Nimesikitika kuona Beki Djuma Shaban na Zanzibar finest Ibrahim Bacca hawapo kwenye orodha ya tuzo TFF

Nimesikitika kuona Beki Djuma Shaban na Zanzibar finest Ibrahim Bacca hawapo kwenye orodha ya tuzo TFF

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Nimeshangaa sana kuona hao mabeki hawapo katika orodha ya mabeki bora katika msimu huu wa NBC PL 2022/2023, Pamoja na michango yao mikubwa sana katika timu zao.

Mbali na hayo, Hivi unaanzaje kuwataja viungo bora bila kumtaja Khalid Aucho? Au TFF mmeamua kuweka balance tu bila uhalisia?

Kwa hili nadhani TFF wajitafakari sana kuhusu tuzo zao.

Nawasilisha
 
Weka list basi wachezaji bora
Nimeshangaa sana kuona hao mabeki hawapo katika orodha ya mabeki bora katika msimu huu wa NBC PL 2022/2023, Pamoja na michango yao mikubwa sana katika timu zao.

Kwa hili nadhani TFF wajitafakari sana kuhusu tuzo zao.

Nawasilisha
[/QUOTE

Weka list wachezaji bora tuone
 
IMG_7095.jpg
 
Wewe hujui mpira Baki na maushabiki Maandazi yako..............
 
Djuma shabani Ni wa kawaida
Beki Bora wa kushoto Ni Lomalisa kwa sasa
 
Nimeshangaa sana kuona hao mabeki hawapo katika orodha ya mabeki bora katika msimu huu wa NBC PL 2022/2023, Pamoja na michango yao mikubwa sana katika timu zao.

Mbali na hayo, Hivi unaanzaje kuwataja viungo bora bila kumtaja Khalid Aucho? Au TFF mmeamua kuweka balance tu bila uhalisia?

Kwa hili nadhani TFF wajitafakari sana kuhusu tuzo zao.

Nawasilisha
Nchi ina wajinga wengi na ndio wanashikilia ngazi za maamuzi. Timu haina dalili ya kutwaa taji lolote eti ndio inatoa mabeki bora. Hivi hao mabeki wanapimwa kwa vigezo gani?
 
Sasa we jamaa,djuma shaban anakaaje hapo???unajua mpira kweli wewe??
 
Acha mahaba yako, Bacca na Djuma hawajafanya chochote cha wao kuwekwa kwa list, km Djuma ndo kabisaa kacheza match chache, huyo bacca nae si ni mwishoni huku ndo kawaka kidogo, lol.
Anajiropokea tu hana data.
 
Ni tuzo zilizowekwa kupoza maumivu ya baadhi ya timu.
 
Back
Top Bottom