Nimesikiliza mahojiano ya Prof. Assad na Kikeke, huyu Prof. ana ujuaji mwingi. Unafukuzaje mfanyakazi akikataa kufanya majukumu ambayo sio yake?

Ulitaka asimlilie. Kewe anapomkumbuka?

Kama wewe huna uwezo wa kuoa au kuolewa na huijui ladha yake, usikejeli wenzako kwenye hilo .

Ulimuona Assad akililia nini kingine?

Umepanik sana. Hata ulichoandika hakijulikani ni lugha gani. So Assad hajaolewa au wewe ? Wewe si uliolewa ukiwa na miaka 6 ?na umekomalia ndoani . Assad kama anaona vipi akazikwe na magufuli akadai u CAG. Otherwise afanye maisha mengine. Hakuzaliwa kuwa CAG. Kama ana madai amwandikie samia amlipe. Aache madeko na kulia lia. Na wewe kaa kwa kutulia kwa mumeo amekutoa mbali mpaka umefika umri huo.
 
Tunafahamu kwanini mnaumia roho Muislam anapoweka historia kwenye hii nchi.
 
Eeh si bora hata kikeke angekuhoji wewe na standard seven yako
 
Tunafahamu kwanini mnaumia roho Muislam anapoweka historia kwenye hii nchi.

Oooooh... Kumbe umehamishia kwenye Dini? 🤣 Mtu anayeishiwa hoja hukimbilia kwenye
1. Udini
2. Ukabila
3. Ukanda
4. Rangi

Unajua huyu akili yake imeishia hapo. Wewe huwezi kuwa muislamu kuliko mimi ambaye nimelelewa na babu yangu Mufti. Kaka zangu Watatu Masheikh wakubwa na ma Alhaj. Nami nimesoma ilimu hiyo kwa kiasi flani. Huifahamu Dini ingawa unadhani unaifahamu.

Assad ni mtu kama mtu mwingine na sometimes ana behave kama kilaza. Hakuna historia ambayo ameweka. Yaani hakuna jambo la maana amefanya zaidi ya kulia lia na kulalamika. Wapo watu wa maana wamefanya makubwa kwa nchi. Assad is none of them.
 
Kila akishika maiki ni kulalamikia issue ya kuachishwa Kazi......Sina hakika ila nahisi palikua na jambo
Huyu Mzee Kadata Aiseee, Tatizo Lingine Nimekuja kumgundua ni Mjivuni Sana na Yeye ndio Anajiona Kila kitu Anajua, Hivyo Alidhania kwenye Ile Nafasi ya CAG Angekaa Maisha Milele?
 
Mkuu rushwa tena! mbona ni swala tano!?
 
Na mimi nilishangaa, he is potentially a dictator. Au labda alikuwa si muumini wa Kibla, akatafutiwa sababu.
 
Kwenye barua ya ajira (Serikalini)kuna kipengele kinasema.....".AU KAZI NYINGINE UTAKAYOPANGIWA NA MWAJIRI."
Muwe mnatumia akili vizuri, hizi kazi nyingine ni zile zinazoendana na yale majukumu yako ya msingi. Hivi ukiajiriwa kama mhasibu, kufika kituo cha kazi ukaambiwa uwe unapika chai na lunch, utafanya hivyo kwa ajili ya kipengele hicho?
 
Nimemsikiliza pia kwa umakini mkubwa lakini nilipofikia hapo nikaona tatizo Lake.

Anaamini anajua kila kitu jambo ambalo sio kweli, hakuna mtu anajua kila kitu.
Basi unajua wewe?

Pendant sana kumsikiliza mtu mwenye uchungu akimaliza kuongea ndio dawa yake, moyo wake unakuwa huru.
 
Huyo mzee anatafuta kiki..
 
Katika utumishi wa umma wafanyakazi wamewekwa katika makundi,dereva ni kundi la "operation service"kundi hili mwajiri anaweza kumpangia kazi nyingi akiona kuna uwezekano wa kuleta ufanisi na tija kwenye idara/taasisi.
 
Katika utumishi wa umma wafanyakazi wamewekwa katika makundi,dereva ni kundi la "operation service"kundi hili mwajiri anaweza kumpangia kazi nyingi akiona kuna uwezekano wa kuleta ufanisi na tija kwenye idara/taasisi.
Hizo kazi nyingi zinakuwa ndani ya wigo wa kada yake, mfano kupeleka barua mahali, kwenda kumchukua mtu mwingine tofauti na bosi wake aliyepangiwa.

Ila sio kupanga mafaili hiyo ni kazi nje kabisa ya kada yake na ni taaluma kabisa watu wanaisomea.

Huyu mzee kwa arrogance yake alifikiri yupo sahihi ila kachemka.
 
Muwe mnatumia akili vizuri, hizi kazi nyingine ni zile zinazoendana na yale majukumu yako ya msingi. Hivi ukiajiriwa kama mhasibu, kufika kituo cha kazi ukaambiwa uwe unapika chai na lunch, utafanya hivyo kwa ajili ya kipengele hicho?
Wewe unayetumia akili vizuri kabadilishe hicho kipengele.
 
Kiburi cha usomi kinamsumbua huyu Profesa. Mara nyingi anakuwa na hoja zenye msingi tatizo lake ndio hilo la maneno yake kuleta ukakasi akilini mwa wanaomsikiliza.
 
Lazima tujipange tumalize ujenzi wa SGR ili mzigo wote wa eastern congo uje Dar, hilo ni la msingi sana kaliongea na ni ujumbe kwa wadau wa wizara ya mawasiliano kuhakikisha hawalali mpaka kipande kilichobakia kinamalizika.
 
Lazima tujipange tumalize ujenzi wa SGR ili mzigo wote wa eastern congo uje Dar, hilo ni la msingi sana kaliongea na ni ujumbe kwa wadau wa wizara ya mawasiliano kuhakikisha hawalali mpaka kipande kilichobakia kinamalizika.
Ukiachana na ukichaa mwingine alipuzungumza hilo ni jambo muhimu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…