Nimesimamishwa masomo Chuo Kikuu cha Dar es salaam.

Nimesimamishwa masomo Chuo Kikuu cha Dar es salaam.

Me sikupi pole, ila nakutia moyo. Me niko home toka mwezi wa 6 last year baada ya mgomo, nimehojiwa nasubiria majibu yao. Ila bilieve me hali hii imenijenga nakujua maisha hasa. Utakutana na wengi watakaokulaumu hata wa2 wa karibu, usiwamind we waeleweshe au wapotezee pia wapo wachache watakao kutia moyo. Ts just a mater of time..haki ya mtu haipotei
 
Mkuu hongera sana na pole sana, serikali hii ya wakoloni weusi haijui kuwa inapanda mbegu za kujiaribu na kuangamia.
 
wanafunzi waliobaki hawana umoja, na uoga umetawala sana. Lecture zote zinasimamiwa na defender moja ya FFU, na wenzetu bado wanataka kuenda madarasani. Tatizo ndipo lilipo...

Pole sana Mkuu, usiwe na wasiwasi Chadema watakupeleka India ukasome ndio upambanaji hakuna haja ya kulia lia
 
Pole sana Mkuu, usiwe na wasiwasi Chadema watakupeleka India ukasome ndio upambanaji hakuna haja ya kulia lia

Sasa kusimamishwa masomo wana udsm na Chadema vina uhusiano gani?? Mbona hujasema CCM itamlipia masomo india?? I dought you might be having a.al fistula.
 
Natanguliza pole kwa matatizo:::

Wanafunzi wa sasa waoga sana yani me ningekuwa mwanafunzi leo ningelipua makazi ya mkandara hapo,na kuna kipindi ticha flani hapo alikua ananizingua na nilipanga nilipue utawala sema tulienda nae sawa,hawa washenzi dawa yao ni kulipua yani mnashindwa kujioganaiz wanafunzi hata wa5 mkanunua guruneti na kulipua utawala? Kama mbwai mbwai tu hii nchi mbele haitotawalika biliv dat I'm tellin y'all buddiez
 
mkuu pole sana mapambano hayajaisha lazima mtarudishwa tu huyo mkandara na siasa zake za ccm atajionea nguvu ya umma
 
Pole sana Sobhuza, natumai utarudi tu na uweze kuendelea na masomo. Kamwe usijutie kuwa mpigania haki na ukweli. Tulia, fuata maelekezo yatakayotolewa. Njia ya mazungumzo ni nzuri kuliko kuishtaki administration ya chuo,tumieni akili na sio hisia...viongozi wetu hawajali kabisa!!
 
Pole sana Sobhuza, natumai utarudi tu na uweze kuendelea na masomo. Kamwe usijutie kuwa mpigania haki na ukweli. Tulia, fuata maelekezo yatakayotolewa. Njia ya mazungumzo ni nzuri kuliko kuishtaki administration ya chuo,tumieni akili na sio hisia...viongozi wetu hawajali kabisa!!

well said mkuu.
Jamaa ni watu wa visasi sana, hawachelewi kukomoa kabisa, kuzungumza nao kuna-make sense kwa sasa kuliko kukimbilia mahakamani, ukizingatia jamaa wana back-up ya mkuu wa kaya.
 
Pole sana Chief. Hivi hamjaangalia uwezekano wa kufungua mashtaka mahakamani. Kwa uwelewa wangu, hamuwezi kuwa na hatia kama nyie ni bunge halali la wanafunzi na mmetumia kikao halali kupitisha maazimio. Labda kama kuna mambo mengine mliyoyafanya baada ya hayo maazimio

..ndugu yangu, hili la wanafunzi kufukuzwa sio bahati mbaya, ni mkakati mahsusi wa kunyamazisha fikra mbadala ktk taasisi za elimu ya juu. Mimi nilishajua kwamba haya yatatokea na nikawaonya vijana wajiandae na hali hii, kwasasa, wanafunzi wa vyuo vya umma wakigoma wajue wanakwenda nyumbani moja kwa moja. Sasa kuhusu mahakama, usija ukashangaa kuona kesi inaisha 2030! Labda wajaribu court injunction ambayo nayo yaweza kuwa majaliwa kuipata na kutekelezwa na chuo! Kuna kesi nyingi ambazo serikali imegalagazwa lakini bado watu wanasotea kupata haki zao-mfano madai ya vahlambia.
 
wanafunzi waliobaki hawana umoja, na uoga umetawala sana. Lecture zote zinasimamiwa na defender moja ya FFU, na wenzetu bado wanataka kuenda madarasani. Tatizo ndipo lilipo...
Hayo si ya kweli unayo yasema DARUSO toka mwanzo hamkuwa pamoja na wanafunzi mlijiona kama miungu pale tulipokuwa tunadai haki za msingi leo kwakuwa mmepumzishwa mnasema waliobaki hawana umoja na Nguvu umoja mliusambalatisha wenye DARUSO na dhambi hiyo hiyo ndio inawatafuna leo Hii kama Mngekuwa pamoja na Wanchuo kutoka katika madai ya msingi kwa waliokosa Mikopo hakika leo tungekuwa wamoja mmeweka matabaka leo baada ya kukutwa na tatizo mnadanganya Umma kwa kusema hakuna Ushirikiano.
Napenda kusema sijapenda kufukunzwa na wengine kurudishwa nyumbani ila Hili la DARUSO ni MUNGU ndio ameribariki. Hata hivyo mapambano bado yanaendelea ila kumbuka katika maisha kuwa kuna leo na kesho toka mwanzo Serikali ya DARUSO ilitoa hata makala za kuwatisha Wanafunzi kuwa wanavunja sheria kwenye haki zao za Msingi.
 
Pole sana ila kwanini umeogopa kuja na ID Yako ya zamani? Unanipa mashaka kama kweli wewe ni mpigania haki au bendera.
 
Hayo si ya kweli unayo yasema DARUSO toka mwanzo hamkuwa pamoja na wanafunzi mlijiona kama miungu pale tulipokuwa tunadai haki za msingi leo kwakuwa mmepumzishwa mnasema waliobaki hawana umoja na Nguvu umoja mliusambalatisha wenye DARUSO na dhambi hiyo hiyo ndio inawatafuna leo Hii kama Mngekuwa pamoja na Wanchuo kutoka katika madai ya msingi kwa waliokosa Mikopo hakika leo tungekuwa wamoja mmeweka matabaka leo baada ya kukutwa na tatizo mnadanganya Umma kwa kusema hakuna Ushirikiano.
Napenda kusema sijapenda kufukunzwa na wengine kurudishwa nyumbani ila Hili la DARUSO ni MUNGU ndio ameribariki. Hata hivyo mapambano bado yanaendelea ila kumbuka katika maisha kuwa kuna leo na kesho toka mwanzo Serikali ya DARUSO ilitoa hata makala za kuwatisha Wanafunzi kuwa wanavunja sheria kwenye haki zao za Msingi.

hapana, hapana, DARUSO ilijitahidi kadiri ilivyoweza ila utawala ndio ukawa kikwazo!
Kumbuka ili resolutions za USRC ziwe halali ni lazima zifanyike katika kikao rasmi. Katika semista hii, USRC ilipangiwa kikao kimoja tu, ambacho ni cha tar. 7 Januari. Jitihada za ofisi ya Spika kupata kikao cha dharura siku ya tar. 11 Novemba mwaka jana, na kile kipindi cha kufukuzwa kwa wenzetu 41, zilikwamishwa kwa makusudi na utawala wa chuo. Sasa huko kukosa umoja kunatoka wapi ndugu?
Na kama ingekuwa hatuna umoja na wenzetu, kwenye kikao cha juzi tusingepitisha mgomo kwa ajili ya 41 waliofukuzwa. Tuna hisia pia, wale ni wenzetu, jamaa zetu, rafiki zetu, mademu zetu na mabwana zetu pia. How can we be so feelingless towards our beloved ones?
 
Pole sana ila kwanini umeogopa kuja na ID Yako ya zamani? Unanipa mashaka kama kweli wewe ni mpigania haki au bendera.

mimi ni mpigania haki, kuna sababu yenye ilinifanya nisije na ID yangu original.
Naomba ieleweke hivyo...
 
hapana, hapana, DARUSO ilijitahidi kadiri ilivyoweza ila utawala ndio ukawa kikwazo!
Kumbuka ili resolutions za USRC ziwe halali ni lazima zifanyike katika kikao rasmi. Katika semista hii, USRC ilipangiwa kikao kimoja tu, ambacho ni cha tar. 7 Januari. Jitihada za ofisi ya Spika kupata kikao cha dharura siku ya tar. 11 Novemba mwaka jana, na kile kipindi cha kufukuzwa kwa wenzetu 41, zilikwamishwa kwa makusudi na utawala wa chuo. Sasa huko kukosa umoja kunatoka wapi ndugu?



Na kama ingekuwa hatuna umoja na wenzetu, kwenye kikao cha juzi tusingepitisha mgomo kwa ajili ya 41 waliofukuzwa. Tuna hisia pia, wale ni wenzetu, jamaa zetu, rafiki zetu, mademu zetu na mabwana zetu pia. How can we be so feelingless towards our beloved ones?
Mnapokuwa Viongozi feedback ni muhimu sana kwa wale mnaowaongoza ni nani Mwana UD alijua kuwa mlikuwa mnakosa VENUE? kama mliamua kukaa kimya hamkuona si utawala Bora huo ? Kiongozi panapotokea hali yoyote ile ya matatizo au mazuri cha kwanza ni Taarifa? Leo hii hakuna Mwana UD utakaye Mwambia mlikuwa bega kwa Bega ili kushughulikia matatizo yote yale yaliyokuwa yakitokea. Ni wazi kuwa mliweka matabaka kiasi cha kulaumiwa na Wanachuo wote hadi wanachuo wakataka kuanza harakati za kuuondoa Uongozi wa chuo madarakani? Je Mlikuwa wapi toka harakati zinaanza Mbona zilitolewa makala kibao za kushindikiza wanafunzi waache migomo kwani wanavunja sheria.Mliona nini kutoa makala kama hizo na za kueleza umma kuwa Utawala unaweka vikwazo kama hivyo? Leo hii hakuna anaeona uchungu kwa kuondoka kwenu kwani kila aliyekuwa akidai haki aliwachukulia kama wasaliti tu.....Leo hii kimya chenu cha muda mrefu ndio kimezua balaa lakini kama kiongozi taarifa ni Muhimu sana ...mwanaphilosophy Jean Jacques Rousseau alisema
''Absolute silence leads to sadness. It is the image of death''.
 
well said mkuu.
Jamaa ni watu wa visasi sana, hawachelewi kukomoa kabisa, kuzungumza nao kuna-make sense kwa sasa kuliko kukimbilia mahakamani, ukizingatia jamaa wana back-up ya mkuu wa kaya.

Poa poa mkuu,nimepita DARUSO,naelewa nachokuambia...achana na mambo ya mahakamani, ni kupoteza muda...yaani bora Luhanga, Mkandala hana huruma kabisa....kwasasa kama una lengo la kurudi na kumaliza shule kwa wakati, mahakamani is not an option....mkuu wa kaya ni best yake,lugha yao ni moja!
 
Back
Top Bottom