The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Mzuka wanajamvi!
Yani tunaenda gym kila siku mara tano kwa wiki. Kujiweka fit kuwavutia akina dada. Lakini mibongo mengine imeshabughia na kushindilia viporo vya kande iliyochacha na kuvimbiwa mitumbo wanaanza kutuita wenye mwili wa mazoezi eti mashoga.
Hii chisel shape body yangu na six packs sitaki tena. Sasa hivi nasaka kitambi kwa udi na uvumba.
Wabongo tuna roho mbaya utakuta hata kwenye magari eti kuna magari flani ni ya wanawake mwanaume akiiendesha unachekwa.
Cc secret file
Yani tunaenda gym kila siku mara tano kwa wiki. Kujiweka fit kuwavutia akina dada. Lakini mibongo mengine imeshabughia na kushindilia viporo vya kande iliyochacha na kuvimbiwa mitumbo wanaanza kutuita wenye mwili wa mazoezi eti mashoga.
Hii chisel shape body yangu na six packs sitaki tena. Sasa hivi nasaka kitambi kwa udi na uvumba.
Wabongo tuna roho mbaya utakuta hata kwenye magari eti kuna magari flani ni ya wanawake mwanaume akiiendesha unachekwa.
Cc secret file