Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Hebu nielekezeRose Ndauka ana ujasiri sana. Nimejiuliza ni kwanini ameachana na bongo movie. Anajua kuigiza vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu nielekezeRose Ndauka ana ujasiri sana. Nimejiuliza ni kwanini ameachana na bongo movie. Anajua kuigiza vizuri
rusha hata ngumi mkuu,...😂😂🤣sasa mkuu unakuta et rose ndauka anafananishwa na nicki minaj, cr7 anafananishwa na haaland, kanumba anafananishwa na denzel, kwa mtu mwenye utimamu wa akili unaachaje kulia sasa.
Nini?Hebu nielekeze
Kumbe nilikuwa nimelala? Ni RoseNini?