Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Katikati ni wapi
Tazama hiyo picha nimekuwekea hapo, we si ulisoma elimu isiyo ya kukariri kama unavyosema wengine tulisoma...
Tafuta bikari na kipima pembe uanze kupima...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katikati ni wapi
Uko timamu kweli mkuu?Ni kaskazini Magharibi ndiyo. Mara, Mwanza na hata Arusha zipo Kaskazini magharibi.
Kagera na mikoa jirani ipo Kaskazini Madhariki.
Bado kagera haiwezi kuwa magharibi bali itakuwa kazkazini magharibi ukiweka compas ila Rukwa katavi Kigoma Taboro zipo magharibiMkuu ukiweka compus Dodoma au Singida utaona Kagera, Tabora, Shinyanga, Geita na Kigoma ziko Magharibi na siyo Mara, halafu Kilimanjaro na Arusha zinazotajwa kuwa zipo North kiuhalisia zipo Kaskazini Mashariki
Nimegundua hutaki kuelewa wala kueleweshwa. Basi ibaki hivyo ulivyoamua wewe.Kunako mitaala iliyozimuliwa
Kama hutaki kupata maarifa kwa wanaojua ama kukuzidi manake wewe una maarifa yako, baki nayo. Watu wametumia mda, akili na bando zao kuchangia mada yako ila unaleta ubishi tu.Jenga hoja
Kwani ni mimi peke yangu ninayebisha au wapo na wengineKama hutaki kupata maarifa kwa wanaojua ama kukuzidi manake wewe una maarifa yako, baki nayo. Watu wametumia mda, akili na bando zao kuchangia mada yako ila unaleta ubishi tu.
Mara hipo North westKwa mantiki hiyo Mara ipo Kaskazini
Na Kilimanjaro ipo Kaskazini Mashariki
Wazazi wako wamekula hasara faida umepata wewe kuandika huu utumbo wa kukuHongera kwa uzoefu wa kunusa mavi
Kuna kijiji kinaitwa Sukamahela sina uhakika kama kipo manyoni au bahi ila ndio katikati ya TanzaniaKatikati ni wapi
kaskazini mashariki.View attachment 2461766
Je Kilimanjaro, Arusha zinakuwa Kaskazini kweli?