Ati msimu huu Barcelona ina defence gani? Zunguka ulaya nzima niambie ni defence gani ipo vizuri ulaya nzima ( kuanzia uefa mpaka ligi za ndani) na uje na data sio porojo OVERMsimu huu mna defence mbovu sana huo ni ukweli hivyo champions league msahau kabisa kwanza mkikutana na free scoring team kma PSG hii ya sasa..... Mnaweza kuliwa hata 8 naomba utunze hii comment tutakuja kukumbushana come april
Mkuu unachekesha. Yani unaweka stoke city na Barcelona on the same sentence? That's too disrespectful!PSG hii ni tofauti na ya msimu uliopita... But still kuwafunga goli 5 sio kitu kidogo ili prove defence yenu iko vulnerable ndio sembuse sahvi wana neymar na mbappe-lottin??
Hakuna kitu kma barca na madrid wakienda la liga watatesa.... Hivi stoke au swansea wanaweza fungwa kizembe vile kma inavyofunga levante au eibar?? Ukweli usemwe EPL kuna competition kuliko la liga ndio maana EPL ina msisimko sana..... La liga ukishaona barca vs getafe matokeo ulishayajua kichwani tofauti ukiskia Chelsea vs Bournemouth yaani unakuwa ngumu kubashiri
Anyway tuweke akiba ya maneno.... Mtoano UCL huo unawadia tutajua mbivu na mbichi msije tu kukimbia uzi
Levante kafungwa Jana?PSG hii ni tofauti na ya msimu uliopita... But still kuwafunga goli 5 sio kitu kidogo ili prove defence yenu iko vulnerable ndio sembuse sahvi wana neymar na mbappe-lottin??
Hakuna kitu kma barca na madrid wakienda la liga watatesa.... Hivi stoke au swansea wanaweza fungwa kizembe vile kma inavyofunga levante au eibar?? Ukweli usemwe EPL kuna competition kuliko la liga ndio maana EPL ina msisimko sana..... La liga ukishaona barca vs getafe matokeo ulishayajua kichwani tofauti ukiskia Chelsea vs Bournemouth yaani unakuwa ngumu kubashiri
Anyway tuweke akiba ya maneno.... Mtoano UCL huo unawadia tutajua mbivu na mbichi msije tu kukimbia uzi
UEFA tumefungwa goal.1Ati msimu huu Barcelona ina defence gani? Zunguka ulaya nzima niambie ni defence gani ipo vizuri ulaya nzima ( kuanzia uefa mpaka ligi za ndani) na uje na data sio porojo OVER
Duh!Shakira jana alikua anamuwaza mpenzi wake tu. Hakuna chochpte alichofanya. Kwenye ndio wakapotezwa kabisa, bora ya Messi kidogo alijitahidi.
Binafsi Madrid pamoja na Zidane ninawaona wakisumbua zaidi ya misimu minne ijayo kama Zidane hataingiliwa katika mipango yake.
Namuona Asensio akiingia katika ushindani wa Ballon d'Or tena bila ya kupepesa macho. Ni wazi wazi.
Andiko lake leo anatamani akarifiche Torabora.Nimekumbuka Andiko lko la Kushuhudia mwisho wa Barca...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Atletico imefungwa goli 9 tuAti msimu huu Barcelona ina defence gani? Zunguka ulaya nzima niambie ni defence gani ipo vizuri ulaya nzima ( kuanzia uefa mpaka ligi za ndani) na uje na data sio porojo OVER
Mkuu tofautisha probability na matokeo.... Probability ya timu ndogo spain kuifunga top 4 ni ndogo sana kulinganisha na bundesliga au premier league yaani levante katoa droo ila mechi imeisha anashangiliaLevante kafungwa Jana?
Mkuu competition ya la liga na EPL ni tofauti kabisa na wwe unajua hilo.... Na unaposema timu za spain zinadominate za premier league mbona husemi totenham ilivyomnyoosha real Madrid?? Vp atletico na chelsea?? Hata hiyo wanda atletico walikuwa unbeaten ila chelsea wakaivunja but la liga teams zimeshindwa hata barca alishindwa kufurukuta wanda!!!Mkuu unachekesha. Yani unaweka stoke city na Barcelona on the same sentence? That's too disrespectful!
The big fishes wa EPL wakikutana na Barcelona au Madrid hua wanaloana. Alafu wewe unasema stoke city hawezi kubali kufungwa, hauko serious mkuu!
Hao man city wanao wanyanyasa hapo, barca hua anajipigia anvyotaka, au waulize vijana wa Wenger na manure united. Hapo hatujaongelea watoto kama sevilla ambao Liverpool imewashindwa twice in UCL this season.
Hapo EPL hakuna kitu mkuu. Barcelona na Madrid ndio the highest peaks of football. Kila mchezaji ana ndoto ya kucheza katika moja ya hizi team. Ni kwa sababu ndio vinara!
Na bado hatujasahau vile man city amewanyoosha hapo EPL. Kama EPL kuna competition mbona mmeruhusu guadiola acheze mechi nyingi namna ile bila kufungwa?
Team za EPL zote ni za kawaida sana, competition inasababishwa na kua na team nyingi zenye uwezo unao lingana (ambao ni mdogo).
Ile domination ya Barcelona na Madrid Laliga inatokana na hawa jamaa kua na uwezo mkubwa kupitiliza, ambao hata wakija EPL watawaburuza tu!
Wewe sio mfuatiliaji laliga mkuu first leg unajua walitokaje?Mkuu tofautisha probability na matokeo.... Probability ya timu ndogo spain kuifunga top 4 ni ndogo sana kulinganisha na bundesliga au premier league yaani levante katoa droo ila mechi imeisha anashangilia
Mind you kavunja rekodi ya kuwa timu ya kwanza kutokufungwa na bingwa mtetezi mechi zote 2..... Wakati premier league hakunaga huo ujinga ila spain eti levante ndio kavunja rekodi ya miaka 100 cjui duh ndio useme hyo ligi ina timu za kueleweka??
Sasa hao wachezaji utamlinganisha na nani EPL?Mkuu competition ya la liga na EPL ni tofauti kabisa na wwe unajua hilo.... Na unaposema timu za spain zinadominate za premier league mbona husemi totenham ilivyomnyoosha real Madrid?? Vp atletico na chelsea?? Hata hiyo wanda atletico walikuwa unbeaten ila chelsea wakaivunja but la liga teams zimeshindwa hata barca alishindwa kufurukuta wanda!!!
Hoja yangu hapa ni kwamba Barca inaonekana dominant sababu ligi yeni ni mbovu sawa tu na anderlecht au celtic kwenye ligi zao wanaonekana ndio kila kitu hadi pale wakiingia UCL ndio wanaonekana kumbe hamna kitu..... Same applies to barca hamna defence kabisa pale ila ni vile ligi yenu ila timu butu ndio maana hamfungiki ila ukuta wenu mwepesi ndio maana nikasema udhaifu wetu utagundulika champions league Sababu ndio kuna best of the best ila la liga hamtaweza jua sababu ni mechi za kichangani
Tusubiri tu knockout phase ntarudi kuwakumbusha..... Eti mnaota champions league!! Na hiki kikosi cha kina digne sergi roberto samedo na umtiti Hahahhahaa embu acheni masikhara
Bado nimeshikilia mkuuNdugu, bado umeshikilia msimamo wako huu!?
Huwa sisom coments za uz huu bt natumaini unapata ulichokuwa unakitafuta bila kujuaKila jambo huwa lina mwisho wake. Nimeshuhudia timu bora ya wakati wote Barcelona ikitamba katika soka la kisasa. Timu zote imara zilinyanyaswa na Barcelona ya kuanzia mwaka 2008-2012. Kisha Barcelona ya 2013 - 2015.
Wote ni mashahidi jinsi Messi, Xavi na Iniesta walivyoipa timu hii mafanikio. Kisha ikaja MSN nayo ikatamba na kunyayasa vilabu vingi vya Ulaya kama sio Dunia.
Na sasa naona mwisho wao Umefika, ni kama nilivyoshuhudia Mandela akifikia mwisho wake hapa Duniani, ni kama nilivyoshuhudia Ukuta wa Berlin ukidondoshwa mwaka 1990, Ni kama tulivyoshuhudia mwisho wa maisha ya Papa John Paul wa II, Ni kama nilivyoshuhudia mwisho wa Barack Obama kuwa Rais wa Marekani na sasa nashuhudia mwisho wa Timu bora ya wakati wote, Barcelona ikifikia ukingoni. Ni ukweli unaouma laikini hatuna budi kuukubali.
Asante mungu nimeishi katika kipindi cha timu bora ya wakati wote, na mimi nitakuja kuwasimulia wajukuu wangu panapomajaliwa.
Nmeshasema la liga ina timu 6 tu nzuri sana ila hizo 14 vibonde tu ndio maana haziwezi panda top 4 mwaka wa 20 sasa yaani la liga niWewe sio mfuatiliaji laliga mkuu first leg unajua walitokaje?
Sasa hizo league zako zenye ushindani mbona zinaburuzwa na wa Spain toka 2014 UEFA?
Semeni yote ila muda ndio utaamua tuwe wapole tu nasubiri cku mkutane na angalau man city ama psg au bayern hapo ndio tutaona kma hivyo vibeki vyenu mayai vina ubavu wa kupambana na europe elites...... Tuwe na subira april si mbaliSasa hao wachezaji utamlinganisha na nani EPL?
Chelsea walimtaka Roberto kwa ngapi wakakataliwa?
Man city walimtaka umtiti kwa ngapi wakakataliwa?
Acha ushabiki maandazi barca ya sasa ipo vizuri mno huyo bingwa wako wa UEFA aligongwa kwake 3 kwa 0 au umesahau?
Aya poa subiri Lukaku,Lingard, Giroud,Bakayoko,na Phil Jones wachukue UEFA
Katika kipindi cha miaka kumi, team za Spain zimeshinda UEFA Mara sita (mara NNE Ikiwa back to back), ujerumani mara moja, Italy mara moja na England mara mbili!Nmeshasema la liga ina timu 6 tu nzuri sana ila hizo 14 vibonde tu ndio maana haziwezi panda top 4 mwaka wa 20 sasa yaani la liga ni
Real madrid
Atletico madrid
Barcelona
Valencia
Athletic club
Real sociedad(ingawa imeshakufa)
Villareal
Basi hizo nyingine kuanzia real betis mpaka leganes zero kabisa hazina ubavu wa kupambana na hiyo miamba 6 ila premier league hakuna timu ya bottom 10 ambayo haina ubavu wa kuifunga team ya top 4 yeyote..... Watford swansea west brom n.k zina uwezo wa kuitandika man u au chelsea sasa hapo huoni level ya mpira wa ligi ya uingereza ipo juu
Niambie lini mara ya mwisho bingwa katoka nje ya madrid na Barcelona???
Mkuu, tatizo lako unaweka emotions badala ya facts.Semeni yote ila muda ndio utaamua tuwe wapole tu nasubiri cku mkutane na angalau man city ama psg au bayern hapo ndio tutaona kma hivyo vibeki vyenu mayai vina ubavu wa kupambana na europe elites...... Tuwe na subira april si mbali
Mna timu chache nzuri ila nyingi MBOVU ndio maana nmekuuliza nitajie timu iliyoshinda la liga nje ya madrid na barcelona???Katika kipindi cha miaka kumi, team za Spain zimeshinda UEFA Mara sita (mara NNE Ikiwa back to back), ujerumani mara moja, Italy mara moja na England mara mbili!
Wala hatuhitaji ramli kujua ligi bora ni ipi. Numbers don't lie!
Barca anabebwa na ubovu wa ligi ya hispania yaani akishamfunga atletico na real basi ashachukua ligi automatically ni sawa tu na psg vs monaco au celtic vs rangers hivyo ubovu wa la liga ndio unaipa umaarufu barcaMkuu, tatizo lako unaweka emotions badala ya facts.
Sasa unaposema European elites unamaanisha nini? Kwamba Barcelona sio mmoja wao?
Kuna team kubwa tatu duniani:
Barcelona
Real Madrid
Bayern munchen!
Hao wengine ni underdogs!