Nimeshuhudia mwisho wa Barcelona

Nimeshuhudia mwisho wa Barcelona

Shakira jana alikua anamuwaza mpenzi wake tu. Hakuna chochpte alichofanya. Kwenye ndio wakapotezwa kabisa, bora ya Messi kidogo alijitahidi.

Binafsi Madrid pamoja na Zidane ninawaona wakisumbua zaidi ya misimu minne ijayo kama Zidane hataingiliwa katika mipango yake.

Namuona Asensio akiingia katika ushindani wa Ballon d'Or tena bila ya kupepesa macho. Ni wazi wazi.
Madrid watasumbua ndani ya La liga ila sio Uefa.
 
TELEMMGLPICT000137613903_trans_NvBQzQNjv4Bqp9c5WVj0Jr0gvyuux5WeKEtFA51cd2y2VheVg6Lao58.jpeg
 
R.I.P Barca kiboko ya timu zote ulaya..
umenikumbusha XAVI na INIESTA wakiwa kwenye ubora wao.. hadi nikafikiri haya majamaa ni maroboti sio watu.. ilikuwa noma kipindi kwakweli
Xavi na Iniesta hawakuwa wanadamu wa kawaida. Kinachoniuma ni jinsi FIFa na wazandiki wengine wa soka walivyobana fursa zao za kutwaa Ballon D'or
 
Huyo
Kizazi cha sasa cha Barcelona kimefikia ukingoni, ni wakati wa Barcelona kuanzisha kizazi kingine.
Jana nilishuhudia Barcelona isiyokua na meno, jana nilimuona Messi akicheza kama namba 8,10,9 alifanya hivi akijaribu kufukia mashimo ya wengine lakini alishindwa.
Kuna wachezaji wengi hawana hadhi ya kuichezea Barcelona, wa kwanza ni Andre Gomes. Uyu jamaa sijui walimuokota wapi?
Huyo jamaa Andre Gomez ni mzuri sana licha ya kuwa umri wake ni mdogo ana miaka 24 tu walimchukua kutoka benfica naona kocha Ernesto Valverde anajaribu kumpa uzoefu ili aweze kuwa na uzoefu na nina uhakika atakuwa katika kiwango bora baadae.
 
Wakati mkiomboleza kuanza kuchujuka kwa Barcelona, ni vema tukautambua rasmi ubabe wa Real Madrid unaongezeka kila siku. Hii timu imekuwa tamu jamani asikwambie mtu. Kiungo cha Madrid chini ya Luca Modrick, Tony Kroos na Casemiro na udambwiudambwi wa Isco umekuwa tishio kubwa mno katika bara zima la Ulaya.

Unapomsifia baba yako kuwa na mbio, usiache kumsifia na anayemkimbiza
 
Huyo

Huyo jamaa Andre Gomez ni mzuri sana licha ya kuwa umri wake ni mdogo ana miaka 24 tu walimchukua kutoka benfica naona kocha Ernesto Valverde anajaribu kumpa uzoefu ili aweze kuwa na uzoefu na nina uhakika atakuwa katika kiwango bora baadae.
gomez ni mzuri kiac chake kinachoicost barcelona kwa sasa haina winga wa kushoto na wakulia hvyo wanakosa firepower yakutosha kule mbele..
 
waache washabiki wa madrid wafurahi...sisi bado tuna shock ya neymar na kocha wetu ni mpya so bado hatujakaa sawa....tukileta dembele na coutinho pale mambo yatabadilikaa kabisa tutaendelea kuwapa madrid bao tano,nne,sita kama vile tunavyofanyaga
 
Mie nakuunga mkono kwenye hili ila sio mwisho wao nadhani watajipanga na kuanza upya kama kipindi cha Rijkaard timu ilifanya vibaya ila baadae walirudi na kufanya vizuri kinachowasumbua kikubwa Barcelona ni ukongwe wa wachezaji wao na ndio naona huyu kocha mpya Ernesto Valverde amekuja na falsafa ya kuwakomaza vijana kama kina Sergi Roberto,Dennis Suarez maana nadhani mtu kama Javier Mascherano umri unamtupa mkono sasa anahitaji mbadala wake Andre Iniesta nae anaelekea huko kwa hiyo itachukua muda kidogo kuwapika hawa vijana ila nina imani chama litarudi tena na kufanya vizuri tujifunze kutokata tamaa ili tufanikiwe.
Mchezaji kaliba ya Messi anatokea mara moja tu kwenye kizazi.. Barcelona itawachukua karne kumpata Messi mwingine.. It's over mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
R.I.P Barca kiboko ya timu zote ulaya..
umenikumbusha XAVI na INIESTA wakiwa kwenye ubora wao.. hadi nikafikiri haya majamaa ni maroboti sio watu.. ilikuwa noma kipindi kwakweli
Sio kwa Barcelona hata ikibadirisha vipi mwendo wake ni balaa ukitaka details waulize ligi ya uingereza hasa man u.

Sent using Jamii Forums mobile app
ila kwa chelsea walikua wanakwama,wakabebwa hadi drogba akata kumuua refa..wakamfungia
 
Kwa hali ilivyokuwa jana kama Ronaldo na Bale angekuwepo tungeshuhudia kichapo kibaya katika historia ya Barca.
 
Kizazi cha sasa cha Barcelona kimefikia ukingoni, ni wakati wa Barcelona kuanzisha kizazi kingine.
Jana nilishuhudia Barcelona isiyokua na meno, jana nilimuona Messi akicheza kama namba 8,10,9 alifanya hivi akijaribu kufukia mashimo ya wengine lakini alishindwa.
Kuna wachezaji wengi hawana hadhi ya kuichezea Barcelona, wa kwanza ni Andre Gomes. Uyu jamaa sijui walimuokota wapi?
Ukimuondoa Suarez na messi Barcelona,hata Aston villa anamfunga barca

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom