Nimesikitishwa sana baada ya kuona kwenye CCTV vitendo alivyofanya shemeji yangu.

Mambo kama haya unaleta JF.Wewe punguani kweli.
 
inauma sana jamani, yaani mm nikifikiria hamu ya kuoa inaisha.
 
Ili ujisafishe na Roho yako itulie watafute ndugu wa kike wa huyo Bwana anayeliwa mkewe yaani mawifi zake, uwapatie hiyo cd watamaliza hilo tatizo wao kiundugu kabisa.

Hahahahahaaaaaaaa! Ndugu ritz1 kwa ushauri huu dhana ya mbayuwayu izingatiwe mkuu!
 
mkuu hapo kwenye kunyonyana ndimi hebu rekebisha kwanza kwa nini isiwe walikuwa wakibadirishana ladha za mate!?
 
mkuu hapo kwenye kunyonyana ndimi hebu rekebisha kwanza kwa nini isiwe walikuwa wakibadirishana ladha za mate!?

Freeze kiss or Melt kiss...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…