Haya. Yetu macho na masikioAnafanya kitu moyo unapenda ngoja tumuache tuone
sasa mkuu unakuta et rose ndauka anafananishwa na nicki minaj, cr7 anafananishwa na haaland, kanumba anafananishwa na denzel, kwa mtu mwenye utimamu wa akili unaachaje kulia sasa.Kwa nini mkuu
Huu mfumo wa ubatizo huwa unanikera sana aisee.sasa mkuu unakuta et rose ndauka anafananishwa na nicki minaj, cr7 anafananishwa na haaland, kanumba anafananishwa na denzel, kwa mtu mwenye utimamu wa akili unaachaje kulia sasa.
Halafu ujue nilikua nachukulia masikhara kumbe kweli demu huyu anajua kuchana kama cardi B hahahahahahahaBaada ya say b, sister p na rah P kustaafu mziki sasa kuna ingizo jipya naomba sikiliza utojutia [emoji39][emoji39][emoji39]
my mambooππππ€£π€£π€£ ila ndauka bana kamgeuza nandy kituko baada ya kolabo. nandy nae akaenda kwenye show yake na style ya kuruka samasotiπ€£π€£
Ila hawajachelewa sana,wakimuwahi ataponaRose alikuwa mzima tu, kaanza kuchanganyikiwa lini? πΉ
Ni suala la muda tu, kila mmoja atachanganyikiwa.Rose alikuwa mzima tu, kaanza kuchanganyikiwa lini? πΉ
πππππππMi naona anafanya vizuri ππππ
Au unasema lawyer!πππππππ