Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Huelewei kwa nini watu walioajiriwa leo wanafutwa kazi hata kesho yake?? Kazi zisizo za kitaaluma kama dereva unauliza kwa nini walimuajiri in first place?? Udereva ni kazi zisizo za kitaaluma kama kibarua au saidia fundi.Walimuajiri wa nini in the first place?? Na gari wakampa.