Nimesikia Tarime iko Kaskazini Magharibi mwa Tanzania

Nimesikia Tarime iko Kaskazini Magharibi mwa Tanzania

kaskazini magharibi mwa tanzania ndipo ilipo tarime na kusini mashariki mwa tanzania ipo lindi. Hizi location hutajwa unapokuwa popote mwa nchi hata kama uko kagera, moshi au mtwara
 
kaskazini magharibi mwa tanzania ndipo ilipo tarime na kusini mashariki mwa tanzania ipo lindi. Hizi location hutajwa unapokuwa popote mwa nchi hata kama uko kagera, moshi au mtwara
Dira inakuwa imesimikwa wapi
 
Hamjasoma jiografia darasa la nne?
Usikariri nenda kwenye uhalisia, simika dira Dodoma au Singida ndipo useme, kudhani kila kilichomo kwenye vitabu ni sahihi ni sawa na yale ya rangi za bendera ya taifa
 
Usikariri nenda kwenye uhalisia, simika dira Dodoma au Singida ndipo useme, kudhani kila kilichomo kwenye vitabu ni sahihi ni sawa na yale ya rangi za bendera ya taifa

Kwa kukusaidia tu, kama unaijua location ya Tarime na kwa kufuata mistari ya longitudo na latitudo, je Tarime ipo upande upi wa Tanzania?

FYI: Kijiografia Dodoma sio katikati ya Tanzania sababu mipaka ya Tanzania inaanzia baharini zaidi ya visiwa vya Mafia, Unguja na Pemba kwa upande wa mashariki...

1280px-Tanzania_Topography.png
 
Back
Top Bottom