Ila JF bhana! ππππWewe ni Me
Yeye ni Me au Ke?
hahahaha dahWewe ni Me
Yeye ni Me au Ke?
Ana historia ya pombe na bangi hii naijuwa bila kuambiwa lakini sijajua anakunywa kiasi gani
Kuna dalili mtoa mada ni bottomAcheni Kuyaendekeza hayo Magasho..... Me Kwa Me Kivipi?
BottomKuna dalili mtoa mada ni bottom
Nmechekaaaaaa π€£π€£π€£π€£π€£π€£Ila JF bhana! ππππ
Nimekata tamaa ya kuwa na huyu mtu baada ya kusikia anavuta bangi, sigala, madawa na pombe Ungekuwa weh ungefanyaje?
Japo anaonesha malengo kwenye mahusiano lakini tabia zake ninazoambiwa zimenivuruga.
Ningekua mim ningeendelea nae...bangi kitu ndogo sana hayo madawa ndo hatujajua ni cocaine au heroine au vumbi la congoNimekata tamaa ya kuwa na huyu mtu baada ya kusikia anavuta bangi, sigala, madawa na pombe Ungekuwa weh ungefanyaje?
Japo anaonesha malengo kwenye mahusiano lakini tabia zake ninazoambiwa zimenivuruga.