Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Nikajua Nicki Minaj, kumbe Niki MinajiBaada ya say b, sister p na rah P kustaafu mziki sasa kuna ingizo jipya naomba sikiliza utojutia πππ
Hata huyo Niki Minaji ndio nani?rose mdauka ni nini au ni kitu gani?
Kila mtu atachanganyikiwa ni swala la muda tuRose alikuwa mzima tu, kaanza kuchanganyikiwa lini? πΉ
Wameanza kumfananisha na vitu vya kisengeNicki minaj wa nyoko!
Umelipia tangazo? πBaada ya say b, sister p na rah P kustaafu mziki sasa kuna ingizo jipya naomba sikiliza utojutia πππ
huwa sielew kwa nn watu wanatufanya tulie sana, sio kwenye mpira, sio muzik, sio uigizaji, yaani shida tupuWameanza kumfananisha na vitu vya kisenge
Kwa nini mkuuhuwa sielew kwa nn watu wanatufanya tulie sana, sio kwenye mpira, sio muzik, sio uigizaji, yaani shida tupu
Anafanya kitu moyo unapenda ngoja tumuache tuoneRose Ndauka ana ujasiri sana. Nimejiuliza ni kwanini ameachana na bongo movie. Anajua kuigiza vizuri