Nimesikitishwa na serikali kupandisha ada kwa vyuo vya ualimu

Nimesikitishwa na serikali kupandisha ada kwa vyuo vya ualimu

kwenye sayansi majanga ada kubwa,kazini load kubwa ukilinganisha na walim wa arts.Lakini mshahara sawa lol!
 
ni sawa tu hata wakipandisha zaidi. wanasimea kodi zetu halafu hawaendi kufanya kazi husika. tena hata wakitoa ruzuku yote isiwepo its okay
 
Back
Top Bottom