roservelt
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 1,418
- 1,514
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
najaribu kutafuta nyimbo mbaya hapa nakosaNimeskiliza ngoma zote za album ya Alikiba ngoma zimepoa sana. Kati ya nyimbo zote nimependa nyimbo mbili tu
*Niteke
*Let me
Nyimbo zingine zote hamna kitu na marudio tu ya ngoma zake zingine.
Ngoma chache sana ndo zenye vibe, na siku hizi watu wanapenda ngoja zenye vibe sio za kuskiliza
Tupe maoni yako juu ya hii Album ya Alikiba #Onlyking
!Ila king atendelea kuwa king tu![emoji58]
Kuna vitamini muhimu unaikosa mwilini kwako.... kula sana ndizi kisukari.Nimeskiliza ngoma zote za album ya Alikiba ngoma zimepoa sana. Kati ya nyimbo zote nimependa nyimbo mbili tu
*Niteke
*Let me
Nyimbo zingine zote hamna kitu na marudio tu ya ngoma zake zingine.
Ngoma chache sana ndo zenye vibe, na siku hizi watu wanapenda ngoja zenye vibe sio za kuskiliza
Tupe maoni yako juu ya hii Album ya Alikiba #Onlyking
!Ila king atendelea kuwa king tu![emoji58]
Ni binadamu gani ambaye hana hizo tabia?Tatizo ana kiburi kingi na dharau, kiufupi Ni mpumbavu
WeweNi binadamu gani ambaye hana hizo tabia?
Mara nyingi huyo jamaa ukisikiliza nyimbo zake kwa mara ya kwanza huwa zinapooza mno ila muda unavyozidi kwenda ndio anaposhangaza kwa nyimbo zake kuwa hitNimeskiliza ngoma zote za album ya Alikiba ngoma zimepoa sana. Kati ya nyimbo zote nimependa nyimbo mbili tu
*Niteke
*Let me
Nyimbo zingine zote hamna kitu na marudio tu ya ngoma zake zingine.
Ngoma chache sana ndo zenye vibe, na siku hizi watu wanapenda ngoja zenye vibe sio za kuskiliza
Tupe maoni yako juu ya hii Album ya Alikiba #Onlyking
!Ila king atendelea kuwa king tu![emoji58]
Baada ya kuskiliza Album ya Ali Kiba , naomba nikiri wazi kuwa Ali Kiba ni King wa Bongo Flava, vijana waliopoteza dira ya utunzi wa mashairi kama Vile Diamond na Baddest 47 wanatakiwa kumuona Ali kwa ushauri na msaada zaidi.Nimeskiliza ngoma zote za album ya Alikiba ngoma zimepoa sana. Kati ya nyimbo zote nimependa nyimbo mbili tu
*Niteke
*Let me
Nyimbo zingine zote hamna kitu na marudio tu ya ngoma zake zingine.
Ngoma chache sana ndo zenye vibe, na siku hizi watu wanapenda ngoja zenye vibe sio za kuskiliza
Tupe maoni yako juu ya hii Album ya Alikiba #Onlyking
!Ila king atendelea kuwa king tu![emoji58]
OkBaada ya kuskiliza Album ya Ali Kiba , naomba nikiri wazi kuwa Ali Kiba ni King wa Bongo Flava, vijana waliopoteza dira ya utunzi wa mashairi kama Vile Diamond na Baddest 47 wanatakiwa kumuona Ali kwa ushauri na msaada zaidi.
una akili finyu sana itakuwa unaishi kwenu weweKama unatafuta matusi kwa Kiba hautayapata hivyo hautaelewa nyimbo zake, endelea kusikiliza watu wako wanaoimba matusi utawaelewa achana na Kiba.
Naishia na mamaaakouna akili finyu sana itakuwa unaishi kwenu wewe
Sio kwa ubaya ila hivi mtu akiishi kwao kwani ni dhambi😂😂una akili finyu sana itakuwa unaishi kwenu wewe
IdiotNaishia na mamaaako
Dhambi kubwa sana kwasababu Akili haikui na huwezi kufikiria nje ya boxSio kwa ubaya ila hivi mtu akiishi kwao kwani ni dhambi[emoji23][emoji23]