Nimesikiliza Unabii huu, Inasadikika huu Ujumbe umetoka Mbinguni Kwa Baba Mwenyewe. Asiwepo wa kuupuuza

Nimesikiliza Unabii huu, Inasadikika huu Ujumbe umetoka Mbinguni Kwa Baba Mwenyewe. Asiwepo wa kuupuuza

Huyu anataka bakora tu akili zirudi .
aneta huu ujumbe wake kwa kusingizia umetoka kwa Mungu.
 
Amewaonya watumishi wa Mungu wasiosema ukweli na kudanganya mbele ya viongozi Mungu atawaadhibu.

Amesema unapomdanya Mtawala awe mbunge au Diwani hata pale anapokosea basi unawaumiza wale anaotawala.

Amehimiza viongozi wote wa dini kuhubiri Neno la kweli na kwamba wao wawe washauri bora wa watawala kwa kuwa wao wanaaminika.
na wasipofanya hivyo ameaema nini kitatokea?
unataka kujua huo unabii uliokutetemesha ili na sisi tukae chonjo
 
kuna nabii mmoja hiv alitabiri dasalamu itafunikwa na maji akishauri watu wawauzie wengine hayo majumbani
Sasa sijui alitaka sisi wa huku mikoani ndo tuje tusombwe na hayo mafuriko
tulisubiri sana mpaka msimu wa mvia ukaisha watu wanadunda tu
 
na wasipofanya hivyo ameaema nini kitatokea?
unataka kujua huo unabii uliokutetemesha ili na sisi tukae chonjo
Amesema Mungu atawaaibisha Watumishi wa Dini wasio enenda sawa sawa na mapenzi yake
 
kuna nabii mmoja hiv alitabiri dasalamu itafunikwa na maji akishauri watu wawauzie wengine hayo majumbani
Sasa sijui alitaka sisi wa huku mikoani ndo tuje tusombwe na hayo mafuriko
tulisubiri sana mpaka msimu wa mvia ukaisha watu wanadunda tu
Achana na matapeli ndugu
 
Anatafuta fursa tu kiongozi, hamna jipya tuliyasikia hayahaya enzi za Moses Kulola akiwa kijana miaka ya 80's na hamna kilichotokea hadi akazeeka na akalamba vumbi! So hamna kipya akiitwa tu akalambishwa naye kesho tu atakua chawa wa nyimbo za sifa kuelekea kijani!
 
Anatafuta fursa tu kiongozi, hamna jipya tuliyasikia hayahaya enzi za Moses Kulola akiwa kijana miaka ya 80's na hamna kilichotokea hadi akazeeka na akalamba vumbi! So hamna kipya akiitwa tu akalambishwa naye kesho tu atakua chawa wa nyimbo za sifa kuelekea kijani!
Hahaha......Mkuu umeshakata tamaa ma watimishi wa Mungu😀😀
 
Hahaha......Mkuu umeshakata tamaa ma watimishi wa Mungu😀😀

Mkuu hadi nishazeeka yani, tulikua tunatishwa na issue za namna hii eti unabii masekondarini kule, tukiwa vijana na hamna kilichobadilika hadi sasa nastaafu 😀
 
Mkuu hadi nishazeeka yani, tulikua tunatishwa na issue za namna hii eti unabii masekondarini kule, tukiwa vijana na hamna kilichobadilika hadi sasa nastaafu 😀
Hahahaa wale manabii fake Kaka
 
Back
Top Bottom