BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Tuwe na subira mkuu ntakuja kuwakumbusha kuhusu udhaifu wa ukuta wenu kma biskuti ndio mnawaza treble!!! Yaani umtiti na digne cjui samedo na roberto teh teh teh ?? Duh itakuwa world record
Kuna dogo aliniuliza eti uncle kwani arsenal ni movie?
Nikamuuliza kwanini, akasema arsenal fans are always waiting for the next season!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
!
mwenyewe unaitwa mchochezi.Kila jambo huwa lina mwisho wake. Nimeshuhudia timu bora ya wakati wote Barcelona ikitamba katika soka la kisasa. Timu zote imara zilinyanyaswa na Barcelona ya kuanzia mwaka 2008-2012. Kisha Barcelona ya 2013 - 2015.
Wote ni mashahidi jinsi Messi, Xavi na Iniesta walivyoipa timu hii mafanikio. Kisha ikaja MSN nayo ikatamba na kunyayasa vilabu vingi vya Ulaya kama sio Dunia.
Na sasa naona mwisho wao Umefika, ni kama nilivyoshuhudia Mandela akifikia mwisho wake hapa Duniani, ni kama nilivyoshuhudia Ukuta wa Berlin ukidondoshwa mwaka 1990, Ni kama tulivyoshuhudia mwisho wa maisha ya Papa John Paul wa II, Ni kama nilivyoshuhudia mwisho wa Barack Obama kuwa Rais wa Marekani na sasa nashuhudia mwisho wa Timu bora ya wakati wote, Barcelona ikifikia ukingoni. Ni ukweli unaouma laikini hatuna budi kuukubali.
Asante mungu nimeishi katika kipindi cha timu bora ya wakati wote, na mimi nitakuja kuwasimulia wajukuu wangu panapomajaliwa.
Duh, umeona nini? Mbona ndio kwanza Barca inaanza upya!!Kila jambo huwa lina mwisho wake. Nimeshuhudia timu bora ya wakati wote Barcelona ikitamba katika soka la kisasa. Timu zote imara zilinyanyaswa na Barcelona ya kuanzia mwaka 2008-2012. Kisha Barcelona ya 2013 - 2015.
Wote ni mashahidi jinsi Messi, Xavi na Iniesta walivyoipa timu hii mafanikio. Kisha ikaja MSN nayo ikatamba na kunyayasa vilabu vingi vya Ulaya kama sio Dunia.
Na sasa naona mwisho wao Umefika, ni kama nilivyoshuhudia Mandela akifikia mwisho wake hapa Duniani, ni kama nilivyoshuhudia Ukuta wa Berlin ukidondoshwa mwaka 1990, Ni kama tulivyoshuhudia mwisho wa maisha ya Papa John Paul wa II, Ni kama nilivyoshuhudia mwisho wa Barack Obama kuwa Rais wa Marekani na sasa nashuhudia mwisho wa Timu bora ya wakati wote, Barcelona ikifikia ukingoni. Ni ukweli unaouma laikini hatuna budi kuukubali.
Asante mungu nimeishi katika kipindi cha timu bora ya wakati wote, na mimi nitakuja kuwasimulia wajukuu wangu panapomajaliwa.
Hebu mjib huyu basi kwanzaMna timu chache nzuri ila nyingi MBOVU ndio maana nmekuuliza nitajie timu iliyoshinda la liga nje ya madrid na barcelona???
Katika kipindi cha miaka kumi, team za Spain zimeshinda UEFA Mara sita (mara NNE Ikiwa back to back), ujerumani mara moja, Italy mara moja na England mara mbili!
Wala hatuhitaji ramli kujua ligi bora ni ipi. Numbers don't lie!
Mkuu namuulza huyo nanga hapo kwny ndoo ya uefa timu za ligi gan zmeinyanyua mara nyingiAtletico Madrid.
Kuna swali jingine?
OK, pamoja mkuuMkuu namuulza huyo nanga hapo kwny ndoo ya uefa timu za ligi gan zmeinyanyua mara nyingi
Atletico ipo madrid so yale yale tuAtletico Madrid.
Kuna swali jingine?
Sijakataa timu za spain zipo vzuri ila ni chache ni sawa na ufaransa wana timu nzuri ila chache yaani psg monaco lyon marseille lile basiiii zingine vibonde ila uingereza timu zote zipo hot kabisaMkuu namuulza huyo nanga hapo kwny ndoo ya uefa timu za ligi gan zmeinyanyua mara nyingi
Kwa hiyo unamaanisha hata chelsea, arsenal na Tottenham vikombe vyao vinahesabiwa pamoja kwakua wote wanatokea London?Atletico ipo madrid so yale yale tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sijakataa timu za spain zipo vzuri ila ni chache ni sawa na ufaransa wana timu nzuri ila chache yaani psg monaco lyon marseille lile basiiii zingine vibonde ila uingereza timu zote zipo hot kabisa
Nachosema ni nini..... Spain haina ligi competitive ndio maana kila msimu mshindi anatabirika either madrid au barca tofauti kabisa na england ambayo hujui kma chelsea au man u n.k watabeba ndoo
So barca inabebwa na ubovu wa ligi ndio maana nkasema kipimo chenu ni champions league..... Tuwe wapole tu ila nshasema hamvuki robo maana sio kwa ukuta wenu huo kma jana bila pique mlikuwa mshalala
Ha ha ha ha ha ha haaaaah kwa sababu hujajibu swali langu tufanye yameishaUnaposema defence mbovu hutakiwi kucompare na loser mwingine ila kweli defence yenu nyepesi sana hasa mkikutana na free scoring team kma PSG au Bayern mtakula nyingi..... Alaves tu waliwatoa jasho na kma sio uoga uoga wa wale forwards mngekula hata saba subirini tu champions league knock out stages mtaelewa nachosema
Kama hakuna timu, Je una kumbukumbu za kombe la UEFA championship utuandikie hapa, maana hili kombe hili ndilo kipimo bora cha timu za nchi gani ni nzuri, ukimaliza UEFA championship, tuletee na records za UEFA Europa championship ambayo ni ligi ndogo inayopima tena hizo hizo clubs za ulaya kwa nafasi ya chiniAsa la liga nayo kuna timu??? Ni hivi mna defence mbovu sema attacking ya timu za la liga mbovu kabisa ukiangalia mechi za la liga nyingi defence yenu inaburuzwa sana sema conversion rate ni ndogo sana ila ingekuwa champions league mngetundikwa mengi tu
Kama clean sheet ndio kila kitu mbona atletico madrid kawazidi??
Mara la liga hakuna timu, ghafla la liga kuna timu sita tu, sasa tukueleweje mkuu!!!?Nmeshasema la liga ina timu 6 tu nzuri sana ila hizo 14 vibonde tu ndio maana haziwezi panda top 4 mwaka wa 20 sasa yaani la liga ni
Real madrid
Atletico madrid
Barcelona
Valencia
Athletic club
Real sociedad(ingawa imeshakufa)
Villareal
Basi hizo nyingine kuanzia real betis mpaka leganes zero kabisa hazina ubavu wa kupambana na hiyo miamba 6 ila premier league hakuna timu ya bottom 10 ambayo haina ubavu wa kuifunga team ya top 4 yeyote..... Watford swansea west brom n.k zina uwezo wa kuitandika man u au chelsea sasa hapo huoni level ya mpira wa ligi ya uingereza ipo juu
Niambie lini mara ya mwisho bingwa katoka nje ya madrid na Barcelona???
Kumbe unashabikia hiki kitimu kibovu ndo maana unachonga sana, kumbe katimu kako kalivyo kabovu unalazimishia na Barca iwe mbovu, ha ha ha ha ha ha ha haaaaahMie ze gunners ila matatizo yetu nayajua mwenyewe mtuache na babu yetu ila haiondoi ukweli kuwa Barca ni mbovu huko nyuma..... Mtakula nyingi UEFA knockout stages
Mkuu, umejificha wapi?Tuwe na subira mkuu ntakuja kuwakumbusha kuhusu udhaifu wa ukuta wenu kma biskuti ndio mnawaza treble!!! Yaani umtiti na digne cjui samedo na roberto teh teh teh ?? Duh itakuwa world record
Haha! Ukistaajabu ya baka utayaona ya sevilla,Mkuu, umejificha wapi?
Bado umeshikilia ule msimamo wako?
Bado unaamini EPL ni bora kuliko Laliga?
Hongereni sana vijana wa catalan kwa kuvuka kihunzi cha kwanza ila nawakumbusha tu bado kuna mechi 5 kabla hamjabeba UCL trophy hivyo tuendelee kuwa na subira kwanzaMkuu, umejificha wapi?
Bado umeshikilia ule msimamo wako?
Bado unaamini EPL ni bora kuliko Laliga?
uko sahihi