Nimesoma Mpaka nimesahau afu Utumishi wamegoma kutoa pdf

Nimesoma Mpaka nimesahau afu Utumishi wamegoma kutoa pdf

October 2pm

Senior Member
Joined
May 2, 2023
Posts
106
Reaction score
282
Ninesomea Ualimu Shule za msingi nakuhitimu 2019. Nimesoma kujiandaa na usahili mpaka nimesahau Mwezi uliopita nilisoma nini. Imegeuka adhabu utumishi kama hamkuwa mmejiandaa mngeacha tuu.nilijua usahili ungekuwa Mwezi uliopita September ndîo mahana nikajaza Dodoma kwani ndîo nilipo. Wiki ijayo natakiwa niende Geita naogopa nisijeenda Geita ndîo wakatoa majina ya usahili.

Nishaurini
 
Ninesomea Ualimu Shule za msingi nakuhitimu 2019. Nimesoma kujiandaa na usahili mpaka nimesahau Mwezi uliopita nilisoma nini. Imegeuka adhabu utumishi kama hamkuwa mmejiandaa mngeacha tuu.nilijua usahili ungekuwa Mwezi uliopita September ndîo mahana nikajaza Dodoma kwani ndîo nilipo. Wiki ijayo natakiwa niende Geita naogopa nisijeenda Geita ndîo wakatoa majina ya usahili.

Nishaurini
Nenda geita, ualimu WA msingi unataka kukupasua kichwa
 
Kupeleka ajira za ualimu ni moja ya maamuzi ya ovyo ambayo serikali imewahi kuyafanya ,,,


sitoshaangaa hapo baadae mwanasiasa mwingine atakapokuja na kuamua kuzirudisha tena Tamisemi au akatumia udhaifu ulioneshwa na utumishi kuombea kura kwa wasaka ajira za ualimu

Wakati ajira hizi zipo tamisemi(kipindi cha magu japo yeye ndiyo aliyesababisha yote haya )kibali kilikuwa kikitoka mwezi wa nne watano mchakato wa uombaji unaanza wasaba watu wapo kazini..


Zilivyoenda utumishi ,, mwezi wa 4 kibali kilitoka cha kuajili walimu ,, lakini tangazo sasa la ajira likatoka wasita ,, kuomba watisa au wakumi ,,, kuita watu kwenye interview hadi leo bado ,,, je kwa halii bado kuna watu wanatamani ajira hizi zipitie utumishi ????...

Ushauri ,, Ajira zirudi tamisemi bila kupitia utumishi ,, tamisemi waandae interview zao wenyeww kama zilivyofanyika ajira za bunge ,, huenda hili likasaidia ...
 
Badilisha taarifa zako za makazi kwenye anuani, weka za Geita. Ukishaomba kazi utumishi kuwa na subira. Umeshaanzisha Ubaya subiria Ubwela teacher.
 
Ninesomea Ualimu Shule za msingi nakuhitimu 2019. Nimesoma kujiandaa na usahili mpaka nimesahau Mwezi uliopita nilisoma nini. Imegeuka adhabu utumishi kama hamkuwa mmejiandaa mngeacha tuu.nilijua usahili ungekuwa Mwezi uliopita September ndîo mahana nikajaza Dodoma kwani ndîo nilipo. Wiki ijayo natakiwa niende Geita naogopa nisijeenda Geita ndîo wakatoa majina ya usahili.

Nishaurini
Mind your business,,,inaweza pita ata miezi tano
 
Ninesomea Ualimu Shule za msingi nakuhitimu 2019. Nimesoma kujiandaa na usahili mpaka nimesahau Mwezi uliopita nilisoma nini. Imegeuka adhabu utumishi kama hamkuwa mmejiandaa mngeacha tuu.nilijua usahili ungekuwa Mwezi uliopita September ndîo mahana nikajaza Dodoma kwani ndîo nilipo. Wiki ijayo natakiwa niende Geita naogopa nisijeenda Geita ndîo wakatoa majina ya usahili.

Nishaurini
Endelea kusoma bila kuchoka ndugu mwl,Psrs unawajua vizurii unaweza kuwa na hamu ya kuitwa usaili kama hujajiandaa vizurii siku hiyo hiyo unakutana na NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW halafu unaona wenzako wanaendelea na Oral
 
Back
Top Bottom