Nimesikitishwa na kitendo cha Toyota kuniona mimi kama adui yao, Nimekumbuka mambo haya

Nimesikitishwa na kitendo cha Toyota kuniona mimi kama adui yao, Nimekumbuka mambo haya

Nimesoma thread hadi nusu nikahisi huyu ni kiduku lilo.... nikarudi juu kucheki nani kapost kweli nakuta ni huyu FUNZA... hopeless kabisa.
 
Labda tu niseme kuwa kiuhalisia sipendi uadui na binadamu. Adui yangu siku zote ni umasikini. Huu ndiyo nauchukia sana pamoja na shetani.

Mimi nimewahi miliki kwa muda mfupi sana kama miezi miwili usafiri wa Toyota. At least ile ilikuwa ni gari ya Toyota maana hata CC zake si haba 4700 CC Toyota Crown/ Royal kama sikosei, maana sikuwa interested nayo sana.

Mdogo wangu alinunua UK mpya kabisa akaiendesha kidogo akaona haimpendezi akanambia bro kuna gari nakutumia.basi ikaja.nami nilijaribu nikaja pata shida siku nmeenda nayo Mlimani City. Nmetoka hivi pale nlipopark zipo nyingine Tatu. Rangi ile ile nami nmesahau namba ya gari yangu.

Nliwaza sana.nikasema hapa unaweza kuta unataka fungua mlango wa gari ya mtu ukaitwa mwizi. Haraka nikampigia Boss mmoja wa TRA ni jamaa yangu.nikamwambia awaambie vijana wake waangalie gari zote ninazomiliki wakiona ya Toyota wanipe namba zake.ndo kunitumia baada ya dk chache. Nlilaani sana.kuwa hizi Toyota kila mtu anazo?heshima itatoka wapi mjini? Tena unakuta wengine wamemaliza tu chuo juzi leo nao wana Toyota Crown.

Nikauza kwa jamaa mmoja bei chee kabisa.mpaka leo yule jamaa hunipigia simu kunishukuru.anasema ile ni gari ya Toyota.

So si kwamba sijawahi miliki Toyota.nimewahi na wala sina ugomvi na hivi vyombo au brand.basi tu ni mazoea ndugu zanguni.sisi ambao tumekulia ulaya na marekani gari za Toyota huwa si vipaumbele sana maana wao hawajali sana kwenye safety ya Mwendesha gari.basi tu ndo maana hata mdogo wangu ilimshinda.

Vijana tuishi kwa kanuni.bila kanuni inasabisha watu.kanuni zinakufanya uishi kwa malengo.kwa mfano mimi binafsi huwa siwezi kuvaa kiatu chini ya 500,000. Hunivalishi hata kama utasema nivae halafu unilipe.

Sipendi kuvaa kiatu nikakuta kuna mtu kavaa kama hicho. Au hii saa moja ya saa ninazo penda ni Rolex na Saiko 5. Hizi saa wenye kuzifahamu ni wachache.siku moja jamaa mmoja aliniuliza akiwa na girlfriend wake nikamwambia tu ni Tsh 50,000 ili asione kama najigamba badala ya kumwambia nlinunua 1,750,00 nikamwambia tu 50,000. Akaomba namba. Kweli akanipigia nikamwambia aingie kwenye mtandano sehemu fulani kuangalia na exchange rate ya Dola akakuta ni Tsh 1,820,000. Akanipigia nikamwambia ndo ilivyo. Hakuwahi nitafuta tena.

Haya mambo ni mipango na kanuni.mimi siku nmemnunulia dada mmoja perfume.actually nlinunua Paris France. Amekaa nayo mwaka ile perfume akanambia anataka tena.nikampa jina aangalie aagize.yule dada alikuja kwangu akanikumbatia...anasema hakuwah dhania anajipulizia perfume ya Tsh 540,000.

Binafsi perfume ambayo napulizia napoenda Gym ndo bei ya chini sana tsh 500,000. Hiyo ndo napoenda gym au napofanya jogging.

Sasa hiyo tabia ninayo hata kwenye magari.unajua katika maisha lazima kuwe na class.na inabidi upambane uwe class flani. Kama hujipambanii hilo we umeamua kuwa mwananchi mnyonge. Binafsi nachukia unyonge.ingawa watanzania mnapenda kuwa na kuitwa wanyonge.

Hata matumizi ya vitu.huwa mara nyingi napenda kununua vitu vya matumizi ya nyumbani supermarket. Napendelea kuhama hama maana kuna kipindi ilikuwa kila mwisho wa mwezi naenda sehemu flani mpaka wakanizoea wale wadada nikaona isiwe shida.nikahama.nmekaa muda bila kwenda pale. Kuja kwenda tena nikakuta wamefunga - wamefilisika.

Nliumia sana.maana nliona kutokwenda kwangu ile supermarket kumewasababishia hasara sana hadi wamefilisika.nikawaza hao akina dada si wanaweza shawishika kujiuza?maskini hata sijui watakuwa wameenda wapi.mpaka leo roho inaniuma naona kama nlihusika kufanya ile supermarket ifilisike.

Hili suala la magari leo nimeenda mlimani city.nikawa natafuta parking.kiukweli huwa nakwepa sana kupark gari yangu pembeni ya Toyota.naona kama nawanyanyapaa wenye Toyota.wanaweza sema nawafanyia kusudi kuwaonesha gari yangu.

Basi nmezunguka mwanzo mwisho kuna gari 3 tu. Nyingine ni Usafiri wa Toyota na Nissan. Nikakuta kuna jamaa naye kapark Ford.nikasema at least hapa sasa tunaweza park magari.

Ila nmeshangaa.zile Vitz zilizojaa pale,altezza,brevis na subaru. Huwezi jikuta kweli unakazana kufungua mlango kumbe inafungua gari ya mwingine?kama ilivyowahi nikuta?

Nyie wenye hizo kitu inabidi muweke alama.ndo nikakumbuka ndo maana wengine wanaweka rims ,sticker au matairi ya ajabu ajabu.huwezi kuta hivyo vitu kwnye Range Rover,Bmw,Benz,Vw,Porche,Ford,GMC au gari aina hizo.

Mi nahisi hizi kitu nyingine mnaweza ibiana hasa kama mtu umesahau namba ya gari yako unaweza changanyikiwa.

Huto tuusafiri tupo twingi rangi zinafanana sana. Almost kila kitu.hasa hizi IST ,Altezza,Crown na Xtrail.ni shida.

Basi nikawa nmenunua mahitaji yangu vijana watatu wakawa wanasukuma matoroli kuleta bidhaa zangu garini.nmewashukuru kwa kujituma kwao nikawapa 150,000 wagawane.hatuna pesa lakini tutafanyaje ndugu zanguni?tugawane kidogo. Kama mtu unafanya shopping ya vyakula na vinywaji 965,000. Kwa nini usiwape wenzio kidogo nao wanywe maji?

Nikasema ngoja nifanye research ndogo njiani. Jaribu na wew, katika kila usafiri 10 njiani 2 usafiri wa Toyota IST. Halafu Altezza, Subaru, Brevis, Vitz, Crown, Noah n.k

Anza kuhesabu magari.utaona mahari machache sana. Kwa Toyota nao wana gari Land Cruiser V8.

Kuwa na Usafiri wa Toyota/Nissan sijui Subaru ni changamoto.mnaweza badilishana gari bila kujua.unafika home ndo unagundua kumbe ulichukua gari ya mwingine.nahisi hata funguo zinaingiliana.

Nimeamua tu kushare nanyi experience msije nanyi mkaanza nichukia.Haya mambo yapo ni ya kawaida tu, la msingi tutafuteni pesa. Mimi mnaniona nahangaika nchi mbalimbali napanda ndege mpaka nafahamika. Si sababu napenda sana, ni mapambano. Kamshahara kadogo sijafika milion 100 bado lakini hata hutu tu allowances nikikusanya kwa safari nikajibana nikienda nchi za watu sometime nalala hotel za hadhi ya chini nyota 4 badala ya 5. Ili nipate pesa ninunue gari za milion 100+ mia 200 n.k

Niishi na uhakika wa kutembea na 500,000 ipo tu kwenye gari kwa ajili ya dharura. Haya maisha we die once ila tunaishi mara nyingi.

"Sisi wenye pesa, don't live once; we only die once" Ila tunaishi mara nyingi sana na sehemu tofauti tofauti. Anayeishi once ni yule anayepata pesa kwa msimu. Maskini anaishi mara moja na kufa several times.

Hahahaha Mkuu imefika wakati sasa kila nikisoma bandiko lako najua tu ni wewe bila hata ya kuangalia jina tena. You are very talented.... a really entertainer. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukute upo sebuleni kwa shemeji yako hapo maramba mawili , mkono mmoja
Umeshika glass ya juisi na mwingine umeshika rimoti ya startimes .. Unainjoi maisha baada ya kazi nzuri za dada yako chumbani kwa sehemeji yako.
ahaha dah!! We jamaaaa
 
Labda tu niseme kuwa kiuhalisia sipendi uadui na binadamu. Adui yangu siku zote ni umasikini. Huu ndiyo nauchukia sana pamoja na shetani.

Mimi nimewahi miliki kwa muda mfupi sana kama miezi miwili usafiri wa Toyota. At least ile ilikuwa ni gari ya Toyota maana hata CC zake si haba 4700 CC Toyota Crown/ Royal kama sikosei, maana sikuwa interested nayo sana.

Mdogo wangu alinunua UK mpya kabisa akaiendesha kidogo akaona haimpendezi akanambia bro kuna gari nakutumia.basi ikaja.nami nilijaribu nikaja pata shida siku nmeenda nayo Mlimani City. Nmetoka hivi pale nlipopark zipo nyingine Tatu. Rangi ile ile nami nmesahau namba ya gari yangu.

Nliwaza sana.nikasema hapa unaweza kuta unataka fungua mlango wa gari ya mtu ukaitwa mwizi. Haraka nikampigia Boss mmoja wa TRA ni jamaa yangu.nikamwambia awaambie vijana wake waangalie gari zote ninazomiliki wakiona ya Toyota wanipe namba zake.ndo kunitumia baada ya dk chache. Nlilaani sana.kuwa hizi Toyota kila mtu anazo?heshima itatoka wapi mjini? Tena unakuta wengine wamemaliza tu chuo juzi leo nao wana Toyota Crown.

Nikauza kwa jamaa mmoja bei chee kabisa.mpaka leo yule jamaa hunipigia simu kunishukuru.anasema ile ni gari ya Toyota.

So si kwamba sijawahi miliki Toyota.nimewahi na wala sina ugomvi na hivi vyombo au brand.basi tu ni mazoea ndugu zanguni.sisi ambao tumekulia ulaya na marekani gari za Toyota huwa si vipaumbele sana maana wao hawajali sana kwenye safety ya Mwendesha gari.basi tu ndo maana hata mdogo wangu ilimshinda.

Vijana tuishi kwa kanuni.bila kanuni inasabisha watu.kanuni zinakufanya uishi kwa malengo.kwa mfano mimi binafsi huwa siwezi kuvaa kiatu chini ya 500,000. Hunivalishi hata kama utasema nivae halafu unilipe.

Sipendi kuvaa kiatu nikakuta kuna mtu kavaa kama hicho. Au hii saa moja ya saa ninazo penda ni Rolex na Saiko 5. Hizi saa wenye kuzifahamu ni wachache.siku moja jamaa mmoja aliniuliza akiwa na girlfriend wake nikamwambia tu ni Tsh 50,000 ili asione kama najigamba badala ya kumwambia nlinunua 1,750,00 nikamwambia tu 50,000. Akaomba namba. Kweli akanipigia nikamwambia aingie kwenye mtandano sehemu fulani kuangalia na exchange rate ya Dola akakuta ni Tsh 1,820,000. Akanipigia nikamwambia ndo ilivyo. Hakuwahi nitafuta tena.

Haya mambo ni mipango na kanuni.mimi siku nmemnunulia dada mmoja perfume.actually nlinunua Paris France. Amekaa nayo mwaka ile perfume akanambia anataka tena.nikampa jina aangalie aagize.yule dada alikuja kwangu akanikumbatia...anasema hakuwah dhania anajipulizia perfume ya Tsh 540,000.

Binafsi perfume ambayo napulizia napoenda Gym ndo bei ya chini sana tsh 500,000. Hiyo ndo napoenda gym au napofanya jogging.

Sasa hiyo tabia ninayo hata kwenye magari.unajua katika maisha lazima kuwe na class.na inabidi upambane uwe class flani. Kama hujipambanii hilo we umeamua kuwa mwananchi mnyonge. Binafsi nachukia unyonge.ingawa watanzania mnapenda kuwa na kuitwa wanyonge.

Hata matumizi ya vitu.huwa mara nyingi napenda kununua vitu vya matumizi ya nyumbani supermarket. Napendelea kuhama hama maana kuna kipindi ilikuwa kila mwisho wa mwezi naenda sehemu flani mpaka wakanizoea wale wadada nikaona isiwe shida.nikahama.nmekaa muda bila kwenda pale. Kuja kwenda tena nikakuta wamefunga - wamefilisika.

Nliumia sana.maana nliona kutokwenda kwangu ile supermarket kumewasababishia hasara sana hadi wamefilisika.nikawaza hao akina dada si wanaweza shawishika kujiuza?maskini hata sijui watakuwa wameenda wapi.mpaka leo roho inaniuma naona kama nlihusika kufanya ile supermarket ifilisike.

Hili suala la magari leo nimeenda mlimani city.nikawa natafuta parking.kiukweli huwa nakwepa sana kupark gari yangu pembeni ya Toyota.naona kama nawanyanyapaa wenye Toyota.wanaweza sema nawafanyia kusudi kuwaonesha gari yangu.

Basi nmezunguka mwanzo mwisho kuna gari 3 tu. Nyingine ni Usafiri wa Toyota na Nissan. Nikakuta kuna jamaa naye kapark Ford.nikasema at least hapa sasa tunaweza park magari.

Ila nmeshangaa.zile Vitz zilizojaa pale,altezza,brevis na subaru. Huwezi jikuta kweli unakazana kufungua mlango kumbe inafungua gari ya mwingine?kama ilivyowahi nikuta?

Nyie wenye hizo kitu inabidi muweke alama.ndo nikakumbuka ndo maana wengine wanaweka rims ,sticker au matairi ya ajabu ajabu.huwezi kuta hivyo vitu kwnye Range Rover,Bmw,Benz,Vw,Porche,Ford,GMC au gari aina hizo.

Mi nahisi hizi kitu nyingine mnaweza ibiana hasa kama mtu umesahau namba ya gari yako unaweza changanyikiwa.

Huto tuusafiri tupo twingi rangi zinafanana sana. Almost kila kitu.hasa hizi IST ,Altezza,Crown na Xtrail.ni shida.

Basi nikawa nmenunua mahitaji yangu vijana watatu wakawa wanasukuma matoroli kuleta bidhaa zangu garini.nmewashukuru kwa kujituma kwao nikawapa 150,000 wagawane.hatuna pesa lakini tutafanyaje ndugu zanguni?tugawane kidogo. Kama mtu unafanya shopping ya vyakula na vinywaji 965,000. Kwa nini usiwape wenzio kidogo nao wanywe maji?

Nikasema ngoja nifanye research ndogo njiani. Jaribu na wew, katika kila usafiri 10 njiani 2 usafiri wa Toyota IST. Halafu Altezza, Subaru, Brevis, Vitz, Crown, Noah n.k

Anza kuhesabu magari.utaona mahari machache sana. Kwa Toyota nao wana gari Land Cruiser V8.

Kuwa na Usafiri wa Toyota/Nissan sijui Subaru ni changamoto.mnaweza badilishana gari bila kujua.unafika home ndo unagundua kumbe ulichukua gari ya mwingine.nahisi hata funguo zinaingiliana.

Nimeamua tu kushare nanyi experience msije nanyi mkaanza nichukia.Haya mambo yapo ni ya kawaida tu, la msingi tutafuteni pesa. Mimi mnaniona nahangaika nchi mbalimbali napanda ndege mpaka nafahamika. Si sababu napenda sana, ni mapambano. Kamshahara kadogo sijafika milion 100 bado lakini hata hutu tu allowances nikikusanya kwa safari nikajibana nikienda nchi za watu sometime nalala hotel za hadhi ya chini nyota 4 badala ya 5. Ili nipate pesa ninunue gari za milion 100+ mia 200 n.k

Niishi na uhakika wa kutembea na 500,000 ipo tu kwenye gari kwa ajili ya dharura. Haya maisha we die once ila tunaishi mara nyingi.

"Sisi wenye pesa, don't live once; we only die once" Ila tunaishi mara nyingi sana na sehemu tofauti tofauti. Anayeishi once ni yule anayepata pesa kwa msimu. Maskini anaishi mara moja na kufa several times.
Kiduku lilo on the move
 
Labda tu niseme kuwa kiuhalisia sipendi uadui na binadamu. Adui yangu siku zote ni umasikini. Huu ndiyo nauchukia sana pamoja na shetani.

Mimi nimewahi miliki kwa muda mfupi sana kama miezi miwili usafiri wa Toyota. At least ile ilikuwa ni gari ya Toyota maana hata CC zake si haba 4700 CC Toyota Crown/ Royal kama sikosei, maana sikuwa interested nayo sana.

Mdogo wangu alinunua UK mpya kabisa akaiendesha kidogo akaona haimpendezi akanambia bro kuna gari nakutumia.basi ikaja.nami nilijaribu nikaja pata shida siku nmeenda nayo Mlimani City. Nmetoka hivi pale nlipopark zipo nyingine Tatu. Rangi ile ile nami nmesahau namba ya gari yangu.

Nliwaza sana.nikasema hapa unaweza kuta unataka fungua mlango wa gari ya mtu ukaitwa mwizi. Haraka nikampigia Boss mmoja wa TRA ni jamaa yangu.nikamwambia awaambie vijana wake waangalie gari zote ninazomiliki wakiona ya Toyota wanipe namba zake.ndo kunitumia baada ya dk chache. Nlilaani sana.kuwa hizi Toyota kila mtu anazo?heshima itatoka wapi mjini? Tena unakuta wengine wamemaliza tu chuo juzi leo nao wana Toyota Crown.

Nikauza kwa jamaa mmoja bei chee kabisa.mpaka leo yule jamaa hunipigia simu kunishukuru.anasema ile ni gari ya Toyota.

So si kwamba sijawahi miliki Toyota.nimewahi na wala sina ugomvi na hivi vyombo au brand.basi tu ni mazoea ndugu zanguni.sisi ambao tumekulia ulaya na marekani gari za Toyota huwa si vipaumbele sana maana wao hawajali sana kwenye safety ya Mwendesha gari.basi tu ndo maana hata mdogo wangu ilimshinda.

Vijana tuishi kwa kanuni.bila kanuni inasabisha watu.kanuni zinakufanya uishi kwa malengo.kwa mfano mimi binafsi huwa siwezi kuvaa kiatu chini ya 500,000. Hunivalishi hata kama utasema nivae halafu unilipe.

Sipendi kuvaa kiatu nikakuta kuna mtu kavaa kama hicho. Au hii saa moja ya saa ninazo penda ni Rolex na Saiko 5. Hizi saa wenye kuzifahamu ni wachache.siku moja jamaa mmoja aliniuliza akiwa na girlfriend wake nikamwambia tu ni Tsh 50,000 ili asione kama najigamba badala ya kumwambia nlinunua 1,750,00 nikamwambia tu 50,000. Akaomba namba. Kweli akanipigia nikamwambia aingie kwenye mtandano sehemu fulani kuangalia na exchange rate ya Dola akakuta ni Tsh 1,820,000. Akanipigia nikamwambia ndo ilivyo. Hakuwahi nitafuta tena.

Haya mambo ni mipango na kanuni.mimi siku nmemnunulia dada mmoja perfume.actually nlinunua Paris France. Amekaa nayo mwaka ile perfume akanambia anataka tena.nikampa jina aangalie aagize.yule dada alikuja kwangu akanikumbatia...anasema hakuwah dhania anajipulizia perfume ya Tsh 540,000.

Binafsi perfume ambayo napulizia napoenda Gym ndo bei ya chini sana tsh 500,000. Hiyo ndo napoenda gym au napofanya jogging.

Sasa hiyo tabia ninayo hata kwenye magari.unajua katika maisha lazima kuwe na class.na inabidi upambane uwe class flani. Kama hujipambanii hilo we umeamua kuwa mwananchi mnyonge. Binafsi nachukia unyonge.ingawa watanzania mnapenda kuwa na kuitwa wanyonge.

Hata matumizi ya vitu.huwa mara nyingi napenda kununua vitu vya matumizi ya nyumbani supermarket. Napendelea kuhama hama maana kuna kipindi ilikuwa kila mwisho wa mwezi naenda sehemu flani mpaka wakanizoea wale wadada nikaona isiwe shida.nikahama.nmekaa muda bila kwenda pale. Kuja kwenda tena nikakuta wamefunga - wamefilisika.

Nliumia sana.maana nliona kutokwenda kwangu ile supermarket kumewasababishia hasara sana hadi wamefilisika.nikawaza hao akina dada si wanaweza shawishika kujiuza?maskini hata sijui watakuwa wameenda wapi.mpaka leo roho inaniuma naona kama ni husika kufanya ile supermarket ifilisike.

Hili suala la magari leo nimeenda mlimani city.nikawa natafuta parking.kiukweli huwa nakwepa sana kupark gari yangu pembeni ya Toyota.naona kama nawanyanyapaa wenye Toyota.wanaweza sema nawafanyia kusudi kuwaonesha gari yangu.

Basi nmezunguka mwanzo mwisho kuna gari 3 tu. Nyingine ni Usafiri wa Toyota na Nissan. Nikakuta kuna jamaa naye kapark Ford.nikasema at least hapa sasa tunaweza park magari.

Ila nmeshangaa.zile Vitz zilizojaa pale,altezza,brevis na subaru. Huwezi jikuta kweli unakazana kufungua mlango kumbe inafungua gari ya mwingine?kama ilivyowahi nikuta?

Nyie wenye hizo kitu inabidi muweke alama.ndo nikakumbuka ndo maana wengine wanaweka rims ,sticker au matairi ya ajabu ajabu.huwezi kuta hivyo vitu kwnye Range Rover,Bmw,Benz,Vw,Porche,Ford,GMC au gari aina hizo.

Mi nahisi hizi kitu nyingine mnaweza ibiana hasa kama mtu umesahau namba ya gari yako unaweza changanyikiwa.

Huto tuusafiri tupo twingi rangi zinafanana sana. Almost kila kitu.hasa hizi IST ,Altezza,Crown na Xtrail.ni shida.

Basi nikawa nmenunua mahitaji yangu vijana watatu wakawa wanasukuma matoroli kuleta bidhaa zangu garini.nmewashukuru kwa kujituma kwao nikawapa 150,000 wagawane.hatuna pesa lakini tutafanyaje ndugu zanguni?tugawane kidogo. Kama mtu unafanya shopping ya vyakula na vinywaji 965,000. Kwa nini usiwape wenzio kidogo nao wanywe maji?

Nikasema ngoja nifanye research ndogo njiani. Jaribu na wew, katika kila usafiri 10 njiani 2 usafiri wa Toyota IST. Halafu Altezza, Subaru, Brevis, Vitz, Crown, Noah n.k

Anza kuhesabu magari.utaona mahari machache sana. Kwa Toyota nao wana gari Land Cruiser V8.

Kuwa na Usafiri wa Toyota/Nissan sijui Subaru ni changamoto.mnaweza badilishana gari bila kujua.unafika home ndo unagundua kumbe ulichukua gari ya mwingine.nahisi hata funguo zinaingiliana.

Nimeamua tu kushare nanyi experience msije nanyi mkaanza nichukia.Haya mambo yapo ni ya kawaida tu, la msingi tutafuteni pesa. Mimi mnaniona nahangaika nchi mbalimbali napanda ndege mpaka nafahamika. Si sababu napenda sana, ni mapambano. Kamshahara kadogo sijafika milion 100 bado lakini hata hutu tu allowances nikikusanya kwa safari nikajibana nikienda nchi za watu sometime nalala hotel za hadhi ya chini nyota 4 badala ya 5. Ili nipate pesa ninunue gari za milion 100+ mia 200 n.k

Niishi na uhakika wa kutembea na 500,000 ipo tu kwenye gari kwa ajili ya dharura. Haya maisha we die once ila tunaishi mara nyingi.

"Sisi wenye pesa, don't live once; we only die once" Ila tunaishi mara nyingi sana na sehemu tofauti tofauti. Anayeishi once ni yule anayepata pesa kwa msimu. Maskini anaishi mara moja na kufa several times.
Hivi jamiiforums hakuna jukwaa la Afya?? Madaktari tumuokoe ndugu yetu tutampoteza
 
Una kazi kweli wewe? Huu muda wa kuandika kila siku unautolea wapi?
Toyota binafsi, hakujui wewe wala wateja wake, anatoa huduma tu, aitakaye au asiyeitaka ni juu yake, ila pesa anazo kiasi kwamba hapigi mayowe kama wewe ila watu tunajionea wenyewe.
 
Hapa anawindwa demu tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
mie nlivyofka kati tu nkastuka fasta nkaenda kuangalia mleta thread nkacheka kama fala [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]amka bana usije kususu kitandani. Halafu nyie maskini hata mlishindwa ku afford alarm system uwe na remote usingepata shida.
Smart hata mm nimeliona hilo
 
Dah!!..huyu jamaa yaweza kuwa hapo alipo hajala chakula ana njaa tu.

Ila huwa unanifurahisha sana mkuu....
 
Back
Top Bottom