Nimesikitishwa na kitendo cha Toyota kuniona mimi kama adui yao, Nimekumbuka mambo haya

Huu mfano actually ulikuhusu wewe, kwamba ulitakiwa ujue kuwa na mimi nimejua kuwa thread ya jamaa ni kwa ajili ya fantasy tu, na si vinginevyo. Wewe kutokuliona hilo nilikufananisha na yule mtoto ambaye alikuwa ameshindwa kujua kuwa nina uwezo wa kumchapa,ila huwa nafanya fantasy kutokufanya hivyo, na mpaka siku nilipoamua kumpiga ndiyo akajua kuwa ninaweza kumpiga!
 
Anhaaaa sawa!😊
 
Ni motivation ...pia burudani..usichulie siriaz hizi mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…