yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
Kama anakupenda na anamalengo ya dahti we focus kwenye penzi mengine waachie waongo waongee, huenda hiyo bangi anayovuta ndo huwa anainunia akupende weweNimekata tamaa ya kuwa na huyu mtu baada ya kusikia anavuta bangi, sigala, madawa na pombe Ungekuwa weh ungefanyaje?
Japo anaonesha malengo kwenye mahusiano lakini tabia zake ninazoambiwa zimenivuruga.