mbili tatuuuuuu
Hahahahahaa najua humu leo hapatoshi ila nawakumbusha tu bado mechi 5 ndio utangazwe mshindi wa champions league so msishabikie sana ombeni tu msipangiwe bayern maana humu mtakimbia uzi
 
the blues wakachezeshwa kwasakwasa jana halafu mtu anasema Barcelona wamefika ukingoni nadhani kutakuwa na tatizo kwenye macho ya mleta uzi. Ile timu ina mpira wa peke yake hapa duniani sijarudi katika historia lakini naamini kati ya mwaka 2007 - 2018 hakuna timu iliyocheza na Barca ika-possess mpira zaidi yao. dissenting opinion zinaruhusiwa.
Pesa tu hamna jingine hata yanga ikisajili kwa mabilioni hakuna atakayeiweza.... Kma barca ni wazuri kma enzi hizo za 2004-08 niambie kwanini hamzalishi vipaji tena zaidi mmetumia almost €500 million kwenye kikosi cha msimu huu???

Barca enzi hizo mnakuza vipaji cku hizi pesa zinawabeba
 
Pesa tu hamna jingine hata yanga ikisajili kwa mabilioni hakuna atakayeiweza.... Kma barca ni wazuri kma enzi hizo za 2004-08 niambie kwanini hamzalishi vipaji tena zaidi mmetumia almost €500 million kwenye kikosi cha msimu huu???

Barca enzi hizo mnakuza vipaji cku hizi pesa zinawabeba

Kuzalisha vipaji ni kitu kingine lakini mpira wa sasa ni pesa.
 
Hahahahahaa najua humu leo hapatoshi ila nawakumbusha tu bado mechi 5 ndio utangazwe mshindi wa champions league so msishabikie sana ombeni tu msipangiwe bayern maana humu mtakimbia uzi
mkuu Barcelona siyo Tutsi Jitahidi tu kuwa mpole
 
Yeah bado naamini EPL ni bora sababu mechi moja haiwezi determine ubora wa ligi yenye mechi zaidi ya 300 ambazo bingwa hatabiriki

Ila la liga barca akishamfunga real na atletico basi anahesabu kabeba ndoo ndio ligi gani ssa hyo..... Kwa mfano miaka karibu 7 sasa top 3 haijawahi kubadilika ila premier league usishangae msimu ujao man city kamaliza wa 7..... Hakuna competition spain ligi mbovu kabisa

La liga ilikuwa enzi za celta vigo ya kina mido na deportivo yenye walter pandiani... Hapo pembeni kuna real betis ya joaquin na valencia ya kina angulo na morientes bado atletico ya kina torres na villareal ya forlan la liga ilikuwa motooooooooo kila mechi kama fainali siku hizi hakuna competition yaani washindi ni watatu tu kwa misimu zaidi ya 15 ndio nini hicho!!!
Hebu nikumbushe mkuu, Man city amefungwa lini Mara ya mwisho kwenye hii ligi yenu yenye ushimdani?

Na amekaa kileleni kwa muda gani na kwa gap la point ngapi?

Eti the best league!

EPL is the most competitive league, because it has mediocre teams o almost the same strength. This doesn't make it the best!

Laliga is the best league, it has teams which are too good. They won't struggle in any other league!

Hii domination mnayoiona Laliga ni kwa sababu Madrid na Barca wanajua sana. Hata wakija EPL ubabe wao utaendelea vile vile!

Bado hatujasahau, sevilla ambae yuko nafasi ya tano Laliga amewatoa manure united, na alishimda Europa alipocheza na Liverpool!
 
Ndo tatizo la mlioanza kushabikia mpira kipindi cha messi..tusishabikie arsenal tushabikie city wakati arsenal alipochukua ubingwa bila kupoteza na kumburuza madrid uefa city alikua anajitahid asishuke daraja!
Na wewe nishaniki wa arsenal!?
 
Mkuu ingekuwa vyema mnooo "" kama ungetuomba radhi kupitia huu Uzi wako "" hahaaa
 
Hebu nikumbushe mkuu, Man city amefungwa lini Mara ya mwisho kwenye hii ligi yenu yenye ushimdani?

Na amekaa kileleni kwa muda gani na kwa gap la point ngapi?

Eti the best league!

EPL is the most competitive league, because it has mediocre teams o almost the same strength. This doesn't make it the best!

Laliga is the best league, it has teams which are too good. They won't struggle in any other league!

Hii domination mnayoiona Laliga ni kwa sababu Madrid na Barca wanajua sana. Hata wakija EPL ubabe wao utaendelea vile vile!

Bado hatujasahau, sevilla ambae yuko nafasi ya tano Laliga amewatoa manure united, na alishimda Europa alipocheza na Liverpool!
Vijana wanashindwa kutofautisha maarufu na bora, EPL ni maarufu ila haiwezi kua bora kuliko La Liga
 
Basi ngoja nikuache, huwa sijibizani na mashabiki wa arsenal
Kwa kua akili huna..mi nimeanza kufatilia mpira wa ulaya miaka ya 90..kipindi hicho deportivo la coruna haikamatiki..sasa ningekua shabiki wa deportivo kipindi kile ungetaka nihame leo nihamie man city?
 
Back
Top Bottom