Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Taasisi gani?Prof. Assad ni bogus sana anajiona anajua kila kitu na hana busara kabisa nimefanya naye kazi akiwa Mwenyekiti wa Board moja hivi. Alishindwa kuongoza Board hiyo na Taasisi husika ilipata hasara kwa muda wote akiwa Mwenyekiti wa Board hiyo alikuwa anaendekeza rushwa sana.
Assad is overrated. Huyu mnaemuita genius, mnasahau kuwa huyu bwana na rafiki yake Ramadhan Kitwana. Dau ni mafisadi waliochangia kuua Nssf!! He has no moral authority to give advice on issues of national interest.Kila akishika maiki ni kulalamikia issue ya kuachishwa Kazi......Sina hakika ila nahisi palikua na jambo
Muulize kuna degree au diploma ya driving?. Professional inaanzia bachelor degree na kuendelea, yeye anathani certificate in driving ni taaluma. Nchi hii imejaa wajinga wengi sana.Unaelewa maana ya taaluma kwanza?? Ukienda kuajiriwa kama daktari mahali ukapewa gari la kuendesha mwenyewe kwenda kazini ukiulizwa una taaluma gani utasema una taaluma ya udaktari na udereva??
Mjinga ni wewe hapo unayetudanganya hapa kuwa proffession zinaanza kwa level ya degree tu.Muulize kuna degree au diploma ya driving?. Professional inaanzia bachelor degree na kuendelea, yeye anathani certificate in driving ni taaluma. Nchi hii imejaa wajinga wengi sana.
Ujuzi gani acha uongo Serikalini huko maafisa maendeo ya jamii wanakusanya mapato hapo Kuna ujuzi gani?Lazima iendane na ujuzi wako.
Kwa namna hii lazima aamini prof ni geniusMjinga ni wewe hapo unayetudanganya hapa kuwa proffession zinaanza kwa level ya degree tu.
Huo uongo kawadanganye hapo kijiweni kwenu.
Tuambie professional inaanzia level gani ya elimu kwa usomi wako?Mjinga ni wewe hapo unayetudanganya hapa kuwa proffession zinaanza kwa level ya degree tu.
Huo uongo kawadanganye hapo kijiweni kwenu.
Kwani hoja yako ni nini hapa...?Wakati akihojiwa na Salim Kikeke,
Aliyewahi kuwa CAG na kuondolewa kwa aibu kuu Prof. Assad anadai kuna mtumishi huko Morogoro aliajiriwa kama Dereva.
Lakini kwakuwa hakuwa na mtu wa kumuendesha basi wakaamua wawe wanampa kazi ya kupanga mafaili.
Jamaa baada ya kuona anafanya kazi ambazo sio zake akaamua kuandika barua akidai alipwe kwa kufanya kazi ambazo sio zake.
Huyu Prof msomi na mshika dini akamuamuru HR amfukuze kazi huyo dereva.
Hapa tunasikiliza mahojiano ya Prof. Akilalamika kufutwa kazi bila utaratibu lakini wakati huo huo anatueleza bila aibu kitendo chake cha kinyama cha kumfuta mtumishi kazi kwa kudai haki zake.
Kwa elimu yake hiyo anaona ni sahihi kwa dereva kufanya kazi za kupanga file badala ya kuendesha gari kulingana na mkataba wa ajira yake??
Je yeye huyo Prof. Angeambiwa akadeki korido pale UDSm badala ya kufundisha wanafunzi kukariri madesa angefanya hivyo.
Ama kweli binadamu ni wasahaulifu sana na wanafiki mno.
Huyu keshasahau namna alivyomtenda mwenzake anaona ni haki yake kuonea wengine kwa kuwa kasoma sana ila wenzake hawana haki ya kumfuta yeye kazi.
Such an arrogant and a very useless academician.
View: https://youtu.be/eE2JoDEd43Q?si=vgPL1ihKxMpsLtel
Kichaa wa kwanza kabisa ni huyo mhusika aliyeleta hiyo stori ya dereva ndani ya mjadala serious wa u- CAG.Kwani hoja yako ni nini hapa...?
KWANZA; Mfano wako wa dereva wa Morogoro na yeye kama CAG ni quite irrelevant....
PILI; Hata kama ingekuwa hivyo, kosa la kwanza halitoi uhalali wa kosa la pili...
TATU; Ukiajiriwa kuwa dereva, siku zote ktk majukumu utakayoorodheshewa kuwafanya ukiacha kuendesha gari pekee, pia lazima liwepo na "majukumu mengine utakayoagizwa na mwajiri wako kufanya"
NNE; Huyo dereva kama alikuwa haendeshi gari kwa wakati huo, ilikuwa sahihi kabisa kumpa kazi nyingine ya kufanya kwa mshahara wake uleule wa udereva. Kama alianza kudai fedha/mshahara mwingine wa "kupanga mafaili" huku akilipwa wa udereva bila kufanya kazi ya udereva, ilikuwa ni halali aachichwe kazi huyo....!
##All in all, kulinganisha mazingira ya kuachichwa kazi kwa dereva na CAG (jukumu la kikatiba) ni ukichaa wa mwenye fikra hizo...!!
Pole sana Mr/Miss/Mrs Stroke
Wakati akihojiwa na Salim Kikeke,
Aliyewahi kuwa CAG na kuondolewa kwa aibu kuu Prof. Assad anadai kuna mtumishi huko Morogoro aliajiriwa kama Dereva.
Lakini kwakuwa hakuwa na mtu wa kumuendesha basi wakaamua wawe wanampa kazi ya kupanga mafaili.
Jamaa baada ya kuona anafanya kazi ambazo sio zake akaamua kuandika barua akidai alipwe kwa kufanya kazi ambazo sio zake.
Huyu Prof msomi na mshika dini akamuamuru HR amfukuze kazi huyo dereva.
Hapa tunasikiliza mahojiano ya Prof. Akilalamika kufutwa kazi bila utaratibu lakini wakati huo huo anatueleza bila aibu kitendo chake cha kinyama cha kumfuta mtumishi kazi kwa kudai haki zake.
Kwa elimu yake hiyo anaona ni sahihi kwa dereva kufanya kazi za kupanga file badala ya kuendesha gari kulingana na mkataba wa ajira yake??
Je yeye huyo Prof. Angeambiwa akadeki korido pale UDSm badala ya kufundisha wanafunzi kukariri madesa angefanya hivyo.
Ama kweli binadamu ni wasahaulifu sana na wanafiki mno.
Huyu keshasahau namna alivyomtenda mwenzake anaona ni haki yake kuonea wengine kwa kuwa kasoma sana ila wenzake hawana haki ya kumfuta yeye kazi.
Such an arrogant and a very useless academician.
[URL unfurl="true"
Mimi jambo
Wakati akihojiwa na Salim Kikeke,
Aliyewahi kuwa CAG na kuondolewa kwa aibu kuu Prof. Assad anadai kuna mtumishi huko Morogoro aliajiriwa kama Dereva.
Lakini kwakuwa hakuwa na mtu wa kumuendesha basi wakaamua wawe wanampa kazi ya kupanga mafaili.
Jamaa baada ya kuona anafanya kazi ambazo sio zake akaamua kuandika barua akidai alipwe kwa kufanya kazi ambazo sio zake.
Huyu Prof msomi na mshika dini akamuamuru HR amfukuze kazi huyo dereva.
Hapa tunasikiliza mahojiano ya Prof. Akilalamika kufutwa kazi bila utaratibu lakini wakati huo huo anatueleza bila aibu kitendo chake cha kinyama cha kumfuta mtumishi kazi kwa kudai haki zake.
Kwa elimu yake hiyo anaona ni sahihi kwa dereva kufanya kazi za kupanga file badala ya kuendesha gari kulingana na mkataba wa ajira yake??
Je yeye huyo Prof. Angeambiwa akadeki korido pale UDSm badala ya kufundisha wanafunzi kukariri madesa angefanya hivyo.
Ama kweli binadamu ni wasahaulifu sana na wanafiki mno.
Huyu keshasahau namna alivyomtenda mwenzake anaona ni haki yake kuonea wengine kwa kuwa kasoma sana ila wenzake hawana haki ya kumfuta yeye kazi.
Such an arrogant and a very useless academician.
[URL unfurl="true"
Mimi jambo
Kumbe huna unalojua ndio maana huyu profesa akiwaeleza hamuelewi.Itakua serikali ya hapo kwenu.
Hana ugenius wowote ule labda unamjua mitandaoni tu nakumbuka alimkataza mkewe asiende kumzika mzazi wake kisa mkristoMie nimemsikiliza juzi...jamaa ni genius...its a rare gem in Africa...! ndo maana sisytem ikamtema
Nahuyo mkewe alimkataza kwenda kumzika mzazi wake ambae ni mkristoM
Mimi jambo lililonigusa ni pale aliposema mke wake alikuwa anasikiliza maongezi yake ya kwenye simu kuhusu kazi yake ya CAG kwa kuwa alikuwa anaweka loud speaker wakiwa nyumbani na mke wake.Ni mwiko kwa mtumishi wa umma kutoa Siri za kiofisi hata kwa mtu wa karibu akiwemo mweza.
Mimi jambo
Angeshamove on na mambo mengine, kulalama miaka nenda maana yake sio kichwa kama unavyomnadi hapa.Wajinga wengi hamuwezi kumuelewa huyo jamaa ni kichwa haswa na hapelekeshwi hovyo.
Hakuna maelezo yanaweza justify huu ujinga aliofanya.Kumbe huna unalojua ndio maana huyu profesa akiwaeleza hamuelewi.