Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Google haiwezi kukushibisha bwashee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Google haiwezi kukushibisha bwashee!
Msosi gani? Unamaanisha kiporo cha kande iliyochacha?
Unajua Salmon weweee? Unajua Brocoli wewee? Unayajua matunda ya peaches sewee? Unajua spanish eggs wewe?
Msosi gani? Unamaanisha kiporo cha kande iliyochacha?
Unajua Salmon weweee? Unajua Brocoli wewee? Unayajua matunda ya peaches sewee? Unajua spanish eggs wewe?
Huyu hapa mbibi wanguDemu mwenyewe ndio huyu unae jimwaya mwaya nae ufukweni [emoji38][emoji38] you can't be serious men View attachment 1488848
Kama unakula hayo yote na gym limekushinda Kapige ramli dadadeq
Mbibi ana mpaja wa haja!Huyu hapa mbibi wanguView attachment 1488901
Huo muda unautumia gym si bora ungeenda kubeba box upate hela ili uhame kwa shemeji yakoMzuka wanajamvi!
Yani tunaenda gym kila siku mara tano kwa wiki. Kujiweka fit kuwavutia akina dada. Lakini mibongo mengine imeshabughia na kushindilia viporo vya kande iliyochacha na kuvimbiwa mitumbo wanaanza kutuita wenye mwili wa mazoezi eti mashoga.
Hii chisel shape body yangu na six packs sitaki tena. Sasa hivi nasaka kitambi kwa udi na uvumba.
Wabongo tuna roho mbaya utakuta hata kwenye magari eti kuna magari flani ni ya wanawake mwanaume akiiendesha unachekwa.
Cc secret file
Brother Be yourselfMzuka wanajamvi!
Yani tunaenda gym kila siku mara tano kwa wiki. Kujiweka fit kuwavutia akina dada. Lakini mibongo mengine imeshabughia na kushindilia viporo vya kande iliyochacha na kuvimbiwa mitumbo wanaanza kutuita wenye mwili wa mazoezi eti mashoga.
Hii chisel shape body yangu na six packs sitaki tena. Sasa hivi nasaka kitambi kwa udi na uvumba.
Wabongo tuna roho mbaya utakuta hata kwenye magari eti kuna magari flani ni ya wanawake mwanaume akiiendesha unachekwa.
Cc secret file
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Google haiwezi kukushibisha bwashee!
AhahaaaRaha ya kitambi ni kufutia simu tu!
...na pesa hanaKaka kuwa muwazi tu kwamba mazoezi yanataka lishe na lishe ni fedha!!
HihihhiiiiiiiiDemu mwenyewe ndio huyu unae jimwaya mwaya nae ufukweni [emoji38][emoji38] you can't be serious men View attachment 1488848
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Raha ya kitambi ni kufutia simu tu!
Google haiwezi kukushibisha bwashee!