Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baruti tu hizoNimesikia Milio ya risasi maeneo ya Moroco kama mara nne hivi nipo maeneo ya shoppers hapa at this moment nasikia ving'ora shida ni nini wadau? Usalama upo Kweli?
Tunatest mitando, weka matako ndani kwa usalam wakoNimesikia Milio ya risasi maeneo ya Moroco kama mara nne hivi nipo maeneo ya shoppers hapa at this moment nasikia ving'ora shida ni nini wadau?
Usalama upo Kweli?
[emoji2960][emoji2960][emoji2960] acha woga mwanaume barubaru unaogopaje sauti?Ngoja nikunje kona nipite makumbusho maana nilikuwa nakuja mitaa hiyo...kukutana na bwana Hamza muda huu na siku ishaisha sio poa.
Unamjua bwana Hamza wewe lakini??[emoji2960][emoji2960][emoji2960] acha woga mwanaume barubaru unaogopaje sauti?
Mkuu hilo jina lako nikiliona nacheka sana😂😂
Anakukumbusha ulivyoikimbia mbususu miaka ileeeeeMkuu hilo jina lako nikiliona nacheka sana[emoji23][emoji23]