Nimesikiliza EP ya Rose Ndauka, huyu dada ni noma kama Nikki Minaji

sasa mkuu unakuta et rose ndauka anafananishwa na nicki minaj, cr7 anafananishwa na haaland, kanumba anafananishwa na denzel, kwa mtu mwenye utimamu wa akili unaachaje kulia sasa.
rusha hata ngumi mkuu,...😂😂🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…