Kwekitui
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 1,070
- 1,083
Wakuu habari za asubuhi?
Nimesikia tetesi kwamba lile fao la kujitoa lililokuwa limezuiliwa awali kwamba hadi mwanachama afikishe miaka 55 ndipo anaruhusiwa kwenda kuchukua fao lake
Wakuu hapa kuna ukweli wowote?
Nina kiasi pale NSSF kimekwama kikisubiria nifike miaka 55 Mola akijaalia na sasa nipo 31s..
Kama ni kweli nianze mchakato wa kuiendea
Nimesikia tetesi kwamba lile fao la kujitoa lililokuwa limezuiliwa awali kwamba hadi mwanachama afikishe miaka 55 ndipo anaruhusiwa kwenda kuchukua fao lake
Wakuu hapa kuna ukweli wowote?
Nina kiasi pale NSSF kimekwama kikisubiria nifike miaka 55 Mola akijaalia na sasa nipo 31s..
Kama ni kweli nianze mchakato wa kuiendea