Nimesikiliza Unabii huu, Inasadikika huu Ujumbe umetoka Mbinguni Kwa Baba Mwenyewe. Asiwepo wa kuupuuza

Nimesikiliza Unabii huu, Inasadikika huu Ujumbe umetoka Mbinguni Kwa Baba Mwenyewe. Asiwepo wa kuupuuza

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Mwili wangu wote unatetemeka, hasa ukizingatia huwa sina Shaka na Watumishi wakweli wa Mungu.

Nabii Denis ameusoma unabii anaodai kwamba umetoka kwa Mungu, ni siku kama mbili au tatu zilizopita.

Nimekutana nao Youtube. Nimeogopa sana.

Ujumbe huo anausoma kama ulivyo andikwa sina hakika kama ni yeye aliuandika au Karatasi ilitoka mbinguni ikiwa imeandikwa kama Enzi za Mtume Muhammad SAW alivyopokea ujumbe wa Mungu kwa kuteremshiwa Quran tukufu.

Kila mtu asikilize mwenyewe.


View: https://youtu.be/aYO5xuBhNEA?si=DobuAp4VYiPfLAMb
 
Mwili wangu wote unatetemeka, hasa ukizingatia huwa sina Shaka na Watumishi wakweli wa Mungu.

Nabii Denis ameusoma unabii anaodai kwamba umetoka kwa Mungu, ni siku kama mbili au tatu zilizopita.

Nimekutana nao Youtube. Nimeogopa sana.

Ujumbe huo anausoma kama ulivyo andika sina hakika kama ni yeye aliuandika aj Karatasi ilitoka mbinguni ikiwa imeandikwa kama Enzi za Mtume Muhammad SAW alivyopokea ujumbe wa Mungu kwa kuteremshiwa Quran tukufu.

Kila mtu asikilize mwenyewe.


View: https://youtu.be/aYO5xuBhNEA?si=DobuAp4VYiPfLAMb

Jambo lingine sijafahamu kama huu unabii unawahusu na Watumishi wale wa Kipagani au la.
 
Mwili wangu wote unatetemeka, hasa ukizingatia huwa sina Shaka na Watumishi wakweli wa Mungu.

Nabii Denis ameusoma unabii anaodai kwamba umetoka kwa Mungu, ni siku kama mbili au tatu zilizopita.

Nimekutana nao Youtube. Nimeogopa sana.

Ujumbe huo anausoma kama ulivyo andikwa sina hakika kama ni yeye aliuandika au Karatasi ilitoka mbinguni ikiwa imeandikwa kama Enzi za Mtume Muhammad SAW alivyopokea ujumbe wa Mungu kwa kuteremshiwa Quran tukufu.

Kila mtu asikilize mwenyewe.


View: https://youtu.be/aYO5xuBhNEA?si=DobuAp4VYiPfLAMb

amesema nini huyo nabii
elezea kwa kifupi
 
amesema nini huyo nabii
elezea kwa kifupi
Amewaonya watumishi wa Mungu wasiosema ukweli na kudanganya mbele ya viongozi Mungu atawaadhibu.

Amesema unapomdanya Mtawala awe mbunge au Diwani hata pale anapokosea basi unawaumiza wale anaotawala.

Amehimiza viongozi wote wa dini kuhubiri Neno la kweli na kwamba wao wawe washauri bora wa watawala kwa kuwa wao wanaaminika.
 
Amewaonya watumishi wa Mungu wasiosema ukweli na kudanganya mbele ya viongozi Mungu atawaadhibu.

Amesema unapomdanya Mtawala awe mbunge au Diwani hata pale anapokosea basi unawaumiza wale anaotawala.

Amehimiza viongozi wote wa dini kuhubiri Neno la kweli na kwamba wao wawe washauri bora wa watawala kwa kuwa wao wanaaminika.
Sasa kama amesema hivyo mbona vitu vya kawaida tu
 
Amewaonya watumishi wa Mungu wasiosema ukweli na kudanganya mbele ya viongozi Mungu atawaadhibu.

Amesema unapomdanya Mtawala awe mbunge au Diwani hata pale anapokosea basi unawaumiza wale anaotawala.

Amehimiza viongozi wote wa dini kuhubiri Neno la kweli na kwamba wao wawe washauri bora wa watawala kwa kuwa wao wanaaminika.
Mbona hii ipo kwenye vitabu vya dini vyote!!!
 
Back
Top Bottom