Nimesikitika sana Samora Avenue polisi wanakamata watu kwa uzururaji

Nimesikitika sana Samora Avenue polisi wanakamata watu kwa uzururaji

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Very sad, Polisi wanakamata watu hapa jirani na TRA Tanzania kwa kigezo cha uzurulaji.

Hawa Polisi wanawakwida watu na kuwaingiza kwenye magari yao manne Toyota Land Cruiser yaliyopaki pembeni mwa barabara.

Hii sio sawa kabisa, hamna ajira bado watu mnawaita wazuraji. Wapeni watu KAZI, wapeni mishahara mizuri mtaona kama watu watakaa tena vijiweni.
 
Very sad, Polisi wanakamata watu hapa jirani na TRA Tanzania kwa kigezo cha uzurulaji.

Hawa Polisi wanawakwida watu na kuwaingiza kwenye magari yao manne Toyota Land Cruiser yaliyopaki pembeni mwa barabara.

Hii sio sawa kabisa, hamna ajira bado watu mnawaita wazuraji. Wapeni watu KAZI, wapeni mishahara mizuri mtaona kama watu watakaa tena vijiweni.
Haya Mambo ya kijinga kabisa!
 
Very sad, Polisi wanakamata watu hapa jirani na TRA Tanzania kwa kigezo cha uzurulaji.

Hawa Polisi wanawakwida watu na kuwaingiza kwenye magari yao manne Toyota Land Cruiser yaliyopaki pembeni mwa barabara.

Hii sio sawa kabisa, hamna ajira bado watu mnawaita wazuraji. Wapeni watu KAZI, wapeni mishahara mizuri mtaona kama watu watakaa tena vijiweni.
Kwa maeneo gani specifically?
 
Sasa wanajuaje kama ni wazururaji? Kama mtu anatembea kutafuta kibarua? Wanaacha kukamata vibaka usiku ambao sa hivi wamelala wakisubiri kuingia kazini badae wanakamata raia mchana



Pathetic
 
Back
Top Bottom