Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ni vibarafu vya kutuzia baridi ice cream za ukwaju bakharesa watu wanategenezea milipuko 🙂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unamjua bwana Hamza wewe lakini??
Pata picha na mwili ule anapita pembeni yako na mjegejo kipasso chako kinaweza zima kimasikhara.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Unamjua bwana Hamza wewe lakini??
Pata picha na mwili ule anapita pembeni yako na mjegejo kipasso chako kinaweza zima kimasikhara.
Mgerasi bhana..
Inakuwaje MyebusiMgerasi bhana..
Waluguru mnatabu sanaUnamjua bwana Hamza wewe lakini??
Pata picha na mwili ule anapita pembeni yako na mjegejo kipasso chako kinaweza zima kimasikhara.
Shwari mgeresi..ni hawa wanaume wa dar wanaleta tu mambo ya kioga hapa jamvini.Inakuwaje Myebusi
Ni baiskel imepata pancha kwahiyo uko uvunguni sahivi?
Ukifika kwenye jiji kubwa kama Johannesburg hiyo ni milio ya kawaida sana everyday, hata ving'ora vya polisi ndio usiseme.Nimesikia Milio ya risasi maeneo ya Moroco kama mara nne hivi nipo maeneo ya shoppers hapa at this moment nasikia ving'ora shida ni nini wadau?
Usalama upo Kweli?
Yaani upo Shoppers, halafu unasikia mlio wa mlipuko kama wa risasi na unasema kabisa mlio umetokea Morocco?
Shoppers ni mbali sana kuweza kusikia mlio wa risasi inayopigwa Morocco kiasi uweze jua risasi ilipopigwa...
By the way, hakuna risasi yoyote iliyopigwa si Morocco au barabara yote ya Ali Hassan Mwinyi, Mwai Kibaki, Migombani, Ubalozi n.k