Nimesikitika kujua Dogo Petit Reagan (Little Reagan) aliyeimba na Blaise Bula Ponderation 8 alifariki

Nimesikitika kujua Dogo Petit Reagan (Little Reagan) aliyeimba na Blaise Bula Ponderation 8 alifariki

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Wale wapenzi wa muziki wa Congo watakua sio wageni wa Petit/Little Reagan. Bwana mdogo aliesherehesha albamu ya mwanamuziki wa Congo B. Bula Ponderation 8 ya mwaka 1999/2000.

Kwenye hiyo albamu ya Ponderation 8, na wimbo wa Ponderation 8 ambao ndio ulibeba jina la albamu, dogo Little Reagan akiwa na miaka 9 tu enzi hizo, alishangaza ulimwengu wa muziki kwa kuingiza vionjo vikali haijawahi kutokea.

Binafsi nimesikitika sana kujua dogo alifariki miaka 3 nyuma kutokana na madawa ya kulevya.

Sikiliza hiyo ngoma, anzia dakika ya 4.48



Pumzika kwa amani dogo.
 
Wale wapenzi wa muziki wa Congo watakua sio wageni wa Petit/Little Reagan. Bwana mdogo aliesherehesha albamu ya mwanamuziki wa Congo B. Bula Ponderation 8 ya mwaka 1999/2000...
Moja kati ya nyimbo anazozipenda baba angu. Dogo alijua sana
 
Daah naupenda sana huu wimbo, kipindi hicho Bula alifanya maajabu saev yupo kimya zake ulaya huko,
Pole kwa wafiwa
 
celebrities you didn't know are dead.

Brittany Murphy - 8 Mile Movie Star.

8MILE.jpg
 
Wale wapenzi wa muziki wa Congo watakua sio wageni wa Petit/Little Reagan. Bwana mdogo aliesherehesha albamu ya mwanamuziki wa Congo B. Bula Ponderation 8 ya mwaka 1999/2000.

Kwenye hiyo albamu ya Ponderation 8, na wimbo wa Ponderation 8 ambao ndio ulibeba jina la albamu, dogo Little Reagan akiwa na miaka 9 tu enzi hizo, alishangaza ulimwengu wa muziki kwa kuingiza vionjo vikali haijawahi kutokea.

Binafsi nimesikitika sana kujua dogo alifariki miaka 3 nyuma kutokana na madawa ya kulevya.

Sikiliza hiyo ngoma, anzia dakika ya 4.48



Pumzika kwa amani dogo.

Huyo anayeitwa Chikito na yule aliye_rap kwa Blaise Bula ni watu wawili tofauti!? Yule wa Blaise Bula ni kweli alikuwa mdogo wake!? Dogo kwa Blaise Bula aliuwa kinyama. Yaani nilikuwa napenda pale alipokuwa anaanza ku_rap kwa sauti yake ya kitoto.
 
Apumzike kwa amani, mie nikua simjui kabisa, lakini mziki wa congo naupenda sana Tena wa rhumba kutoka kwa lepadre ferre gola.
 
Back
Top Bottom